Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Unatetea ujinga au we kisa n HATER?
Mimi siyo hater ila nakubaliana na yeyote anayeongea ukweli. Mfano Ibrahimovic alisema united ni timu ndogo nikamkubalia, akasema chelsea ni timu ndogo nikakubali sasa kwanini kwa lukaku nisikubali?
 
Tuendelee na ile episode ya LUKAKU, je adhabu imeisha au bado ianendelea?
1641183453800.png
 
wanamlamba makalio hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu aondoke hata january hii poa tu
Thom aliwahi sema ni rahisi kuisimamia chelsea kuliko PSG as PSG utatakiwa kusimamia mastar mpaka marafiki na ndugu zao nafikiri man management ya Thom siyo nzuri.

Makocha wengi wangemdrop Lukaku na kocha kama Ferguson anakutoa kwa mkopo Norwich.
 
Chelsea Player Ratings vs Liverpool 2 Jan 2022 at Stanford Bridge
  1. Edouard Mendy - 8/10
  2. Chalobah - 6/10
  3. Thiago Silva - 7/10
  4. Rudiger - 7/10
  5. Azpilicueta - 6/10
  6. Alonso - 6/10
  7. N'golo Kante - 8/10
  8. Mateo Kovacic - 9/10
  9. Mason Mount - 7/10
  10. Pulisic - 7/10
  11. Havertz - 6/10
  12. Jorginho - 5/10
  13. Odoi - 6/10
 
Thom aliwahi sema ni rahisi kuisimamia chelsea kuliko PSG as PSG utatakiwa kusimamia mastar mpaka marafiki na ndugu zao nafikiri man management ya Thom siyo nzuri.

Makocha wengi wangemdrop Lukaku na kocha kama Ferguson anakutoa kwa mkopo Norwich.
nawaza chiz kama mou sijui angempa kauli gani
 
Edouard Mendy na Sadio Mane baada ya mechi kuelekea AFCON
1641185336962.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom