Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lukaku ashaharibu hali ya hewa, katika wakati ambao hatujawa na matokeo mazuri, natumai kesho tuchel atatupa majibu,

Ngoja tuone hali itakavyokuwa,
 
Lukaku ashaharibu hali ya hewa, katika wakati ambao hatujawa na matokeo mazuri, natumai kesho tuchel atatupa majibu,

Ngoja tuone hali itakavyokuwa,
Ukweli kazingua hakupaswa kuongea vile kipindi kama hichi vuta picha akiwa uwanjani atapata mapokeo gani kwa mashabiki
 
Lukaku ashaharibu hali ya hewa, katika wakati ambao hatujawa na matokeo mazuri, natumai kesho tuchel atatupa majibu,

Ngoja tuone hali itakavyokuwa,
Haya matamshi aliyatoa wiki ya kwanza ya December 2021 lakini yalirushwa hewani tarehe 30 December 2021 na Sky Sport Italia

"Physically I'm doing great. I'm just not very happy with the situation, but that's normal," Lukaku said. "I think the boss has decided to play a different formation but I have to stick at it and get on with it professionally"
"I'm not happy with the situation but it's my job and I mustn't give up."

Baada ya mechi na Villa alihojiwa tena na kusema

"I think I needed a performance like this today. The manager has his reasons but I kept working hard," Lukaku said after scoring in the 3-1 win over Aston Villa on 26 December.

"It's a good win and personally for me I'm happy. Balls from crosses and the movement in the box - I try to be less static."

BBC Sport inaripoti kuwa Lukaku na TT wameshajadiliana kuhusu majukumu ya Lukaku kwenye timu na ndio maana Lukaku alicheza tofauti na Villa na pia juzi tulipocheza na Brighton

YES inaweza kuwa na madhara (50/50) (inategemea na factors nyingi) ya muda mrefu kwenye timu na hasa uwepo wa aidha Lukaku au TT ukiendelea kuwepo Chelsea. Ilirushwa tu jana na kama TT alijua hilo haitakuwa na madhara badala yake positive impact, ila kama hakujua na sasa inaweza ikamshutua akapanic na mahusiano na Lukaku na wachezaji wengine ikazorota na ikawa ndio mwisho wa TT

Ikitokea hivyo (mahusiano yakazorota) sidhani kama Lukaku atauzwa ila nadhani TT siku zake pale darajani zitaanza kuhesabiwa

Lukaku ni mchezaji ambaye yuko kwenye kiwango chake cha juu cha ufungaji na pia anayo shauku kubwa ya kuendelea kuwa hivyo. kwa calibre yake kumuweka benchi au kumuwekea mfumo holela ambayo itamfanya ashindwe kufunga hataridhika na kawasha kiberiti makusudi ili kama Chelsea hawako tayari kumtumia jinsi yeye anavyotaka arudi Inter ambao wao walimuelewa na wakamtumia vizuri hadi hadi akafunga magoli mengi.

Na ndio maana baada ya majadiliano na kati ya Lukaku na TT kuhusu mfumo utakaomuwezesha yeye kufunga, TT kaja na staili tofauti kuanzia mechi dhidi ya Villa. Mipira mingi sasa hivi inapelekwa kwa Lukaku
Infact hata ile blunder aliyofanya Odoi dhidi ya Brighton badala ya kushoot akiwa kwenye position nzuri alimtafuta Lukaku kwenye imposible angle hadi akapoteza ile nafasi. Mentality ya kumchezesha Lukaku imebadilika baada ya Lukaku kuongea na kuketi na TT ili kushauriana.

Kwa staili ya TT, huko mbeleni Lukaku wengi watajitokeza pale dressing room na itakuwa ndio chanzo cha TT kutimuliwa

Mfumo wa TT utamuweka tu darajani ukileta matokeo mazuri, ila akianza kuboronga na hali hiyo iko karibu sana regardless ya mafanikio aliyopata. tusishangae TT akitimuliwa

Uongozi wa Chelsea hauwezi kumvumilia kocha anayeshindwa na huku wachezaji muhimu walionunuliwa kwa pesa nyingi wakianza kulalamika kupitia media

USHAURI:

TT anatakiwa ajifunze kufitisha mfumo kwenye vipawa vya wachezaji

Lukaku ni mfungaji mzuri ila hafungi kama inavyotakiwa
Ziyech ni mfungaji na mtoa assists mzuri ila kajifia kabisa sababu ni mfumo wa kocha
Werner ni mfungaji mzuri sana, kaja Chelsea kashindwa kufunga
 
Odoi
Ziyech
Pulisic
Mount

Wachezaji wa kawaida sana. Pale city hawapati namba.

Uwezo wao mdogo wa kucheza na kumsaidia Lukaku pale mbele.

Washambuliaji tulionao sio wa mbio ndefu kama EPL, utoto mwingi sana mbele ya goli.

Utoto mechi after mechi, EPL haikusubirii uache utoto.

Marina asijili washambuliaji serious wenye uwezo mkubwa.

Tuache kubahatisha bahatisha kushinda mechi.
Hapo labda Pulisic auzwe kwa sababu ni injury prone akipona hadi awe fit anakula mshahara wa bure kabisa
  1. Odoi ni energetic bado tunamuhitaji hata kama sio kwenye first team
  2. Ziyech bado anafaa, kocha amtumie kama alivyokuwa anatumika Ajax. Zile krosi zake zitamfaa sana Lukaku
  3. Mount bado anazo Talent za kutosha, anahitaji kocha amsukume kama Hazard alipokuwa mtoto MO alimpusha sana hadi akafikia alipofikia
Kuwatoa hao wachezaji wa umri mdogo halafu kesho anaenda kuwika kwenye timu zingine tuanze kumrudisha kwa mamilioni ya pesa kama Lukaku
Kwa sababu wameonyesha talent kocha awapusha walete matunda mapema
 
Haya matamshi aliyatoa wiki ya kwanza ya December 2021 lakini yalirushwa hewani tarehe 30 December 2021 na Sky Sport Italia

"Physically I'm doing great. I'm just not very happy with the situation, but that's normal," Lukaku said. "I think the boss has decided to play a different formation but I have to stick at it and get on with it professionally"
"I'm not happy with the situation but it's my job and I mustn't give up."

Baada ya mechi na Villa alihojiwa tena na kusema

"I think I needed a performance like this today. The manager has his reasons but I kept working hard," Lukaku said after scoring in the 3-1 win over Aston Villa on 26 December.

"It's a good win and personally for me I'm happy. Balls from crosses and the movement in the box - I try to be less static."

BBC Sport inaripoti kuwa Lukaku na TT wameshajadiliana kuhusu majukumu ya Lukaku kwenye timu na ndio maana Lukaku alicheza tofauti na Villa na pia juzi tulipocheza na Brighton

YES inaweza kuwa na madhara (50/50) (inategemea na factors nyingi) ya muda mrefu kwenye timu na hasa uwepo wa aidha Lukaku au TT ukiendelea kuwepo Chelsea. Ilirushwa tu jana na kama TT alijua hilo haitakuwa na madhara badala yake positive impact, ila kama hakujua na sasa inaweza ikamshutua akapanic na mahusiano na Lukaku na wachezaji wengine ikazorota na ikawa ndio mwisho wa TT

Ikitokea hivyo (mahusiano yakazorota) sidhani kama Lukaku atauzwa ila nadhani TT siku zake pale darajani zitaanza kuhesabiwa

Lukaku ni mchezaji ambaye yuko kwenye kiwango chake cha juu cha ufungaji na pia anayo shauku kubwa ya kuendelea kuwa hivyo. kwa calibre yake kumuweka benchi au kumuwekea mfumo holela ambayo itamfanya ashindwe kufunga hataridhika na kawasha kiberiti makusudi ili kama Chelsea hawako tayari kumtumia jinsi yeye anavyotaka arudi Inter ambao wao walimuelewa na wakamtumia vizuri hadi hadi akafunga magoli mengi.

Na ndio maana baada ya majadiliano na kati ya Lukaku na TT kuhusu mfumo utakaomuwezesha yeye kufunga, TT kaja na staili tofauti kuanzia mechi dhidi ya Villa. Mipira mingi sasa hivi inapelekwa kwa Lukaku
Infact hata ile blunder aliyofanya Odoi dhidi ya Brighton badala ya kushoot akiwa kwenye position nzuri alimtafuta Lukaku kwenye imposible angle hadi akapoteza ile nafasi. Mentality ya kumchezesha Lukaku imebadilika baada ya Lukaku kuongea na kuketi na TT ili kushauriana.

Kwa staili ya TT, huko mbeleni Lukaku wengi watajitokeza pale dressing room na itakuwa ndio chanzo cha TT kutimuliwa

Mfumo wa TT utamuweka tu darajani ukileta matokeo mazuri, ila akianza kuboronga na hali hiyo iko karibu sana regardless ya mafanikio aliyopata. tusishangae TT akitimuliwa

Uongozi wa Chelsea hauwezi kumvumilia kocha anayeshindwa na huku wachezaji muhimu walionunuliwa kwa pesa nyingi wakianza kulalamika kupitia media

USHAURI:

TT anatakiwa ajifunze kufitisha mfumo kwenye vipawa vya wachezaji

Lukaku ni mfungaji mzuri ila hafungi kama inavyotakiwa
Ziyech ni mfungaji na mtoa assists mzuri ila kajifia kabisa sababu ni mfumo wa kocha
Werner ni mfungaji mzuri sana, kaja Chelsea kashindwa kufunga
Yaani kati ya lukaku na TT ,TT ndio anatakiwa kuondoka kwenye club ?????


Kwa hiyo manager Hana nguvu kwenye club ?

Lukaku ndio anatakiwa kuondoka ,club yeyote ambayo mchezaji anakuwa na nguvu kumzidi manager hio club haiwezi fika popote walahiii
 
Kwahiyo tuwasubirie wakuwe kiuwezo huku tumuache City aendelee kubeba makombe.

Kama kuwasubiria wakuwe basi wabaki kuwa sub sio 1st team. Sio kutufanyia masihara kule mbele

Hatuwezi kuwa na washambuliaji wa 1st team ambao hawana uwezo wa kuingia safu ya ushambuliaji za vikosi vya kwanza vya wapinzani wetu city na Liverpool.
Sijasema tuwasubiri, nimesema tusiwatoe labda Pulisic
Mimi naamini form mbovu ya hao niliowataja mchango mkubwa ni wa kocha
Hao hao wachezaji akipewa PEP utawatamani

Sterling alipokuwa Liverpool kwa umri ule Mount ni bora mara 10

TT anategemea tactics za kubahatisha hana mfumo wa kukuza vipaji ili vije kuleta faida kwa timu
Kama Lukaku analialia huko nje je hao wengine
Tusipumbazwe na kombe la UCL alilotupa TT, bado anayo madhaifu mengi hasa kwenye kuwakuza na kuwatumia vizuri wachezaji kulingana na talents zao

Odoi amesikika akilalamika kuchezeshwa wing-back
Naamini wachezaji wengi hawaridhiki kuchezeshwa out out of position ili kufource 3-4-3 mfumo ambao unafaa tu kama wachezaji wote wanafit hapo

Tatizo la Chelsea kule mbele linaanzia katikati. Tangu atoke Fabregas hatuna kiungo mtoa pasi zile za hatari. absolutely hakuna, hadi tumpate huyo ndipo akina Mount, Pulisic, Odoi Ziyech walaumiwe
 
HATUPO SERIOUS KABISA
20211230_154522.jpg
 
Sajili za Marina za miaka ya karibuni za kuunga na soletepu, haswa kule mbele ametuletea wachezaji wa kawaida sana

Timu haina angalau hata mshambualiaji mmoja wa hatari wa kuogopeka wa kujivunia. Tangu aondoke HAZARD hatuna tena mchezaji wa kuamua matokeo.
Huyo mshambuliaji hatari hata akija bado ataonekana wa kawaida kama kocha anashindwa kutengeneza mfumo mzuri kikubwa inatakiwa kocha angalie aina ya mfumo ambao utamfanya kila mchezaji awe kwenye kiwango chake
 
Huyo mshambuliaji hatari hata akija bado ataonekana wa kawaida kama kocha anashindwa kutengeneza mfumo mzuri kikubwa inatakiwa kocha angalie aina ya mfumo ambao utamfanya kila mchezaji awe kwenye kiwango chake
Shida yetu ni kuwa beki zetu zinamapungufu, ili kuyaficha inabidi tucheze back 3 ili kuficha mapungufu yao

Njia pekee ya kucheza na mabek 4 inabidi tutafute mabek wengine wa kati, je marina yuko tayar kumpa tuchel wachezaj anawaowataka, ukija kuangalia tuchel inabid atumie 343 ili kuficha mapunguf ya wachezaj wetu upande wa nyuma

Rudiger kwenye back 4 tutamkataa, na wale wakina christiansen.
433 inahitaj uwe na mabeki aina ya kina dias/van dijk beki

Silva umri ushaenda hawez akacheza 10/15 games mfululizo


Marina inabidi afungue poch aampe tuchel wachezaj anaowataka na sikumletea wachezaj ili mradi tu tusajili
 
Huo mfumo TT ndio best kwake. Amefika mwisho wa mfumo sioni akibadilika au kubadilisha mfumo. Bali namuona akistick na mfumo & style hii hii ya uchezaji wa timu linyeshe mvua liwake jua.

Kiufupi TT ni mwoga wa kupoteza mechi mfulilizo hayuko tayari kujaribu mfumo mpya bali atakomaa na huu huu akiamini majeruhi wakipona mfumo wake utaimarika ( pass fupi fupi, back pass milioni 1, ball position asilimia laki 5)
Tutaona mwisho wake ukizingatia na wachezaji majeruhi sioni tukitoboa andelee kumweka pulisic wingback kama atujaendelea kulia kila siku
 
Huo mfumo TT ndio best kwake. Amefika mwisho wa mfumo sioni akibadilika au kubadilisha mfumo. Bali namuona akistick na mfumo & style hii hii ya uchezaji wa timu linyeshe mvua liwake jua.

Kiufupi TT ni mwoga wa kupoteza mechi mfulilizo hayuko tayari kujaribu mfumo mpya bali atakomaa na huu huu akiamini majeruhi wakipona mfumo wake utaimarika ( pass fupi fupi, back pass milioni 1, ball position asilimia laki 5)
Shida ni wachezaj wetu, hata guardiola huwez kuta kabadilisha mfumo sana unakuta anabilisha tactics ila mfumo unakuta ule ule,
Zinchenko alikuwa mid lakin pep kamfanya amekuwa lb na anafanya kazi nzuri,

Klop msim uliopita alitumia hadi fabinho n henderson kama cb hakubadilisha mfumo. Kisa injury,

Issue ya kubadilisha mfumo huwa sio rahis kama tunavyozan kwa hawa makocha wakubwa, kubadilisha mfumo unaanza kuimplement idea zingine na huwa sikaz ndogo
 
Shida yetu ni kuwa beki zetu zinamapungufu, ili kuyaficha inabidi tucheze back 3 ili kuficha mapungufu yao

Njia pekee ya kucheza na mabek 4 inabidi tutafute mabek wengine wa kati, je marina yuko tayar kumpa tuchel wachezaj anawaowataka, ukija kuangalia tuchel inabid atumie 343 ili kuficha mapunguf ya wachezaj wetu upande wa nyuma

Rudiger kwenye back 4 tutamkataa, na wale wakina christiansen.
433 inahitaj uwe na mabeki aina ya kina dias/van dijk beki

Silva umri ushaenda hawez akacheza 10/15 games mfululizo


Marina inabidi afungue poch aampe tuchel wachezaj anaowataka na sikumletea wachezaj ili mradi tu tusajili
Hizo beki unazosema hazifai msimu ujao zinaondoka maana tumeshindwa kuwaongezea mkataba
 
Inauma kuona man city tulikuwa tunamzidi points tano ila sasa hivi katupita point 8 mechi 7 za mwisho tumepata matokeo yasiyo na bahati kwetu. Mechi tulizokuwa tunaongoza wamekomboa mwishoni bunley everton na brighton zimetunyima points sita.! Hii ndio sababu ya hapo tulipo .mechi ya wolves draw westham katupiga man u draw ukicheki man city kashinda game 9 mfululizo kwann asiwe bingwa wa epl.
Chelsea wamekuwa wakawaida hawatishi tena.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom