Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Unachezaje counter attacks wakati timu nyingi zikikutana na nyie zinacheza low block..... Hiyo nafasi kubwa kwa ajili ya Lukaku na Werner ku attack inatoka wapi. Pengine useme, TT awe na alternatives(including counter attacks).
Otherwise TT kaupiga mwingi mnoo, Yaani mna dominate(control) mechi vizuri kabisa tena with high energy and intensity,, sa ivi mnataka mambo ya kaunta
Tuulize sisi tuliochoshwa na counter Uchwara za bwana Solskjaer

Ila kwa Lukaku mumepigwa
Bora wewe umeliona hilo timu inapokuwa na wachezaji wazuri tegemea mpinzani wako akae dip sasa sijui wakati tunanunua huyo striker asiyeweza kuoperate kwenye tight space tulitegemea nini? Hakuna maumivu makali kama timu inafungwa na kushindwa kucontrol game hizo game plan za counter huwa ni msimu mmoja tu baada ya hapo watu wanaweka bus game over. Sasa tunakabia juu then striker ana zero skills za kupress tunasubiri maajabu gani hapo
 
Barkley na Malang Sar wanaweza wakasepa January
Chelsea haitafanya manunuzi yeyote January badala yake itaweka nguvu kwenye kuweka mikataba mipaya ya Silva, Christasen, Azpilicueta na Rudiger. Pia academy walicheza Karabao Cup Harvey Vale na Jude Soonsup-Bell wataongezewa mikataba yao ambayo itaisha 2023
Mikataba ya Kante na Jorginho pia zitaisha 2023, na kama ni wachezaji muhimu kwenye timu huu ndio muda wake wa kunegotiate mikataba mipya
 
Unachezaje counter attacks wakati timu nyingi zikikutana na nyie zinacheza low block..... Hiyo nafasi kubwa kwa ajili ya Lukaku na Werner ku attack inatoka wapi. Pengine useme, TT awe na alternatives(including counter attacks).
Otherwise TT kaupiga mwingi mnoo, Yaani mna dominate(control) mechi vizuri kabisa tena with high energy and intensity,, sa ivi mnataka mambo ya kaunta😅😅🙌🙌
Tuulize sisi tuliochoshwa na counter Uchwara za bwana Solskjaer

Ila kwa Lukaku mumepigwa😅😅😅
Juve walicheza hivyo ila baada ya HT tulibomoa na kuwafumua magoli,. intend ikiwepo na mentality ikiwepo defense yeyote inabomolewa na nafasi za hizo counter zinakuwepo siku zote. Football is science and anything is possible
 
Bora wewe umeliona hilo timu inapokuwa na wachezaji wazuri tegemea mpinzani wako akae dip sasa sijui wakati tunanunua huyo striker asiyeweza kuoperate kwenye tight space tulitegemea nini? Hakuna maumivu makali kama timu inafungwa na kushindwa kucontrol game hizo game plan za counter huwa ni msimu mmoja tu baada ya hapo watu wanaweka bus game over. Sasa tunakabia juu then striker ana zero skills za kupress tunasubiri maajabu gani hapo
na hii ndo sababu kubwa ya timu kutumia false 9 kwasababu uwez kumpress low block kwa kumtumia target man maana anakua marked na watu zaid ya wawili sasa atawezaje kupress wakat ball skills na ball control amna

Sent using motorola 78
 
Siku: Jumapili Desemba 26 2021 saa 2:30 usiku saa za Afrika Mashariki
Uwanja: Villa Park
Refa: Martin Atkinson
Kikosi cha mauaji leo
Mfumo ni 3-4-2-1


------------------------Lukaku--------------------------

Pulisic -----------------------------------------------------Mount

Alonso -----------Jorginho----------------- Kante --------------- James

Rudiger -----------------Silva -------------------- Chalobah

----------------------------Mendy-----------------------------

Sub zitakazotumika
Kovacic dk ya 60
Odoi dk ya 60


 
Akihojiwa kwenye press conference kabla ya mechi na Aston Villa TT adai anafurahi ameepuka kufukuzwa kabla ya Krismasi mwaka huu

Chelsea are in the semi-final of the domestic cup, the knockout stages of the Champions League and third in the league. It must be a lot happier in the Tuchel household this year than last?

Yeah, and I'm very confident that I survive Christmas in my job this year. We're in a fine place, we're not fully happy with the results we had in the home games. I really focus on the home games Burnley, Everton and Man United where it was not necessary. We were more unlucky than anything else so we are not fully happy with that but we are confident and we have the right to stay confident. We are competitive, we struggle with a lot of injuries in key positions, we struggle with Covid in key positions. The team is a great team, the club is a top club and happy to be part of it.

We will keep on pushing and I am happy to be involved on Boxing Day for the first time
 
Siku: Jumapili Desemba 26 2021 saa 2:30 usiku saa za Afrika Mashariki
Uwanja: Villa Park
Refa: Martin Atkinson
Kikosi cha mauaji leo
Mfumo ni 3-4-2-1


------------------------Lukaku--------------------------

Pulisic -----------------------------------------------------Mount

Alonso -----------Jorginho----------------- Kante --------------- James

Rudiger -----------------Silva -------------------- Chalobah

----------------------------Mendy-----------------------------

Sub zitakazotumika
Kovacic dk ya 60
Odoi dk ya 60


Sasa leo Aston villa ndio anaenda kuwamalizia kazi.
Sare leo hamna, maana sasa mumuzoea sare, naona ndio kamekua kamchezo kenu.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kila nikiangalia msimamo wa LIGI ya EPL kisha nikikumbuka kuwa hata mwezi mmoja haujaisha tangu mashabiki wa Chelsea wajinasibu kuwa kombe ni lao, nabaki kucheka tu mwenyewe kelele hamna kabisa sikuizi.

Sasa leo mkijichanganya kutoa sare au kufungwa na Aston Villa, mjue kabisa hata top four mtaitafuta kwa torch kama msimu uliopita maana Arsenal Tottenham & Man UTD wanakuja mdomdo.
 
IMG-20211226-WA0019.jpg


Sent using motorola 78
 
Kila nikiangalia msimamo wa LIGI ya EPL kisha nikikumbuka kuwa hata mwezi mmoja haujaisha tangu mashabiki wa Chelsea wajinasibu kuwa kombe ni lao, nabaki kucheka tu mwenyewe kelele hamna kabisa sikuizi.

Sasa leo mkijichanganya kutoa sare au kufungwa na Aston Villa, mjue kabisa hata top four mtaitafuta kwa torch kama msimu uliopita maana Arsenal Tottenham & Man UTD wanakuja mdomdo.
Sio suala la kujichanganya, hao inajulikana kabisa kimataifa kua msimu ujao Europa inawahusu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom