Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nimesoma alichosema Lukaku, sijaona sehemu akimsema kocha vibaya!
Alipokosea ni kuweka wazi bado anaipenda Inter, other than that sioni kile ambacho wengi wana mind!

Hilo ni kosa ambalo linatakiwa kushughulikiwa ndani kwa ndani. Otherwise kama anafanya kazi nzuri uwanjani itakuwa kujichoma kisu kutompanga! Kupanga kwa loyalty kulim cost Lampard, na naamini Tuchel akirudia hili litam cost pia.

Apangwe au asipangwe kwa kiwango ila sio petty issues kama hizi. Hizi waachiwe akina Marina wa deal nazo!
He said: "Physically I'm doing great. I'm just not very happy with the situation, but that's normal. I think the boss has decided to play a different formation, but I have to stick at it and get on with it professionally.

"I am not happy with my situation but it is my job and I must not give up."
 
Una watoto nyumbani.

Umekaa huna hili wala lile unasikia mwanao analalamika redion kwamba hafurahishwi na stuation iliyoko nyumbani kwenu, na mwenye uwezo wa kubadili hiyo stuation ni wewe baba.

Unajisikiaje?
Kwamba anaulizwa kwa nini siku hizi huna hela anasema baba kabadilisha sheria naruhusiwa kutoka home saa 4 mpaka 6 mchana tu. Shida iko wapi? Kwani si ni kweli mfumo wa baba unanifanya niwe na pesa kidogo?

Kwanini mwanao hakukuface?
Una uhakika hawajawahi ongea hili?

Hawa wachezaji wakubwa wakubwa wote siyo kama hawapitii changamoto.

Lakini hawaziadress kama anavyoziadress kama alivyoziadress Lukaku.
Ukae ukijua kila mchezaji ni tofauti sana na wengine, kuanzia malezi mpaka imani. Naona wengi wanalinganisha na Giroud lakini umewahi kujua kuwa imani zao zikoje na zina influence gani kwenye maisha yao? Maisha sio uwanjani tu, yanaanzia mbali na yana mengi. Kuna wengine huwa ni wanafiki wanapiga makofi pembeni wanalalama. Kuna wengine ni wakimya huugulia kimya kimya na wengine huzira.

Zote ni personalities na kocha unapaswa kujua namna ya ku deal nazo!
Halafu kwanini afanye interview 3 weeks ago halafu ije iwe released few days tukiwa tunaelekea game ya Liver?
Yeye ndio kaiachilia?
Aiseee unaweza ukawa huoni tatizo lakini tatizo ni kubwa sana kuliko unavyowaza.
Tatizo lazima lipo ila naona mnalikuza unnecessary. Zaidi ya kipengele cha kusema bado ana mapenzi na Inter na anatarajia siku atarudi sioni kama kuna issue. Na hili inategemeana na mkataba wake kama unamzuia au policy za timu. Else hakuna issue!
 
Sidhani kama hayo matokeo yana faida kwa Chelsea, Arsenal watakuja kututoa kwenye nafasi ya 3 na sasa tukabaki tunapambania nafasi ya nne na Spurs
Uwezo wa kumkuta city haupo kabisa, mimi hatari kubwa nianayo ni kubaki top 4 kwa form ya Arsenal na Spurs na majeruhi tuliyo nayo labda tufanye manunuzi ya maana januari hii
ACHENI UOGA NAMNA HIYO
 
He said: "Physically I'm doing great. I'm just not very happy with the situation, but that's normal. I think the boss has decided to play a different formation, but I have to stick at it and get on with it professionally.

"I am not happy with my situation but it is my job and I must not give up."
And what is wrong there?
Sijaelewa wanaopiga kelele shida ni nini hapo?
 
And what is wrong there?
Sijaelewa wanaopiga kelele shida ni nini hapo?
Lukaku kasema hayuko happy na hali yake wala sio ya kocha na kasema kocha kubadili mfumo ni kawaida na ni lazima apambane ili acheze vizuri na aliporudi majeruhi kwenye mechi mbili kaonyesha hili

"I won't give up. I will be professional. I am not happy with the situation but I am professional and I cannot give up now."
 
Kwamba anaulizwa kwa nini siku hizi huna hela anasema baba kabadilisha sheria naruhusiwa kutoka home saa 4 mpaka 6 mchana tu. Shida iko wapi? Kwani si ni kweli mfumo wa baba unanifanya niwe na pesa kidogo?


Una uhakika hawajawahi ongea hili?


Ukae ukijua kila mchezaji ni tofauti sana na wengine, kuanzia malezi mpaka imani. Naona wengi wanalinganisha na Giroud lakini umewahi kujua kuwa imani zao zikoje na zina influence gani kwenye maisha yao? Maisha sio uwanjani tu, yanaanzia mbali na yana mengi. Kuna wengine huwa ni wanafiki wanapiga makofi pembeni wanalalama. Kuna wengine ni wakimya huugulia kimya kimya na wengine huzira.

Zote ni personalities na kocha unapaswa kujua namna ya ku deal nazo!

Yeye ndio kaiachilia?

Tatizo lazima lipo ila naona mnalikuza unnecessary. Zaidi ya kipengele cha kusema bado ana mapenzi na Inter na anatarajia siku atarudi sioni kama kuna issue. Na hili inategemeana na mkataba wake kama unamzuia au policy za timu. Else hakuna issue!
Matatizo hayasolviwi kwenye media.

Tuchel kasema anamuona Lukaku ana furaha na hajawahi kusikia hayo mambo anayoyasema Lukaku.

Hii siyo best way ya kusolve matatizo.

Mashabiki mtandaoni wana hasira sana. Jaribu kupita Twitter uone hashtag zinazotrend.

Kwa kukusaidia tu angalia hapo juu.

Screenshot_2022-01-02-17-13-50-866_com.twitter.android.jpg


Ni watu mmoja mmoja kama wewe ndio mpo back kwa Lukaku kwa kile alichoongea. Lakini majority wamemcrash sana.

Match ya leo hajapangwa na hayuko hata Bench.

Hakuna mchezaji professional anaweza kufanya alichofanya Lukaku.
 
Lukaku kasema hayuko happy na hali yake wala sio ya kocha na kasema kocha kubadili mfumo ni kawaida na ni lazima apambane ili acheze vizuri na aliporudi majeruhi kwenye mechi mbili kaonyesha hili

"I won't give up. I will be professional. I am not happy with the situation but I am professional and I cannot give up now."
“ If you really wanted to stay at Inter Milan like you said, say to them give me half my wages and I’m not going to Chelsea, don’t spit your dummy out, what he’s done is really, really disrespectful “

- Jimmy Floyd Hasslebaink on Sky https://t.co/av7ffCNiWa




na ichi ndo kilichomkost ad wenye tm wameingilia kat
 
Conte on LUKAKU

Asked about the Lukaku comments by Sky Sports yesterday, the Tottenham boss said:
"Lukaku's words? I feel great affection for him but he is a Chelsea player."
 
Matatizo hayasolviwi kwenye media.

Tuchel kasema anamuona Lukaku ana furaha na hajawahi kusikia hayo mambo anayoyasema Lukaku.
Yapi sasa ambayo Tuchel hayajui. Mfumo au kukaa benchi?
Unaweza kunukuu maneno haswa ambayo unaona yanaleta shida? Kila nikisoma siyaoni. May be ukinukuu hicho kipande itanisaidia!

Hii siyo best way ya kusolve matatizo.
Kuna mengine ni mtu anatoa opinions tu!

Mashabiki mtandaoni wana hasira sana. Jaribu kupita Twitter uone hashtag zinazotrend.

Kwa kukusaidia tu angalia hapo juu.
Mashabiki hawa hawa waliompigia makofi Ole (OleOnTheWheel) then baadaye (OleOut)?
Ni kawaida sana kwa kizazi chetu kinachosikia kwa kuona na kuamua kwa kutumia moyo. Emotianal generation. Trust me, itapoa na kusahaulika soon!

Ni watu mmoja mmoja kama wewe ndio mpo back kwa Lukaku kwa kile alichoongea. Lakini majority wamemcrash sana.
Majority does not mean right!

Match ya leo hajapangwa na hayuko hata Bench.
Mbona sio mara ya kwanza!

Hakuna mchezaji professional anaweza kufanya alichofanya Lukaku.
Kumbe hujawahi kuona wachezaji wakorofi wewe!
 
Lukaku kasema hayuko happy na hali yake wala sio ya kocha na kasema kocha kubadili mfumo ni kawaida na ni lazima apambane ili acheze vizuri na aliporudi majeruhi kwenye mechi mbili kaonyesha hili

"I won't give up. I will be professional. I am not happy with the situation but I am professional and I cannot give up now."
Nimekuelewa na ndio najiuliza kosa la kuandamwa hapo ni lipi?
 
PSG wanamtaka Conor Gallagher
According to The Sun, Paris Saint-Germain are interested in signing Chelsea's on-loan midfielder Conor Gallagher and could make a £50million offer for his services.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom