Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nyinyi hamna team hapo, na huu msimu kama TUCHELEWE ataendelea kuwa kocha hapo ni lazima mcheze Europa League, sioni namna yoyote ya nyinyi kuwa top four.

Nyee Nyee Nyeee.....tunafungwa kwasababu ya kikosi, haya leo mpo full mnafanya nini?
 
Mendy karuhusu goli la kijinga na vado kuna mkereketwa hapa atadai akitoka Salah Mendy ndio no. 2 kwa ubora EPL
Errors za kipumbavu kama hizi ndio zitatufanya kuwa Bingwa.
Mendy hayuko fit kipindi hiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom