Manabii wanatabiri hiviSiku Chelsea akiwa anacheza Game ambayo ina Presha kubwa nikipataga wasiwasi kdgo tu Huwa huo mchezo tunapoteza
Ila nisipopata shaka yoyote huwa ushindi ni lazima
Leo ushindi upoo msiwe na shaka Tutawashangaza vijana wa Kipara
Ahadi zako huwa hutekelezi. Hatuzitaki.Mkishinda leo nakuwa shabiki yenu kuanzia leo.
Huyu si ndie anayetoaga ahadi za kukaa uchiAhadi zako huwa hutekelezi. Hatuzitaki.
City is unpressable team, tena ni ngumu kwa kocha anayecheza back 5, so sterling Grealish are pinning your FBs, Lukaku press in between city's CBs to block passing lane to Rodri meanwhile Walker and Cancello are free players on the pitch, how can you have the ball when you cant press 'em?Chelsea wanawaruhusu City kukaa na mpira sana, wameshaingia kwenye mtego wao. Nafasi chache zikipatikana wapuuzi kama Ziyech wanaharibu
Kacheza vizuri ila udhaifu wake unaujua fika.Kepa katulia kuliko hata Mendy, kazi anayofanya leo sio ndogo
Ongea kiswahili bhana.City is unpressable team, tena ni ngumu kwa kocha anayecheza back 5, so sterling Grealish are pinning your FBs, Lukaku press in between city's CBs to block passing lane to Rodri meanwhile Walker and Cancello are free players on the pitch, how can you have the ball when you cant press 'em?
Wa mwaja jana au juzi, Kepa kazaliwa upya, wewe tu ndio badoKacheza vizuri ila udhaifu wake unaujua fika.