njoo kwetu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 801
- 1,802
Sijajua kwann chelsea bado wana mng'ang'ania alonso... Kwanza alonso hata stamina ya miguu..
Kalegea miguu sana...
Chelsea kuna wachezaji kama alonso,barkley na loft cheek.. Inabid waonyeshwe njia ya kutoka..
Wanaigarimu timu.. Lakn hakuna improvement yoyote
Kalegea miguu sana...
Chelsea kuna wachezaji kama alonso,barkley na loft cheek.. Inabid waonyeshwe njia ya kutoka..
Wanaigarimu timu.. Lakn hakuna improvement yoyote