Kwa sababu unaandika kama mtoto.
CHELSEA TUNA PHILOSOPHY MOJA TU NA YENYEWE NI UBINGWA.
KOCHA ATAKUJA NA PHILOSOPHY YAKE NA WACHEZAJI WATA ADAPT NA ATATUPATIA VIKOMBE.
wewe ukihitaji identity
Mtaalam wetu wakutuletea manager kwa ushirikiano na club board huwa wana research
Managerial philosophy na hii ndo itampa nafasi manager kufundisha hii ckub bora zaidi kwa mwaka huu wa 2021CHELSEA FOOTBALL CLUB
na nikufundishe sasa hii ndo managerial tactical philosophy ya T.TUCHEL "TACTICAL MAGICIAN"
UKIITIZAMA CHELSEA TUNACHEZA MODERN FOOTBALL AMBAYO HAKUNA TIMU YOYOTE CHINI YA JUA HILI WANAICHEZA
FORMATION NI 3421
GOLINI YUPO EDUARD MENDY (SWEEPER GOALKEEPER-Ni aina ya magolikipa ambao wanaplay key rule wakati wa kufanya build up) huyu ni best UEFA GOALKEEPER OF THE YEAR AKIWA AMERUHUSU MAGOAL 3 TU MICHUANO ILIYOISHA YA UEFA AKIWA NA CLEANSHEET MATCH YA FINAL.
KWENYE ULINZI
tunatumia mabeki wa tatu kwa mpangilio huu:
ANTONY RUDIGER LEFT CENTRAL BACK (LCB) huyu mwamba anacheza kama mlinzi wa kushoto wa kati. Wakati wa match ni dynamic kuna muda atakuwa LEFT BACK NA KUNA MUDA atacheza kama LEFT WING BACK. Rudiger ana fit sana hapa kwa sababu akiwa roma alikuwa ana cheza kama LEFT BACK na pia ana speed kubwa.
THIAGO SILVA (CENTRAL CENTRAL BACK) Huyu mwamba anafit sana hii sehemu kwa sababu ana akili nyingi na ni mzoefu wa kutosha.
TREVOR CHALOBAH (RIGHT CENTRAL BACK) huyu ni dogo ni product ya academy ya Chelsea so kama ni club philosophy (UBINGWA) ndo imemkuza tokea akiwa mdogo. natural position yake ni DEFENSE MIDFIELDER ILA kwa sababu ya ugumu wa kupata namba akapambana akapata nafasi ya kucheza hapo. Huyu dogo kwa upande wa kulia kuna muda anabadilika anacheza kama RB au RWB.
Msimu huu tayari ana kombe moja UEFA SUPER CUP AKIWA NA GOLI MBILI ZA EPL.
MIDFIELD
Kwenye eneo hili tuna wachezaji wa nne
CHILWEL LEFT WING BACK
HUYU ANACHEZA KAMA BEKI WAKATI WA KUZUIA NA KUSHAMBULIA NACHEZA KAMA LEFT WINGER NDO MAANA MSIMU HUU ANA GOLI TATU NA ASSIST 4. YUKO FASTA SANA KUFIKA KATIKA LANGO LA WA WAPINZANI.
JORGINHO (DEFENSIVE MIDFIELDER) HUYU NI MCHEZAJI BORA WA ULAYA 2021. huyu ndo moyo wa timu ana uwezo wa hali ya juu katika holding na ndo huwa anatumika katika kupunguza pressure na kufanya build up kwa uhakika. Huyu ni kama chumvi haonekani lakini akikosekana inaonekana tume miss kitu katikati ya dimba.
NGOLO KANTE (CENTRAL MIDFIELDER) Huyu mwamba yupo kila sehemu uwanjani. Ni complete midfielder. Anakupa kila kitu unachohitaji kuanzia kukaba, dribbling, defence. Usishangae msimu ulioisha match mbili za real madrid alichukua man of the match kwenye timu yenye Kross, Casemiro na modric. UEFA walimpa best midfielder of the year 2021. Haishangazi FIFA 22 kumpa 90 rating.
Reece james (LEFT WING BACK) Hii ni product ya Cobham academy kama ni philosophy ya club anaielewa vyema. Huyu mwamba anafanya anachofanya chilwel ila yeye ni upande huu wa kulia. Ana goli nne na assist 5 msimu huu. Anakila kitu tunachohitaji nguvu, tackling,akili na prowess Attacking ya hali ya juu. licha ya kumpata bure ana thamani ya paundi millioni 55.
FOWARD
HAPA tuna option nyingi sana tuchel hutumia double AM:
Mason Mount (Attacking midfielder) HUYU DOGO HAISHANGAZI MSIMU HUU NDO MFUNGAJI BORA WA CHELSEA ANA GOAL 8 NA ASSIST ZA KUTOSHA. ANABEBWA NA AKILI NYINGI NA UWEZO MKUBWA WA KUSAIDIA KIUNGO WAKATI WA BUILD UP. HII PIA NI PRODUCT YA CHELSEA ACADEMY. HUYU NDO MRITHI WA KITI CHA UFALME CHA FRANK LAMPARD NEW LEGEND. ANA THAMAN YA PAUNDI MILLION 75.
Kai harvetz (Attack midfielder) huyu ndo alifunga goal la ushindi final vs man city. Ni moja ya European wonderkid. Huyu dogo anakupa kila kitu unahitaji pale mbele. Haishangazi Fifa 22 walimpa rating ya 84.
ROMEU LUKAKU BOLINGOLI (FALSE 9) 100+ MILLION USD HUYU MKONGO MWENYE URAIA PACHA BELGIUM NDO ANASIMAMA PALE MBELE. MZIKI WAKE UNAELEWEKA VYEMA AKIWA MZIMA.
SUB
KOVACIC
WERNER
PULISIC
ZIYECH
ODOI
RLC
AZP
KEPA
DEFENSIVE INSTRUCTION TUNATUMIA "GEGENPRESS"
WAKATI WA KUDEFENSE FORMATION HUCHANGE NA KUWA 541
Wakati wa ku attack tuna switch kwenda kuwa 135.
reference