lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,490
Sidhani kama hayo matokeo yana faida kwa Chelsea, Arsenal watakuja kututoa kwenye nafasi ya 3 na sasa tukabaki tunapambania nafasi ya nne na SpursArsenal wanacheza vizur hadi siamini city wanaweza kupotea kiasi hiki.sasa hii ndio nafasi ya kupunguza gap kati yetu na man city.....!
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Uwezo wa kumkuta city haupo kabisa, mimi hatari kubwa nianayo ni kubaki top 4 kwa form ya Arsenal na Spurs na majeruhi tuliyo nayo labda tufanye manunuzi ya maana januari hii


