juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Klop msim uliopita wakat van dijk ameumia aliweza mtumia fabinho o henderson kama cb, hakuweza badilisha mfumo kisa tu injury na hapo unakuta kabak or davies ambao walisajiliwa january wako bench,Tutaona mwisho wake ukizingatia na wachezaji majeruhi sioni tukitoboa andelee kumweka pulisic wingback kama atujaendelea kulia kila siku
Pulisic kucheza wingback anacheza game moja moja na sikila game, ni sawa na klop anavyomtumia milner kama rb mda mwingine huku nje akiwa na neco william or joe gomez
Game ya aston villa kuna mda pulisic alicheza kama rwb na tulianza kucheza vizuri na kuanza kupanga mashambulizi kuliko hata wakat anacheza falss no9


