Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Siku mliyoshinda goli nne dhidi ya juventus nilikuja kuwaambia humu kuwa juventus sio kipimo halisi cha kujiona mnatisha ulaya nzima kutokana na juve kushuka kiwango lakini mkanivamia mara ooho sijui mpira mara ooho wivu utakuua. Timu yetu inaogopwa na kila timu.
Puumba
 
Wewe kenge wapi nimesema watakutana ....!

Namaanisha hata huko mbele robo final ,semi final tukutane nazo tu ...baada ya kuona mnamuogopa buyern [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Hata Mimi siwezi bishana na kilaza Kama wewe ambaye hujitambui ....
We badi mtoto hujui mpira... Kunguni weee....
 
Jumatatu sio mbali aisee ,subili mkutane na buyern Munich [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Bayern tunamng'oa wala hatoamini... Timo Werner ameanza kupiga moves za hatari hatari...

Game ya jana bila werner huenda tungekufa 3 bila.
 
Watu walikuwa wanakushangaa kipindi kile unaponda usajili wa Lukaku (Sasa naamini Toney alikuwa mbadala mzuri na kwa bei nzuri), sa ivi naona washaanza kuelewa.
Ni kweli Lukaku ana stats nzuri za ufungaji lkn ni mzigo. Jamaa technically ni mbovu, footwork mbovu, control chumba na sebule. Hawezi kucheza kwenye tight space.
Hapana shaka kwamba atafunga ila atawakera sana kuliko hayo magoli yake😅😅😅
Wale woote waliomuona Lukaku anafaa ni kenge kuzidi wewe, sasa kama wewe unajua hivyo si ungekuwa hata techn ical director wa Lipuli FC ukawasaidia kutoshuka daraja??
 
Kuna wakati acha ukweli ubaki kuwa kweli naanza kuamnini kuwa kikosi chetu huenda tulikuwa tunashinda kwa morari tu basiii sare ya 3 kwa 3 kweli unategemea nn
Hapana ndg. kukosekana kwa strategic players kumetuadhiri
Kova
Kante
Chilwell na sasa wameongezeka
Jorginho na Chalobah ambaye alishaanza kufit ile nafasi zaidi ya Christansen
 
Aasa kwenye hiyo picha uliyopost umeona kuna liverpool au bayern munich...

Wewe bado akili huna....
Unazidi kuonesha ukilaza hadharani mkuu ,embu kalale [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Wapi nimesema man city atakutana na Liverpool au buyern kwenye draw ya 16 bora ...

Mimi nimesema pindi wakikutana kwenye michuano ya CL in general Sasa jitu umekaza fuvu Kama makande ya edaru ...!
 
Unazidi kuonesha ukilaza hadharani mkuu ,embu kalale [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Wapi nimesema man city atakutana na Liverpool au buyern kwenye draw ya 16 bora ...

Mimi nimesema pindi wakikutana kwenye michuano ya CL in general Sasa jitu umekaza fuvu Kama makande ya edaru ...!
we toka lini demu ukajua mambo ya mpira.

Kukaa nyumbani kwako umeona hutosheki, unawashwa..

ukaamua kuja humu kutafuta bwana...
 
Kwea mechi ya jana
Barkley
Sarr
Saul
ni takataka hawastahili kucheza first 11 ya Chelsea
Sarr tangu mwanzo sipendi uchezaji wake, hayuko tactical pale ni ugali tu upo, mimi kwa maoni yangu Sarr hafai hata sub ya Chelsea. Jana aliacha matobo mengi hadi inatia kichefuchefu. TT alitakiwa amuingize Rudiger mapema

Chrtistansen naye anacheza tu vizuri wakiwepo Rudiger na Silva

Anyway, timu yetu ikiwa na first eleven yake yote hakuna timu ya kuiogopa
hata awe
  1. Bayern
  2. Real Madrid
  3. Lile
  4. Ajax
Sisi tatapiga tu
 
Wale woote waliomuona Lukaku anafaa ni kenge kuzidi wewe, sasa kama wewe unajua hivyo si ungekuwa hata techn ical director wa Lipuli FC ukawasaidia kutoshuka daraja??
Una hasira sana mkuu
Mpira ni mchezo wa wazi, kila mtu anaona kinachofanyika uwanjani.
Hao waliomuona Lukaku anafaa ndo hao pia waliona Barkley na Werner wanafaa.
Kubali kataa, kukosea kupo mkuu!!
Kama unakumbuka vzr priority yenu ilikuwa Haland, alipokosekana ndo mkamchukua Lukaku
Prof. Ralf Rangnick anasema ukishindwa kusajili wachezaji sahihi, ni heri kutokusajili kuliko kusajili wachezaji ambao siyo sahihi
 
Una hasira sana mkuu
Mpira ni mchezo wa wazi, kila mtu anaona kinachofanyika uwanjani.
Hao waliomuona Lukaku anafaa ndo hao pia waliona Barkley na Werner wanafaa.
Kubali kataa, kukosea kupo mkuu!!
Kama unakumbuka vzr priority yenu ilikuwa Haland, alipokosekana ndo mkamchukua Lukaku
Prof. Ralf Rangnick anasema ukishindwa kusajili wachezaji sahihi, ni heri kutokusajili kuliko kusajili wachezaji ambao siyo sahihi
Exactly kama tunavyo fanya liverpool huwa hatusajili ovyo [emoji16][emoji16]
 
Alafu man city msitishe watu kwamba nyinyi ni bora kuliko tim yoyote ile na UCL hamfiki popote si tupo hapa?
 
Alafu man city msitishe watu kwamba nyinyi ni bora kuliko tim yoyote ile na UCL hamfiki popote si tupo hapa?
Wewe utafika wapi .....

Omba Sana Mungu msikutana na buyern maana ndio utakuwa mwisho wenu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Yule kenge ata kutuliza mpira hajui
Tatizo wachezaji wenu hawajui kupiga pass[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]lukaku anatumia nguvu nyingi Kama makirikiri kutuliza tu mpira ...achilia mbali kupiga chenga ....
 
[emoji117] Unajua kuna mashabiki wenzangu mnafanya masihara kukosekana kwa Kante & Kovacic kikosini.

[emoji117] Hawa jamaa ni uti wa mgongo wa timu, hawa jamaa ni msingi wa ubora wa safu ya ulinzi na ushambuliaji.

[emoji117] Hawa jamaa wanatembea na mpira uwanjani sio mchezo, hakuna kiungo ya timu pinzani itapenda kukabiliana na Kante/Kovacic, kwani wameshikilia asilimia 70 ya kutoa clean sheet na asilimia 50 za kufunga magoli.

[emoji117] Kante/Kovacic wanakaba, wanaziba njia, wanapora mipira, wanashambulia kwa kasi ya hali ya juu.

[emoji117] Jog, Cheek & Saul sio Kante wala Kovacic, tutawalaumu sana, tutuwalaumu mabeki, tutawalaumu makipa lakini

[emoji117] Bila uwepo wa Kante/Kovacic, kiungo yetu inajeuka kituko, njia ya walanguzi, Jog anakuwa comfotable kumiliki mpira na kutuliza timu kama Kante anafanya kazi ya msingi ya kukaba na kupora mipira.

[emoji117] Zile clean sheet kwenye mechi 12 hazikuja bahati mbaya Kante/Kovacic walikuwa wanaulinda ule ukuta nyuma yao. Wanazima mashambulizi kabla hayajafika kwa mabeki.

[emoji117] Madirisha ya usajili yajayo kuna ulazima wa kumsajili kiungo mkata umeme wa kusaidiana na Kante na Kovacic. Usajili wa SAUL ulikuwa wa kukurupuka, hasaidii chochote kwenye hili janga la majeruhi.
True
 
Una hasira sana mkuu
Mpira ni mchezo wa wazi, kila mtu anaona kinachofanyika uwanjani.
Hao waliomuona Lukaku anafaa ndo hao pia waliona Barkley na Werner wanafaa.
Kubali kataa, kukosea kupo mkuu!!
Kama unakumbuka vzr priority yenu ilikuwa Haland, alipokosekana ndo mkamchukua Lukaku
Prof. Ralf Rangnick anasema ukishindwa kusajili wachezaji sahihi, ni heri kutokusajili kuliko kusajili wachezaji ambao siyo sahihi
  1. Usajili wa mchezaji yeyote ni gambiling
  2. Form ya mchezaji inapanda na kushuka
  3. Uhamisho wa mchezaji kwenda timu nyingine na au ligi unaweza ukamfavor au ukamkataa
  4. Sio kila wakati mchezaji mzuri anakuwa mzuri, Kane ni mfungaji mzuri sana yuko wapi sasa,
  5. Lukaku kacheza mechi za mwanzo tu kapata injury, hizi alegations ungezitoa mwisho wa msimu ningekuona una point
 
Alafu man city msitishe watu kwamba nyinyi ni bora kuliko tim yoyote ile na UCL hamfiki popote si tupo hapa?
Kama Mancity na PEP wanataka UCL waache kuweka priority EPL, makombe haya mawili mahitaji yake ni makubwa kwenye kuchosha wachezaji na hivyo ni Manure tu walibahatika kubeba EPL na UCL mwaka 1999. Hakuna tena timu nyingine na ikitokea ni bahati sana
 
Siku mliyoshinda goli nne dhidi ya juventus nilikuja kuwaambia humu kuwa juventus sio kipimo halisi cha kujiona mnatisha ulaya nzima kutokana na juve kushuka kiwango lakini mkanivamia mara ooho sijui mpira mara ooho wivu utakuua. Timu yetu inaogopwa na kila timu.
Kwan kikosi kilekile kilichoanza na juve ndo km hicho cha Jana?....we chalii acha chuki[emoji23]
 
  1. KEPA sio mzuri kumzidi Mendy hasa kwenye kuokoa mashuti
  2. Ila pia nakubaliana na KEPA kuwa wakati ule wa Lampard iliyokuwa inatugharimu kufungwa hovyo ni mfumo uliokuwa mbaya wa kujilinda yaani defensive system was very poor
  3. Mendy akienda afcon january tutajua kama Kepa ni mbaya au ni mfumo wa kujilinda ndio ulikuwa mbovu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom