mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,260
- 12,867
Nyie ndo mnayakuza Lukaku hana shida na atabaki hapo Chelsea, na leo atatoa assist au kufungaKwa ile kashikashi ya lukaku hivi Leo ataingia uwanjani
Naona mnasema lukaku out![]()
Nyie ndo mnayakuza Lukaku hana shida na atabaki hapo Chelsea, na leo atatoa assist au kufungaKwa ile kashikashi ya lukaku hivi Leo ataingia uwanjani
Naona mnasema lukaku out![]()
Lukaku Leo hawezi kucheza mseeNyie ndo mnayakuza Lukaku hana shida na atabaki hapo Chelsea, na leo atatoa assist au kufunga
Kwa sabb ipi?Lukaku Leo hawezi kucheza msee
Acha tuone mkuu.Tuache kujipa matumaini feki, kwa wachezaji gani wazuri tulionao mpaka tumfunge Liverpool?
Alonso, Odoi, Joghnho, Mount, Azipi, Pulisic, Ziyech?
Tujiandae kula goli 3 bila nyumbani kwetu.
Chelsea 0 - 3 Liverpool
Jana mkuu kwa kandanda walilocheza arsenal wasifiwe tu.asee mkuu lembu leo imefikia hatua hadi arse8 tunaisifu wakati wao kutwa kutuponda!? Ina maana timu yetu umechoka sana ...em sema neno moja mkuu..
#CFC
Kwenye pic training hajaonekana ,Wala hajapostiwa akiwa anafanya training na wenzakeKwa sabb ipi?



Harafu mashabiki wanatype lukaku out ....Hayo yapeleke kwenye uzi wa arsenal sie tulifurahi kwa arsenal kufungwa, na sie tutamfunga tu.Jana mkuu kwa kandanda walilocheza arsenal wasifiwe tu.
Ni utoto wao ndio uliwagharimu.
Ila lile kandanda walilopiga nina muda mrefu sana sijaliona.
Wewe jana umeangalia mpira huku unalia. Usidhani hatuna story zako.Kwenye pic training hajaonekana ,Wala hajapostiwa akiwa anafanya training na wenzakeHarafu mashabiki wanatype lukaku out ....
Jana nilibana korodani hatari mpaka mpira unaisha ,leso pembeni muda wote nafuta jasho ....Wewe jana umeangalia mpira huku unalia. Usidhani hatuna story zako.





Huyo Lembu ni shambiki asuyejielewa na mpira haujui kuwa matokeo kama hayo lazmayahokeeasee mkuu lembu leo imefikia hatua hadi arse8 tunaisifu wakati wao kutwa kutuponda!? Ina maana timu yetu umechoka sana ...em sema neno moja mkuu..
#CFC
Asipangwe tu kabisa tena aondoke Aleta nyodo za kibongoKuna taarifa zinasema, huenda tuchel asimjumuishe lukaku kwenye kikosi cha leo dhidi ya liverpool, kwa tukio alilolifanya.
Source-Mat law.Nizar Kinsella
Leo anasimama Kai harvest mbele lukaku muache ale matapishi yakeKuna taarifa zinasema, huenda tuchel asimjumuishe lukaku kwenye kikosi cha leo dhidi ya liverpool, kwa tukio alilolifanya.
Source-Mat law.Nizar Kinsella
Yani lile jamaa ni zero kabisa, kaongea shit!!!Kwa ile kashikashi ya lukaku hivi Leo ataingia uwanjani
Naona mnasema lukaku out![]()
sio kuyakuza mzee, ata kocha wenu hakulipenda hilo na amesema chelsea watajadili na kutatua internally LAKINI HAJAPENDEZWA NA ALICHOKISEMA LUKAZIGO.Nyie ndo mnayakuza Lukaku hana shida na atabaki hapo Chelsea, na leo atatoa assist au kufunga
Tupe kwanza line up itakayotupa matokeoMkuuu hatutafungwa take my words, Chelsea hubadilika kulingana na mpizani. Tutajihami na kushambulia kwa kushitukuza tu.
Akifanya hivyo ndio anaharibu zaidi, hope isiwe hivyoKuna taarifa zinasema, huenda tuchel asimjumuishe lukaku kwenye kikosi cha leo dhidi ya liverpool, kwa tukio alilolifanya.
Source-Mat law.Nizar Kinsella
Wewe unayejua mpira tupe points sie tuko tayari kujifunzaHuyo Lembu ni shambiki asuyejielewa na mpira haujui kuwa matokeo kama hayo lazmayahokee