Chief kuna mambo ya msingi ya kudeal nayo kwa sasa kwenye kikosi zaidi ya Lukaku.
Kuna ishu ya upatikanaji wa kiungo mkabaji & LWB hii hali tunayopitia sasa hivi pale katikati ya majeruhi (kante, Kovacic) sio pouwa kabisa, inatucost sana sana.
Saul amefeli, Alonso anazidi kuwa mzito na back passes milioni 1
Tunahitaji usajili wa kiungo mwingine wa kurithi viatu vya Kante, haswa Kante umri unapozidi kusonga mbele, na LWB mwingine pacha wa Chilwell, Alonso atupishe.
Pale mbele yupo Harvetz anacheza vizuri sana kuliko Lukaku. Mbona wakati Lukaku akiwa injury tumeshinda mechi ngapi? Tulimkumbuka?
Sioni kama kuna haja ya kumjadili sana Lukaku kuliko uhitaji wa DMF na LWB.