ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,063
Sawa lakini tumeshindaMmebebwa
Sawa lakini tumeshindaMmebebwa
Mtaongea sana safari hii. Liverpool kashinda kwa penalty man City ameahinda kwa penalty. Nawewe omba penalty ushindeChelpenat mumekuja na mbinu ya kununua penalty sasa [emoji1787][emoji1787]
Mkuu mbona wewe Aston villa katuoa jasho. Ivi ninyi ya kwenu hamuoni?Acha zako ww hv kama leeds kawatoa jasho mnategemea mumfunge bayern? Nyie subirini tu
hakuna cha kubebwa leo wakubwa hali ilikuwa tete, leo villa, wolve na leeds WALIKUWA WANA NIA OVU...mwisho wa siku mizania imebalance kila mtu kapata ushindi kwa matuta SI MCHEZO!Mmebebwa
Mwana mahesabu tuambie timu ya kumfunga bayern inatakiwa imfunge Leeds ngapi?Acha zako ww hv kama leeds kawatoa jasho mnategemea mumfunge bayern? Nyie subirini tu
Mlitusumbua mno kipindi mpo pale kileleni sikuiz ushindi umekuwa wamagumashi mpaka mpewe penalt ya bure.Mkuu mbona wewe Aston villa katuoa jasho. Ivi ninyi ya kwenu hamuoni?
Mbona mnaipenda Chelsea
10 mkuuMwana mahesabu tuambie timu ya kumfunga bayern inatakiwa imfunge Leeds ngapi?
Wachezaji wetu wakipona Huu uzi mtahama bila kupenda10 mkuu
Acheni kusingizia majeruhi nani hana majeruhi?Wachezaji wetu wakipona Huu uzi mtahama bila kupenda
Bila ya kumsahau ndugu yao Norwich.hakuna cha kubebwa leo wakubwa hali ilikuwa tete, leo villa, wolve na leeds WALIKUWA WANA NIA OVU...mwisho wa siku mizania imebalance kila mtu kapata ushindi kwa matuta SI MCHEZO!
Naona unakiona kibanz chetu tu...Mlitusumbua mno kipindi mpo pale kileleni sikuiz ushindi umekuwa wamagumashi mpaka mpewe penalt ya bure.
Wakishatoka hao nani anacheza?
Mzeee... Nakwambia tena.. Loft cheek kama wachezaji wa kitanzania.. Ambao wakipata mpira wanataka kuanza kukokota .Muondoe Lotfus Cheeck kwenye hiyo list
Wachezaji wetu wakipona Huu uzi mtahama bila kupenda
Kwan Nyie fools mna majeruhi gani.....nyie akiumia van dijk n fabinho ndo msimu wenu unaishia hapoAcheni kusingizia majeruhi nani hana majeruhi?
Kocha wako mwenyewe anajua Chelsea sio timu ya kawaida ndo maana anahangaika kuwabakiza kina mane n Salah [emoji23] mechi ya tarehe moja mwaka mpya wawepo ....sasa wewe upo mbinga huko unaleta husda zako Tu na kelele kibaoMkuu nyinyi si mnasemaga mnakikosi kipana,Vipi sasa mpaka wachezaji wote warudi?
Mpaka warudi mtakuwa nafasi ya 5 huko tofauti ya points 21 na Liverpool.
Timu yenu ni ya kawaida sana,ni swala la muda tu ,mkiambiwaga hamsikii.
Mkuu timu yenu pumzi imekata kwa sasa hapo ndio Epl.
Sasa hivi kila mechi mnaruhusu goli za kutosha.
Huyo jamaa ana hasira na Chelsea utadhani imemsababishia hasara kwenye maisha yakeWe jamaa unakuwaga na chuki sana dhidi ya Chelsea na mbaya zaidi unatabia za umama ndani yako.
Kama wewe ni jinsia ya Ke sawa. Endelea na umama wako.
Zeeee la kubeti hiloHuyo jamaa ana hasira na Chelsea utadhani imemsababishia hasara kwenye maisha yake