Bora wewe umeliona hilo timu inapokuwa na wachezaji wazuri tegemea mpinzani wako akae dip sasa sijui wakati tunanunua huyo striker asiyeweza kuoperate kwenye tight space tulitegemea nini? Hakuna maumivu makali kama timu inafungwa na kushindwa kucontrol game hizo game plan za counter huwa ni msimu mmoja tu baada ya hapo watu wanaweka bus game over. Sasa tunakabia juu then striker ana zero skills za kupress tunasubiri maajabu gani hapoUnachezaje counter attacks wakati timu nyingi zikikutana na nyie zinacheza low block..... Hiyo nafasi kubwa kwa ajili ya Lukaku na Werner ku attack inatoka wapi. Pengine useme, TT awe na alternatives(including counter attacks).
Otherwise TT kaupiga mwingi mnoo, Yaani mna dominate(control) mechi vizuri kabisa tena with high energy and intensity,, sa ivi mnataka mambo ya kaunta
Tuulize sisi tuliochoshwa na counter Uchwara za bwana Solskjaer
Ila kwa Lukaku mumepigwa![]()


kelele hamna kabisa sikuizi.


