Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lakini Klop alikunywa magoli Heanderson na Fab walipokuwa wanacheza kama CB
Sasa ni mda wa uongozi umpatie tuchel wachezaj watakaompa anachotaka na si kujaza wacheza ilimradi tu tuonekane tumesajili lwb/rwb

Ndio hali tuliyonayo sasa tunaonekana tunakikosi kipana ila quality sio ni tofauti na city wanakikosi kipana quality zimezidiana kidogo ila sisi back up zetu upande wa pemben lwb/rwb ni majanga zimeshachoka

Anyway james atakuwa nje kwa atleast miezi 2,

Tujiandae na pira alonso pira azplicueta katika kipindi hichi
 
Kwani jamani huu mfumo si ndo ulikuwa unatupa matokeo, Nini kimebadilika?

Mbona huu msimu tulianza vizuri kabisa na mpaka kuna muda tukawa tunaongoza goal difference?

Okay abadili tucheze mfumo gani?
811
 
Kwa Maoni binafsi sioni tatizo ni mfumo wa kocha tatizo kuu naona ni style playing yetu anayoifundisha Tuchel ya sasa ni tofauti na msimu uliopita iliyotupa mafanikio especially kipindi kinakaribia mwisho wa msimu tulikuwa tunacheza mpira wa haraka na wacounter attack na style hii ingemfit Sana Lukaku, mpira tunaocheza sasa wa pasi fupi fupi na back pass nyingi sio mzuri na ndio uliomshindwa kwenye mechi yake ya kwanza dhidi ya Wolves pindi tulipomtimua Lampard ndio ukamfanya abadilishe kwa maneno yake mwenyewe alisema ili Werner an'gae anatakiwa tubadilishe mpira wetu uwe wa counter attack sijui ni kwanini sasa hivi anashindwa kurudisha mpira wa counter attack

Cash Money Forever
lembu
42774277
juan david
 
Mbona ulikimbia humu ndani kwa miezi kadhaa baada ya huyo TT kukupasua na kubeba ndoo ya UCL mbele yako?

We jamaa mnafiki sana.
Dunia nzima inajua mmechua CL kwa kubahatisha ,kiuharisia hamna uwezo wa kuchukua CL kenge nyie


Li timu lenu halina uwezo hata kidogo ,
 
Mashabiki wa chelsea mnavyo chambua sasa, , vipigo mara mbili tu et kocha hafai NOTE: TT is the best coach lakini hamjifunzi uvumilivu tu, majeruhi ndio yanayo watesa. Kupoteza mechi ni kitu cha kawaida sana unaweza pigwa na kitu kizito mfulululizo hadi ukaona dunia chungu aisee, Jifunzeni uvumilivu kama Liverpool wala hatunaga papara hata tupigwe mara tano mfululuzo bado tunamuamini Klopp. Lakini nyie mkibondwa mara moja na mkatoa draw mara moja mnaanza mara ooooh tubadili mfumo chezeni 811 sasa mkikosa mfumo .
 
Hua nasema haka ni katimu kadogo.

Tusibishane.

Tafuta interview ya leo ya Lukaku.

Your most expensive signing 😅😅😅 anadhalilisha haka katimu.
 
Kwa Maoni binafsi sioni tatizo ni mfumo wa kocha tatizo kuu naona ni style playing yetu anayoifundisha Tuchel ya sasa ni tofauti na msimu uliopita iliyotupa mafanikio especially kipindi kinakaribia mwisho wa msimu tulikuwa tunacheza mpira wa haraka na wacounter attack na style hii ingemfit Sana Lukaku, mpira tunaocheza sasa wa pasi fupi fupi na back pass nyingi sio mzuri na ndio uliomshindwa kwenye mechi yake ya kwanza dhidi ya Wolves pindi tulipomtimua Lampard ndio ukamfanya abadilishe kwa maneno yake mwenyewe alisema ili Werner an'gae anatakiwa tubadilishe mpira wetu uwe wa counter attack sijui ni kwanini sasa hivi anashindwa kurudisha mpira wa counter attack

Cash Money Forever
lembu
42774277
juan david
Huwezi kupiga counter attack watu wamepack basi.
 
Mashabiki wa chelsea mnavyo chambua sasa, , vipigo mara mbili tu et kocha hafai NOTE: TT is the best coach lakini hamjifunzi uvumilivu tu, majeruhi ndio yanayo watesa. Kupoteza mechi ni kitu cha kawaida sana unaweza pigwa na kitu kizito mfulululizo hadi ukaona dunia chungu aisee, Jifunzeni uvumilivu kama Liverpool wala hatunaga papara hata tupigwe mara tano mfululuzo bado tunamuamini Klopp. Lakini nyie mkibondwa mara moja na mkatoa draw mara moja mnaanza mara ooooh tubadili mfumo chezeni 811 sasa mkikosa mfumo .
Achana na hao mashabiki maandazi.

Watu vigeugeu humu ndani kama vinyonga aiseeee.
 
Huwezi kupiga counter attack watu wamepack basi.
Kwa build up slow ya chelseafc lazima itakuwa ngumu kuwafungua team pinzani angalia liverpool au Tottenham ya conte inavyocheza ndio utajua utofauti upo wapi
 
Sijapendwezwa na interview ya lukaku, naahidi kumchukulia hatua ya kinidhamu.
 
Kwa build up slow ya chelseafc lazima itakuwa ngumu kuwafungua team pinzani angalia liverpool au Tottenham ya conte inavyocheza ndio utajua utofauti upo wapi
Build unakuwa slow sababu tunakaa sana nyuma.

Hivi umeshawahi angalia, tukirudi nyuma forward line inakuwa maeneo gani?

Anyway japo kiupande fulani tunavyocheza siyo sawa na msimu uliopita.

Msimu uliopita hakukuwa na mpira wa kupaka rangi. Shids tu tukawa tunakosa magoli. Refer lile goal la fainali za UEFA. Mendy ChilwellMountHarvetz Goal.

Msimu huu these type of goals hazipo. Na watu walikaa kimya sababu mfumo huohuo wa pasi fupifupi ulikuwa unafanya kazi na tulipata magoal mengi tofauti na msimu uliopita ambao tulikuwa tunapata goal moja moja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom