Chelsea wamecheza vizuri sana first half yote na dk kama 20 ya second half, baada ya hapo Spurs waliboresha mpira wao lakini sio kutupita
Isingekuwa VAR leo ingekuwa 3-1 in Aggregate 3-3
Rafu ya Rudiger refa katoa penalti kwa spurs wakati rafu ilifanyikia nje ya box, penalti ya pili Kepa kaucheza mpiora vizuri lakini refa akwapa Spurs penalti, VAR ikapangua. Goli la Kane kukataliwa sikuelewa hiyo offside imekuwaje lakini mtangazaji kasema Kane alikuwa mbele ya kipa na hivyo kwa sheria za mpira ni offside