Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mimi naona tatizo ni kocha kwani wachezaji hawa hawa si ndiyo wamechukua uefa? Na sasa hivi kaongezewa Lukaku na Saul.

Na yeye ndiye alituhakikishia hii timu itakua inaogopwa.

Mimi naona kocha hatufai.
Ongeza sauti 😃😃😃
 
Shida sio mfumo, shida ni kukutwa na majeruhi +covid, sidhan kama kunatim ambayo imekutwa na majeruh mengi+ covid kama sisi,
Kuna mechi tuliwah kuwa na wachezaj 13 tu walio fit,


Shida nyingine ni kutokuwa clinical katika umaliziaji, hawa watoto wanashindwa kufanya maamuzi sahihi katika wakat sahihi.
Hii timu ina kikosi kipana kocha afukuzwe
 
Pulisic, Odoi, Ziyech, Cheek, Barkey, Alonso waondolewe kikosini wanatupotezea muda tuu. Hawa wachezaji ukiwapeleka pale city hawapati nafasi kikosini hata ikifanyika rotation.

City anafanya vizuri kwa sababu ana kikosi kipana chenye wachezaji wenye uwezo mkubwa unaokaribiana.

Sisi hapa 1st eleven yenyewe matakataka mengi huko kwenye benchi ndio hamna kitu.

Tuache kusifia ujinga the BLUES wachezaji wengi ni wa kawaida sana.

Huyo MOUNT tunayemsifia ni wa kawaida sana sioni anachofanya uwanjani zaidi ya kukimbia kimbia tuu uwanjani.

Sawa majeruhi wapo lakini pia wachezaji wetu wana uwezo wa kawaida sana.
Mount alikuwa mzuri naona karidhika kama kawaida ya wachezaji wengi wa kiingereza
 
kocha ni mzuri sana, kuchukua uefa na akina rudiga na silva naa christiansen ni ishara kuwa aliweza kukamua ubora wa juu zaidi kutoka kwa wachezaji avarage, mpeni wachezaji, kwa sasa hakuna pa kujificha timu zinahitaji vikosi vipana ambavyo vimesheheni wazee wa kazi wanaojua wanachokifanya uwanjani sio kina mount wana kariba ya uchoyo utadhani wanataka balon dor
Kocha aende sisi tumezoea kushinda tu
 
Adjustments.jpg
 
Ulitegemea afanyaje, wakat wachezaj wenyewe kila siku wanaumia,
James ndio huyo injury tumebakiwa na azp na alonso kama rwb$lwb, tumekwisha


Anyway zipo game pulisic or odoi washawai cheza kama rwb/lwb tangu tuchel aje
Pulisic naye ni injury prone
Kante muda wowote injury
Bado tunapambana na Covid-19
Mola tusaidie, hatuja wachezaji waliobaki
 
Ulitegemea afanyaje, wakat wachezaj wenyewe kila siku wanaumia,
James ndio huyo injury tumebakiwa na azp na alonso kama rwb$lwb, tumekwisha


Anyway zipo game pulisic or odoi washawai cheza kama rwb/lwb tangu tuchel aje
Sawa timu imejaa injuries lakini ukiwa kama kocha kuna mda inabidi ubadilishe mfumo kutokana na wachezaji aliokuwa nao sio kila mechi mfumo mmoja huwezi kupata matokeo kwa namna hiyo
 
Shida sio mfumo, shida ni kukutwa na majeruhi +covid, sidhan kama kunatim ambayo imekutwa na majeruh mengi+ covid kama sisi,
Kuna mechi tuliwah kuwa na wachezaj 13 tu walio fit,


Shida nyingine ni kutokuwa clinical katika umaliziaji, hawa watoto wanashindwa kufanya maamuzi sahihi katika wakat sahihi.
Hakuna timu ambayo haipati majeruhi tuache kujitetea kwenye hili huwezi kulazimisha mchezaji acheze position sio yake ikiwa una uwezo wa kubadili mfumo
 
Sasa ukisikia maiti kagoma kuingizwa ndani ya jeneza ndo j'pili hakika watavunjana miguu hawa viumbe,na mwisho wa game wataambulia point 1/1.
We shinda hapo. J2 ndio siku ya kusafisha matakataka kama wewe humu ndani.
 
Mimi naona tatizo ni kocha kwani wachezaji hawa hawa si ndiyo wamechukua uefa? Na sasa hivi kaongezewa Lukaku na Saul.

Na yeye ndiye alituhakikishia hii timu itakua inaogopwa.

Mimi naona kocha hatufai.
Punguza shobo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom