Hata hivyo ameapia kupambania timu hope it helpsSasa mbona profile hajavaa jezi ya inter?
Hiyu Lukaku hana namna lazma abaki chalsea na atauzwa kwa matakua ya management ya chalsea.
So unprofessional.
Kaka lile goal limefungwa kitaalamu mno,sala alikuwa anadanganya kama anatoa asaist hvi,kipa na mabeki wakawa wanamawazo mawili ilikuwa sio rahisi kuicheza,hapo ni kumsifu mfungajiGoli likishaingia ni hatari ila lingepanguliwa hasa na Mendy ingekuwa stori nyingine, posture yake haikuwa ya kigolie, wewe kamuangalie Mendy again
Wameamua chukua private jet....ila Mane mtu mbadEdouard Mendy na Sadio Mane baada ya mechi kuelekea AFCONView attachment 2066707
Sasa utakua unalipa mtu 300K+ per week na hachezi hapo unamkomoa nani? Kata wage bill uongeze watuHiyu Lukaku hana namna lazma abaki chalsea na atauzwa kwa matakua ya management ya chalsea.
Ni mwendo wa kumtumikia kafiriSo unprofessional.
Yaani tukisajili striker yoyote hili dirisha dogo huyu jamaa atasugua sana benchi.
Hapana anapewa mda kujirekebisha akigoma kuomba msamaha ili yaishe unampeleka mkopo timu kama westham.Sasa utakua unalipa mtu 300K+ per week na hachezi hapo unamkomoa nani? Kata wage bill uongeze watu
Liverpool atajua hajui na akina jotaWameamua chukua private jet....ila Mane mtu mbad
Kwa kifupi naoa inter Milan wamemkataaa ha ha jinga hilo
Liver ajipange ssa na akina origEdouard Mendy na Sadio Mane baada ya mechi kuelekea AFCONView attachment 2066707
We ni hater tuMimi siyo hater ila nakubaliana na yeyote anayeongea ukweli. Mfano Ibrahimovic alisema united ni timu ndogo nikamkubalia, akasema chelsea ni timu ndogo nikakubali sasa kwanini kwa lukaku nisikubali?
Ibrahimovic ni lijingajingaMimi siyo hater ila nakubaliana na yeyote anayeongea ukweli. Mfano Ibrahimovic alisema united ni timu ndogo nikamkubalia, akasema chelsea ni timu ndogo nikakubali sasa kwanini kwa lukaku nisikubali?
Akija kusema Asani-Ali atachukua ubingwa baada ya miaka 100 utamkubalia piaMimi siyo hater ila nakubaliana na yeyote anayeongea ukweli. Mfano Ibrahimovic alisema united ni timu ndogo nikamkubalia, akasema chelsea ni timu ndogo nikakubali sasa kwanini kwa lukaku nisikubali?
Mi sioni wapi Ibrahimovic kaongopa kuhusu chelsea kununua mafanikio.Ibrahimovic ni lijingajinga
Aliwahi sema Chelsea inanunua mafanikio kwa pesa still likaenda psg kufata pesa na likaenda marekani kwenye soka bovu kufata pesa
Sasa kama unakubaliana na maneno ya Ibrahimovic basi jichunguze mwenyewe kama.uko sawa
Lukaku alikuja chelsea coz inter wana matatizo ya uchumi waliuza wachezaji tegemeo wengi tu na hii ilimfanya conte aachane nao coz hakutaka hilo litokee
Chelsea plan zake zilikuwa kwa Halaand wala sio lukaku.halaand alikuwa ana thamani ya zaidi ga 150m negotiation hazikwenda vizuri na zaidi halaand mwenyewe haipendi ligi ya uingereza(kiazi ndezi)
Ndio tukaangukia hapo kwa hiko kiroba
Kisa kanunulia kwa pesa ndefu akaana kujiona mkubwa kuliko timu analeta kiburi na kuongea shits inashusha morale ya timu .
Tulikuwa kuwa na Torres alinunuliwa kwa rekodi ya mauzo kipindi kile lakini hakuwa mpiga domo
Torres wa Liverpool sio wa Chelsea maana Liverpool alikiwa mashine hasa
Ila hadi leo torres anaipenda Chelsea kweli kweli over Liverpool coz alkuwa na good moments ndani ya Chelsea japo kuwa hakufunga mara kwa mara na amshinda makombe ndani ya chelsea
Mcheki fabregas yule wa asernal dogo mmoja anapiga soka matata sana kuanzia iliyokuwa highbuy hadi emirates
Lakini fabregas anaipenda Chelsea kuliko hio aser8 iliyomtoa la masia hispania(mfatilie insta utaelewa[emoji2]) unajua kwanini!? .Chelsea imempa makombe imemuheshimisha kama mchezaji .
Nenda kamcheki girioud uone. Alipokuwa asernal alikuwa anagonga magoli daliy ila makombe ziiiiiii!!![emoji2]
Alipokuja Chelsea kashinda makombe .Giroud ana kumbukumbu nzuri za maisha ndani ya Chelsea haishi kuizunguzmia chelsea na ana washikaji kibao Chelsea .
Sasa lukaku hajifunzi analeta ujuaji wakati hana alama yoyote ndani ya klabu
Asepe zake
Kama itakua ni ukweli nitamkubalia pia.Akija kusema Asani-Ali atachukua ubingwa baada ya miaka 100 utamkubalia pia
Inamaana unamaanisha jamaa ni dem?Acha woga, hata timu iklifungwa unatakiwa kuwa mwanaume