YeahWale mnatizama hii game vp tunacheza vizuri kweli? Maana naona huko live score tumewazidi kila kitu pasi kama zote
Tumepiga mpira mkubwa sana mkuuu wala usijarWale mnatizama hii game vp tunacheza vizuri kweli? Maana naona huko live score tumewazidi kila kitu pasi kama zote
Allypipi vip unahali gani huko kwa mzeeewa gengeni pressing?Kocha wa mchongo.View attachment 2078659
Allypipi vip unahali gani huko kwa mzeeewa gengeni pressing?
Chelsea wamecheza vizuri sana first half yote na dk kama 20 ya second half, baada ya hapo Spurs waliboresha mpira wao lakini sio kutupitaWale mnatizama hii game vp tunacheza vizuri kweli? Maana naona huko live score tumewazidi kila kitu pasi kama zote
Wachezaji wameonesha uvumilivu mkubwa sana Jana ila refa alikua anastahili kupigwa Kofi kichwani ili akili ikae sawa kwanza.Chelsea wamecheza vizuri sana first half yote na dk kama 20 ya second half, baada ya hapo Spurs waliboresha mpira wao lakini sio kutupita
Isingekuwa VAR leo ingekuwa 3-1 in Aggregate 3-3
Rafu ya Rudiger refa katoa penalti kwa spurs wakati rafu ilifanyikia nje ya box, penalti ya pili Kepa kaucheza mpiora vizuri lakini refa akwapa Spurs penalti, VAR ikapangua. Goli la Kane kukataliwa sikuelewa hiyo offside imekuwaje lakini mtangazaji kasema Kane alikuwa mbele ya kipa na hivyo kwa sheria za mpira ni offside
Nini wewee ..siku za mechi Mimi huwa sionekani kabisa😀😀😀OllaChuga Oc we kiazi umejificha
Always sheria ya Offside inaangaliaga mtu wa mwisho. Yaani hata kama kipa akitoka golini basi atakayekuwepo golini muda huo ndio atahesabika kama kipa.Chelsea wamecheza vizuri sana first half yote na dk kama 20 ya second half, baada ya hapo Spurs waliboresha mpira wao lakini sio kutupita
Isingekuwa VAR leo ingekuwa 3-1 in Aggregate 3-3
Rafu ya Rudiger refa katoa penalti kwa spurs wakati rafu ilifanyikia nje ya box, penalti ya pili Kepa kaucheza mpiora vizuri lakini refa akwapa Spurs penalti, VAR ikapangua. Goli la Kane kukataliwa sikuelewa hiyo offside imekuwaje lakini mtangazaji kasema Kane alikuwa mbele ya kipa na hivyo kwa sheria za mpira ni offside
Offside inaangalia mtu wa mwisho na siyo nani yupo golini.Wachezaji wameonesha uvumilivu mkubwa sana Jana ila refa alikua anastahili kupigwa Kofi kichwani ili akili ikae sawa kwanza.
Offside ya Kane nimejaribu kufuatilia Sheria za offside nimeshindwa kuelewa make Kuna mchezaji wa Chelsea alikua mbele golini.
Maamuzi ya refa imeonesha kua uzoefu wa wachezaji kupinga maamuzi ya refa kwa hatua ya awali inasaidia sana.
Naiombea Chelsea wachezaji wake wasipate tena majeruhi katika kipindi hiki.
Kati ya liverkuku au arse8Tutakutana na nani final?
MOUNT jana ndo hajacheza vizur but mech z nyuma mbona kacheza vizur t unless hujaangalia match zotaMount kiwango chake kimeshuka sana ndio maana siwaamini Sana waingereza
Hatuna no 10 wakupiga penetration pass kama Fabregas kwenye team yetu mount anajua kupiga pass za corner tu ndio maana sometimes washambuliaji wetu hawafungiNdio maana kila siku nasema ile safu yetu ya ushambuliaji kule mbele imejaa UTOTO mwingi.
Kuna washambuliaji 3 wanaanza 1st eleven uwezo wao ni wa kuanzia benchi (SUB)
Timu ina washambuliaji 7 kufunga goli 1 tuu wanashindwa.
Kwa ukubwa wa Chelsea tunastahili kuwa na washambuliaji wakatili mbele ya goli na wenye uwezo wa kuamua mechi.
Mount bado mdogo, naamini Fabregas akiwa kwenye huo umri alukuwa hivyo hivyo au hata stats za Mount zikawa bora zaidiHatuna no 10 wakupiga penetration pass kama Fabregas kwenye team yetu mount anajua kupiga pass za corner tu ndio maana sometimes washambuliaji wetu hawafungi
Ktk huo umri wachezaji wengi kiwango kinapanda na kushuka hadi ifike umri fulani inakuwa stable, wait and we will seeMount kiwango chake kimeshuka sana ndio maana siwaamini Sana waingereza