Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,209
- 27,026
Usimtete tuchel kisa wewe ni chelsea fanHey fella kwa hiyo abadili mbinu apaki naye apaki basi aache mmoja mbele?
Hivi unajua tulikuwa tunacheza na timu zinazipaki basi na bado tulikuwa tunapata matokeo kwa mfumo huohuo?
Nini kimebadilika?
Pulisic alikosa lile goal one to one. Na hapa wa kulaumiwa ni Tuchel?
Chelsea sasa inacheza kama.barca ya enzi za mwisho mwisho kutamba
Pass nyiingi lakina hazina impact hawashambulii mfululizo from wing wanataka penyeza mipira kati na hakuna finisher dizaini messi maana timu ikikupakia basi lazima uwe na forward anaweza penya kwa na mpira kwa mabeki
Je vipi kama chilwel akirudi na timu still inacheza kama hivi
Nakumbia tutafuliliza drawa na kufungwa kwa counter attacks
Mpira unakaa kwa mabeki muda mwigi hakuna cross zinazopigwa sana
Hii staili mimi siikubali tutafeli tu tutake tusitake