Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

asee mkuu lembu leo imefikia hatua hadi arse8 tunaisifu wakati wao kutwa kutuponda!? Ina maana timu yetu umechoka sana ...em sema neno moja mkuu..
#CFC
Jana mkuu kwa kandanda walilocheza arsenal wasifiwe tu.

Ni utoto wao ndio uliwagharimu.

Ila lile kandanda walilopiga nina muda mrefu sana sijaliona.
 
Jana mkuu kwa kandanda walilocheza arsenal wasifiwe tu.

Ni utoto wao ndio uliwagharimu.

Ila lile kandanda walilopiga nina muda mrefu sana sijaliona.
Hayo yapeleke kwenye uzi wa arsenal sie tulifurahi kwa arsenal kufungwa, na sie tutamfunga tu.
 
Kuna taarifa zinasema, huenda tuchel asimjumuishe lukaku kwenye kikosi cha leo dhidi ya liverpool, kwa tukio alilolifanya.

Source-Mat law.Nizar Kinsella
 
Shida ya timu yetu now inashindwa kabisa kutumia vizuri uwanja nyumbani unakuta tunapigwa au sare
 
Kwa ile kashikashi ya lukaku hivi Leo ataingia uwanjani

Naona mnasema lukaku out
Yani lile jamaa ni zero kabisa, kaongea shit!!!

FireShot Capture 204 - Inter Milan ultras make it clear Romelu Lukaku would not be welcomed _ ...png
 
Nyie ndo mnayakuza Lukaku hana shida na atabaki hapo Chelsea, na leo atatoa assist au kufunga
sio kuyakuza mzee, ata kocha wenu hakulipenda hilo na amesema chelsea watajadili na kutatua internally LAKINI HAJAPENDEZWA NA ALICHOKISEMA LUKAZIGO.

FireShot Capture 203 - Chelsea news_ Tuchel criticises Lukaku after his controversial interv_ ...png
 
Mkuuu hatutafungwa take my words, Chelsea hubadilika kulingana na mpizani. Tutajihami na kushambulia kwa kushitukuza tu.
Tupe kwanza line up itakayotupa matokeo

Lukaku
Werner Mount
Chilwell Kovacic Kante Azpilicueta
Rudiger Silva James

Line up tofauti na hiyo tukijitahidi sana droo
 
Kuna taarifa zinasema, huenda tuchel asimjumuishe lukaku kwenye kikosi cha leo dhidi ya liverpool, kwa tukio alilolifanya.

Source-Mat law.Nizar Kinsella
Akifanya hivyo ndio anaharibu zaidi, hope isiwe hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom