Nimempa fumbo hiyo ndgChilwell yupi? Aliyefanyiwa upasuaji?
Acha zako hizo tunamalizia nafasi ya kwanza au ya pili, Chelsea aina tatizo kubwa kivile kila timu imepitia kipindi hili kama cha Chelsea, kwahiyo subir dust its settle sio mda mrefuArsenal wanatutoa hapo, mwakani sisi uropa
Weka na harvts pia, tuna win hi mechi tena sio draw kabisa.---------------- Werner -------- Mount --------------
Alonso - Kante -- Jognho-- Kovacic --- Azipi
----------- Rudger -- Silva --- Chalobah ---------
TT ajitahidi kupanga kikosi hiki apate angalau DRAW.
Pulisic, Odoi, Ziyech - Wastage of time
Mechi ya mwisho kucheza na midfield wengi tukapata matokeo ilikuwa na spurs tulicheza hivi na man City tukapotea vibaya---------------- Werner -------- Mount --------------
Alonso - Kante -- Jognho-- Kovacic --- Azipi
----------- Rudger -- Silva --- Chalobah ---------
TT ajitahidi kupanga kikosi hiki apate angalau DRAW.
Pulisic, Odoi, Ziyech - Wastage of time
Ndio aliyefunga goli mechi ya kwanzaHarvetz atavunjwa mguu na van Dijk
Sasa afanyaje mkuu.Akifanya hivyo ndio anaharibu zaidi, hope isiwe hivyo
Toa kati ya Kova au Joginho weka Kai kule mbele.---------------- Werner -------- Mount --------------
Alonso - Kante -- Jognho-- Kovacic --- Azipi
----------- Rudger -- Silva --- Chalobah ---------
TT ajitahidi kupanga kikosi hiki apate angalau DRAW.
Pulisic, Odoi, Ziyech - Wastage of time
Harvetz anajitajidi sana match kubwa. Sijui nyie huwa mnaangalia match gani za chelsea?Harvetz atavunjwa mguu na van Dijk
Labda kama Liver hana viungo wa kueleweka leo ndio tukicheza hivo tutawanyanyasa ila kinyume na hapo viungo wawili tu wanatosha.Mechi ya mwisho kucheza na midfield wengi tukapata matokeo ilikuwa na spurs tulicheza hivi na man City tukapotea vibaya
Sasa afanyaje mkuu.
Ni mara 10 tupigwe 5 na Liverkuku kuliko hilo jamaa lisilojielewa kucheza.
Potelea mbali. Ila huwezi kumpanga Lukaku kwa mambo aliyoongea.naona kocha wenu anaanza kutengeneza sababu za kufungwa taratiiibu
hata kwenye sub hayupolukaku omitted in the squad to face liverpool, za chini chini,
reason? kujisemea ukweli🤣
ramos alishindwa mvunja sembuse uyoHarvetz atavunjwa mguu na van Dijk
uyu bwana kuna kipind ad morinho alivokua unyumbuni alisema n kilopolopo sanaPotelea mbali. Ila huwezi kumpanga Lukaku kwa mambo aliyoongea.
Ni aibu mambo kama yale kuongelewa na mtu kama yeye.
mtu yuko fit, anaanzia sub. Hilo lenyewe hamkuona kama ni kumkosea mchezaji mwenye kiu ya kuimarisha historia yake ya soka kama lukaku? ni bora mngemuacha huko inter alikukuwa na uhakika wa namba kikosi cha kwanzaPotelea mbali. Ila huwezi kumpanga Lukaku kwa mambo aliyoongea.
Ni aibu mambo kama yale kuongelewa na mtu kama yeye.