Pamoja na kwamba Lukaku alifanya makosa kufanya ile interview na Sky Sport Italia ila mimi naona ilikuwa ni sawa kumuweka kocha sawa
Tukumbuke kuwa hata Conte aliwahi kutoa coment kuwa Lukaku hatumiwi ipasavyo hapo Chelsea
Hii interview itamlazimisha sasa Tuchel afikiri namna mbadala ya kumtumia Lukaku kwa faida ya timu
Conte alikuwa akimtumia Lukaku kwenye dyanamic role (especially zinazorelate na counter attack kama wengine walivyokwisha sema huko nyuma) lakini pia role nyingine ni kuhakikisha kuwa mipira inapelekwa nyingi kwa Lukaku, iwe ni kwa counter, long bals au short passes ziende nyingi.
Mimi naamini Lukaku akipelekewa krosi 5 moja itazaa goli
Akipelekewa pasi nzuri 5 moja itazaa goli iwe kwa njia ya penalti au assists and yeye mwenyewe kufunga
Hii ya kumuacha Lukaku awe static uwanjani hadi dk 90 haikubaliki kabisa
Kwa jinsi inavyoelekea, Luakau atasamehewa na atarudi kujiunga na wengine, lakini mark my words, uchezaji kule mbele utabadilika, na Lukaku atakuwa na deni kubwa la kuprove uwezo wake kama sehgemu ya kufuta hisia mabya za hasira iliyowaingia mashabiki baada ya yale maoni yake kwenye interview
Tumtegemee Lukaku mpya, magoli mengi kama alivyoanza kwenye mechi za Aston Villa na Brighton
TT ameiambia BBC Sport kuwa jumatatu, yaani leo, angekaa na Lukaku ili wajadiliane majukumu yake pale mbele kwa msimu uliobaki
The manager has since confirmed, per BBC Sport, that he is set to sit down with Lukaku on Monday in order to discuss his role at the club for the remainder of the season.