Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,165
- 5,622
Liverpool wasiwe na matumaini sana. Wakacheze mpira. Vinginevyo watakuja kusimulia tafsiri ya mpira kudunda. Hawaendi kucheza na QPRMo Sallah anawazoom tu nyie kenge wa darajani.
Liverpool wasiwe na matumaini sana. Wakacheze mpira. Vinginevyo watakuja kusimulia tafsiri ya mpira kudunda. Hawaendi kucheza na QPRMo Sallah anawazoom tu nyie kenge wa darajani.
Lukaku kuachwa kwenye line up leo ni sehemu tu ya adhabu ili pia kutuliza ghazabu ya mashabiki. Upepo ukishapita Lukaku ni mchezaji wa Chelsea tu na atatumikia mkataba wake hadi uishe. Ataomba msamaha itaishaIpi sasa? Lukaku akiwa na faida atabakia darajani. Mark these words. Hayo mengine na maboss wake watayaweka sawa then huku mtaani mtabaki mnalalama tu. Lazima ujue mpaka wa kuwa shabiki kwenye biashara za watu
Kwani wanaenda kucheza mweleka mkuu, wana skills za kitosha na kuna adhabu za kucheza vibaya wakiwachezeaNyuma mtoto ni Chalobah tu
Katikati hakuna mtoto pale
Mbele watoto watupu wa miaka 22 wakutane na VVD na Konate
Suppersport wameonyesha Havertz ndio false no 9Pulisic hapo mbele kujaza nafasi tuu
Why? Hiyo Combi ya hao watatu ni one of the best we have.Pulisic hapo mbele kujaza nafasi tuu
Unaweza kufungwa magoli na ukashinda. Tuendelee kuwa pamoja!Hii game Chelsea mnafungwa goals ngapi????
Tunatarajia kushinda. Ila yote yatakuwa matokeo tu!Fanyeni mshinde
KomaeniTunatarajia kushinda. Ila yote yatakuwa matokeo tu!