Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Alonso alifanya mkimbio mmoja tu nyuma ya safu ya ulinzi ya wolves ambao ulizaa chance ya pulisic,
Hizi anatakiwa awe anafanya mara kwa mara kama chilwel anavyofanya

Tunawachezaj 7 mpk sasa wenye maambukiz ya covid na huenda wengine wakaongezeka kwa siku zijazo
 
Alonso alifanya mkimbio mmoja tu nyuma ya safu ya ulinzi ya wolves ambao ulizaa chance ya pulisic,
Hizi anatakiwa awe anafanya mara kwa mara kama chilwel anavyofanya

Tunawachezaj 7 mpk sasa wenye maambukiz ya covid na huenda wengine wakaongezeka kwa siku zijazo
FA ina sera gani hasa kutoahirisha mechi za Chelsea FC? maana mbali na hao wachezaji majeruhi pia wapo.

Mbona Tottenham na Man Utd walikubaliwa kuahirisha mechi karibuni tatu?

Au ndiyo bado tu wana bifu na Abrahamovich?
 
Mkuu huyo kocha wenu abadilishe mbinu bila hivyo ataishia kupiga pasi na kumiliki mpira tu magoli hapati.

Sasa hivi ni mwendo wa6-3-2 hapo ataiweje hamna uwezo wakupata goli.liverpool na man city wanaelewa

Matokeo ya leo mimi sijashangaa wala siwalaumu.
Hey fella kwa hiyo abadili mbinu apaki naye apaki basi aache mmoja mbele?

Hivi unajua tulikuwa tunacheza na timu zinazipaki basi na bado tulikuwa tunapata matokeo kwa mfumo huohuo?

Nini kimebadilika?

Pulisic alikosa lile goal one to one. Na hapa wa kulaumiwa ni Tuchel?
 
Nimeuliza makusudi sababu humu ndani kuna watu wanaangalia mpira live score halafu waishia kulaumu tu....

Naona hakuna aliyenijibu leo.
Weeeee bando saivi nighali sana na kifurushi cha dstv 51000 nitakiweza? Sofascore ndio mpango weweeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
ndugu mbona unahangaika kama kuku anatafuta pa kutaga. Tulia! Mpira kupoteza pia ni sehemu ya mchezo kama ilivyo kushinda na kutoa suluhu! Sasa cha ajabu hapo ni kipi?
kwa jinsi tot alivyo chaj, nyie ndio mmeshika nafasi za wanaume pale mjiandae kisaikolojia
 
Hamna uwezo wa kukaa meza moja na timu Kama city ....

This is epl ...


Kama mnaweza tufuaten pale juu....
 
Haiondoi ukweli kwamba we are the current Europe champions
don't look back, focus on your calamities you are facing right now, with your back passes I see you sliding back kwa kasi ya 4G
 
Hey fella kwa hiyo abadili mbinu apaki naye apaki basi aache mmoja mbele?

Hivi unajua tulikuwa tunacheza na timu zinazipaki basi na bado tulikuwa tunapata matokeo kwa mfumo huohuo?

Nini kimebadilika?

Pulisic alikosa lile goal one to one. Na hapa wa kulaumiwa ni Tuchel?
Hapna no pulisc ndio wakulaumiwa ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom