lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,490
Mbali na counter hata mentality ya attacking haipo sasa hivi. Unamtegemea Alonso akipata mpira yuko radhi apige chenga nyingi ili tu amtafute Rudiger badala ya kusaka mbuga kwenda mbele golini kama anavyofanya Chilwell au JamesLukaku sio takataka, tunatakiwa tubadilishe style ya uchezaji tuachane na pass fupi fupi kuelekea lango la mpinzani, tunaingia kwenye box tukiwa Lundo.
Tucheze style kama ya Conte 3-4-3 ya counter attacks ndio chakula cha Lukaku & Werner
Werner & Lukaku hawawezi kushambulia kwenye space ndogo, wanahitaji space kubwa kushambulia kwa kasi.
Na uhakika TT akihamia kwenye counter attacks tutashinda mechi kirahisi sana. Tofauti na sasa wapinzani wetu wameshatusoma tunacheza mwendo wa konokono.
Jognho, Harvetz, Alonso mwendo wa konokono
Tuna wachezaji wengi wazuri sana kwenye back passes lakini penetration passes wako wachache na wengi wao ni mabeki akiongozwa na Rudiger. Katikati Kante na Kovacic, ugonjwa wa kocha uko hapo. akienda majeruhi Kova, Kante inabaki Chelsea ya back passes

