Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,787
- 2,233
Hakuna mtu amependezwa nae nais kumchukiaSijapendwezwa na interview ya lukaku, naahidi kumchukulia hatua ya kinidhamu.
Hakuna mtu amependezwa nae nais kumchukiaSijapendwezwa na interview ya lukaku, naahidi kumchukulia hatua ya kinidhamu.
Roman n board wamsapoti Tuchel Jan hii km hyo deal y digne .n sehemu nyingine la sivyo n Mwendo wa double chance Kwa timu pinzaniChilwell - majeruhi
James - majeruhi
Kante - injury prone
Kovacic - misuli inawaka moto
Christensen - anadeka na maumivu
Kule mbele utoto mwingi.
Azipu - Kazeeka
Alonso - Back passes ndio chakula chake
Joghnho - Ulimbo
Kazi ipo.
Wewe ni mbuzi tu
Wanakutafuta sna hao mkuuuuWewe ni mbuzi tu
Counter haipigwi kila wakati, unalazimisha makosa nafasi ikitokea unapiga, isipotokea unakuwa na plan BHuwezi kupiga counter attack watu wamepack basi.
Yaani kwa Alonso hapo, mechi ambayo hakucheza back passes nyingi siku hiyo ataona hakucheza vizuriChilwell - majeruhi
James - majeruhi
Kante - injury prone
Kovacic - misuli inawaka moto
Christensen - anadeka na maumivu
Kule mbele utoto mwingi.
Azipu - Kazeeka
Alonso - Back passes ndio chakula chake
Joghnho - Ulimbo
Kazi ipo.
Unaongelea mapitoLile goli la kusawazisha Chalobah angeenda mbali zaidi, naona kama hakuweka juhudi kwenye kuruka ili kumvurugia Welbeck hilo goli la kichwa
Angekuwa Silva hapo leo tungekuwa tunaongelea point 3 muhimu
Any way, still young anayo safari ndefu ya kukua



subili kipigo kutoka kwa Liverpool kwanzaTukishinda ndo nitaone kana mkuu ..apa saiv nakuja Kwa kuvizia tu.Wanakutafuta sna hao mkuuuu
Pure plastic fansTukishinda ndo nitaone kana mkuu ..apa saiv nakuja Kwa kuvizia tu.



Tukishinda ndo nitaone kana mkuu ..apa saiv nakuja Kwa kuvizia tu.


Vipi Mkuu bado mna kikosi kipana au mmebakisha utumbo mpana?Arsenal wanacheza vizur hadi siamini city wanaweza kupotea kiasi hiki.sasa hii ndio nafasi ya kupunguza gap kati yetu na man city.....!Arsenal wanaonyesha kandanda safi, city wanaonekana kama sio EPL team
Hii Arsenal tukikutana nayo na hizi back passes zetu watatumaliza kabisa
It is an attacking minded team, wote kabisa wanawaza tu kushambulia na wakosharp, clinicla na ball control ya hali ya juu