Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Alafu tabia ya sisi liverpool tukifungwa au tukidraw mnatufata kwenye uzi wetu nakuanza kutubeta muache hiyo tabia jana mmedraw mmeona mwana liverpool kaja kuwabeza? [emoji23][emoji23][emoji23] mpira una wakati unaweza kua bora kipindi fulani mpaka ukaona Uefa au ndio tunachukua leagie hivyo kumbe mambo hubadirika, mashabiki wa chelsea mbadilike bhana msiwe mashabiki mandazi au kama kuku mwenye nyege [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Divork Origi is better than Lukaku, bisha uone [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alafu tabia ya sisi liverpool tukifungwa au tukidraw mnatufata kwenye uzi wetu nakuanza kutubeta muache hiyo tabia jana mmedraw mmeona mwana liverpool kaja kuwabeza? [emoji23][emoji23][emoji23] mpira una wakati unaweza kua bora kipindi fulani mpaka ukaona Uefa au ndio tunachukua leagie hivyo kumbe mambo hubadirika, mashabiki wa chelsea mbadilike bhana msiwe mashabiki mandazi au kama kuku mwenye nyege [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Divork Origi is better than Lukaku, bisha uone [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lukaku tunawauzia Totte msimu ujao....
 
Mkuu hivi mashine zetu Chilwell, Kante, Kovacic, jog, Silva, Rudger, Chalobah, James zote zingekuwepo kikosini zenit wangekufa 5 bila.

TT ametengeneza balance ya kikosi kwa wachezaji hao. Wasipokuwepo ndio unaona tunacheza makida makida

Kwenye mtoano zikiwepo zote full fit, the blues ileeeeee fainali.
Hao uliowataja walikuwepo mechi ya kwanza dhidi ya zenit pale darajani vipi goli zilifika hata mbili?
 
Mimi sioni ugumu wa Liverpool tunamtaka huyo Liverpool ,buyern sijui ajax ....

Ni kuwawashia Moto tu[emoji170][emoji170][emoji170]

Cityzen chairman
 
[emoji1]
officialsoccermemes-___CXPHCOjs0Dc___-6.jpg
 
Mimi sioni ugumu wa Liverpool tunamtaka huyo Liverpool ,buyern sijui ajax ....

Ni kuwawashia Moto tu[emoji170][emoji170][emoji170]

Cityzen chairman
Yani hata hujui kuwa team za nchi moja kuwa 16 bora hazikutani au waliiongoza makundi hawakutani haf mtu anabishana na mtu kama wewe kweli mpira umeavamiwa na watoto
 
Unaongela mechi 1?

Hapa tunaongelea mafanikio tuliyopata kama timu hao jamaa wakiwa uwanjani.

Juzi wametupa makombe mawili la UCL na super cup.

Na wakirudi kikosini ni mwendo wa ushindi tuu.

Tunajua wapinzani wetu wanatamani Kante asirudi uwanjani, eti madocta washauri akatwe mguu.

Mashine inarudi veri soon.
Wewe umeongelea mchezo dhidi ya Zenit kwamba laiti kama mashine zenu zingekuwepo mngewafunga goli tatu namimi nikakumbusha kuwa hao uliowataja walikuwepo kwenye mechi dhidi ya hao hao zenit nakupata ushindi kwa mbinde.
 
Yani hata hujui kuwa team za nchi moja kuwa 16 bora hazikutani au waliiongoza makundi hawakutani haf mtu anabishana na mtu kama wewe kweli mpira umeavamiwa na watoto
Wewe kenge wapi nimesema watakutana ....!

Namaanisha hata huko mbele robo final ,semi final tukutane nazo tu ...baada ya kuona mnamuogopa buyern [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Hata Mimi siwezi bishana na kilaza Kama wewe ambaye hujitambui ....
 
Mimi sioni ugumu wa Liverpool tunamtaka huyo Liverpool ,buyern sijui ajax ....

Ni kuwawashia Moto tu[emoji170][emoji170][emoji170]

Cityzen chairman
We bado mtoto mdogo... Maana hata hujui una chance ya kukutana na timu zipi... na timu zipi huwezi kukutana nazo kabisa hatua inayofuata....

Unaonekana una misimu miwili toka uanze kushabikia mpira.
 
Jumatatu sio mbali aisee ,subili mkutane na buyern Munich [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
tani 10, yule jamaa ni kenge sana.
Watu walikuwa wanakushangaa kipindi kile unaponda usajili wa Lukaku (Sasa naamini Toney alikuwa mbadala mzuri na kwa bei nzuri), sa ivi naona washaanza kuelewa.
Ni kweli Lukaku ana stats nzuri za ufungaji lkn ni mzigo. Jamaa technically ni mbovu, footwork mbovu, control chumba na sebule. Hawezi kucheza kwenye tight space.
Hapana shaka kwamba atafunga ila atawakera sana kuliko hayo magoli yake😅😅😅
 
We bado mtoto mdogo... Maana hata hujui una chance ya kukutana na timu zipi... na timu zipi huwezi kukutana nazo kabisa hatua inayofuata....

Unaonekana una misimu miwili toka uanze kushabikia mpira.
Mkuu wewe ni fala kweli ,huko shuleni huwa mnasomea Nini mpaka sentesi ya maneno hayo matano huwezi kuelewa kudadeki [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
IMG-20211209-WA0006.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom