Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Usajili wa bolingoli mlikurupuka ,,, haendani na mfumo wa TT ,,,! Akifanikiwa kumaliza na 15+ goals na at least 8+ assist atakua amejitahidi Sana ,,,, ataishia goli kumi tu


Jasho ndoo nzima hakuna goli [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Kai ameludi mazoezini
20211207_142048.jpg
 
Pamoja na kufungwa na West Ham bado nina imani na Timu yangu Chelsea. Juzi baada ya mechi niliandika asiyekubali kushindwa si mshindani.

Mpira ni mbinu mwenzako akikuzidi mbinu anakufunga tu tena kilaini kabisa. Chelsea tulicheza vizuri ila ni makosa ya wachezaji ndiyo ilipelekea tukafungwa magoli matatu.

Chelsea bado timu nzuri EPL. Siku zote hakuna anayefurahia maendelea ya mwingine. Chelsea kwa miaka 10 currently imeachieves pakubwa sana. Na hii ndiyo inapelekea wapinzani kuionea gele.

Chelsea ndiyo timu pekee uingereza inayochukiwa uingereza mzima na hii imepelekea adi mashabiki wa nje ya uingereza kuichukia timu yetu. Sababu kuu ni ACHIEVEMENTS. Hakuna timu pinzani inapenda kuona chelsea kukaa top of the league. Hii ni kwasababu wanajua mziki wa Chelsea inapokuwa juu ya ligi.

Naamini mwalimu Tuchel mbinu haijamuishia. Next match we will bounce back and w’ll take the leads once again.

Binafsi sinaga muda wa kumlaumu mchezaji fulani kafanya nini lakini kwa mechi ya juzi Jojinyo ndiyo disaster. Kulikuwa hakuna sababu ya kurudisha mpira nyuma wakati kuna mpizani. Ametukost kwenye mechi mbili muhimu ya Man u na ya juzi. In another side mendy hakuwa kwenye form since afungwe na man u.

But all in all nawatakia kila la kheri pambano letu la kesho dhidi ya zenit then Leed united.

Chelsea foreva[emoji170][emoji170][emoji170][emoji170]
Tuombe majeruhi warudi na wawe fit haraka, itaongeza uhakika wa kushinda mechi
Tuna Leeds, Everton, Wolves, Aston Villa, na Brighton kabla ya mwaka mpya na baada ya mwaka mpya tunao Liverpool, Man city na Spurs

Aston Villa tangu aje Gerad imekuwa ikibeba point tatu mbele kwa mbele
Spurs tangu aje Conte iko transformed 100% na haijafungwa
Liver na Man city tunajua mziki wao
Hizo mechi hatuhitaji uzembe kama ulioonyeshwa kwenye mechi za Manure, Watford na Westham
Na hizo mechi tukipoteza mechi tatu tusahau ubingwa tubaki kwenye UCL, FA na karabao na top 4, huu ndio ukweli ili tusije pata presure na kisukari bure
 
Msimamo wa Majeruhi hii hapa. Kova kakutwa positive ya Corona, balaa juu ya balaa
1638897381951.png
 
Vs Zenit PT

Twende na 3 - 5 - 2


------------- Werner ------------- Lukaku -----------

Alonso - Mount-- Cheek -- Barkley -- James

------- Rudger ---- Christensen --- Azipi ----------

[emoji117] Mwendo wa mashambulizi ya counter attacks.
Leo tunacheza 433
 
Vs Zenit PT

Twende na 3 - 5 - 2


------------- Werner ------------- Lukaku -----------

Alonso - Mount-- Cheek -- Barkley -- James

------- Rudger ---- Christensen --- Azipi ----------

[emoji117] Mwendo wa mashambulizi ya counter attacks.
Hii ndio line up itakayocheza leo

3-4-2-1

--------------------------------------------Lukaku--------------------------------------------

-----------Werner ---------------------------------------------------------- Mount ------

Odoi --------------------Saul ---------------------Barkley --------------------James

---Sarr-------------------------Christansen ------------------------Azpilicueta-----


--------------------------------------------Kepa--------------------------------------------

SUB

1638982841342.png
 
Dah hivi kweli tunakaa tunaanza kuomba dua tusipangwe na Bayern Munich?

Maana kuna kila dalili ya hilo kutokea...
Siku mliyoshinda goli nne dhidi ya juventus nilikuja kuwaambia humu kuwa juventus sio kipimo halisi cha kujiona mnatisha ulaya nzima kutokana na juve kushuka kiwango lakini mkanivamia mara ooho sijui mpira mara ooho wivu utakuua. Timu yetu inaogopwa na kila timu.
 
Siku mliyoshinda goli nne dhidi ya juventus nilikuja kuwaambia humu kuwa juventus sio kipimo halisi cha kujiona mnatisha ulaya nzima kutokana na juve kushuka kiwango lakini mkanivamia mara ooho sijui mpira mara ooho wivu utakuua. Timu yetu inaogopwa na kila timu.
Mpaka chelsea inachukuwa champion league msimu uliopita kwani ilikutana na timu zipi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom