42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,914
Subiri... hizi game mbili naona zinawafool watu wanaanza kumuamini huyo Sarr.Sarr ule uchochoro [emoji3][emoji3][emoji3]
Subiri... hizi game mbili naona zinawafool watu wanaanza kumuamini huyo Sarr.Sarr ule uchochoro [emoji3][emoji3][emoji3]
Hata hizo game mbili mi naona hata hajaperform vizuri, kacheza kawaida tu. Back pass nyingiiiSubiri... hizi game mbili naona zinawafool watu wanaanza kumuamini huyo Sarr.
Ndoto sehemu ya maishaAcha kuota Ndoto mzee...
Mbappe kuja chelsea ni ndoto.
Naona christensen anataka challange mpya ,Rudiger amesema yeye anataka kubakia Chelsea
Mimi naona hata hao PSG na Madrid hawatampa zaidi ya alichoahidiwa Chelsea
So muda wowote mtasikia Rudiger na Christansen wamesaini mkataba
I hope atakuwepo sijasikia habari nyingine....Kesho KANTE atakuwepo kikosini?
Bonge la midfielder huwa hapotezi mpira kizembe sio kama fala mmoja anaitwa Hendo na ndio captain pumbafu zake.
Eti captain pumbavu 🤣🤣🤣🤣Bonge la midfielder huwa hapotezi mpira kizembe sio kama fala mmoja anaitwa Hendo na ndio captain pumbafu zake.
Duh.... Mabalaa yameanzaChristensen kapata tena Virusi vya UVIKO-19
Yupo Mzee tena game ya juzi n spurs aliingia tokea sub kupasha kidgKesho KANTE atakuwepo kikosini?
Kante Silva wapo fitKesho KANTE atakuwepo kikosini?
Mimi Sina maneno mengi ,kitakachowakuta kesho ni "mama mkanye mwanao aache kushoboka"
Ushindi tutapata hata kupitia Viungo na mabeki. Ila leo City atafungwa tuuChangamoto ni kule mbele vijana wetu wana uwezo mdogo wa kuweka mpira nyavuni.