tuchel=van gaal aliyechangamka

Unadhani shida ni nini na lawama ziende kwa nani?8 games
2 wins only
2 loses
4 draws
Nina wasiwasi kama bado tupo kwenye race
You are out from today bro8 games
2 wins only
2 loses
4 draws
Nina wasiwasi kama bado tupo kwenye race
Kila siku kocha mpya???tunahitaji kocha mpyaa
aliyepo kaishiwa mbinuKila siku kocha mpya???











Wacha ushabiki mahandazi we, juzi tu hapa tulikuwa tunasema ubingwa wetu mala hakuna Kama tuchel Leo unasema kaishiwa mbinu, hujui soka we, tuache na kocha wetu.aliyepo kaishiwa mbinu
Hii ni mara ya tatu wanaibiwa kwa kumnunua lukaku, hivi huwa mnafeli wapiChelsea mnajiona mna timu mara EPL yenu, lkn kiuhalisia Amna kitu !!!
Hata huyo lukaku arudi hakuna kitu! Jashooo ndoo kumi hakuna goal![]()
Baada ya Saul kuingia angalau tunakaa na mpira
Ngolo Kante anatubeba
Naona Saul ndie anacheza DM na Kante anakuwa mobile kama kawaida yake
Kova kaingia
Mungu tusaidie
Naona Wolve wamechoka
Naomba hii comment yangu isiwe kweli wakuu....poleni sana, ni hurumaila wakuu lukaku anawakaba sana.....hapress vizuri na lile tatizo lake la kutuliza mipira na kumaintain possession lipo bado....
amepoteza mipira mingi sana kwemye third ya Westham pia hata kupress pia ameshindwa anaenda kupress kwa kujog ili ajivue lawama tu....poleni wazee christmass mnaweza kuwa wa 4 pambaneni