Maoni yangu dhidi ya Juve
Ili tumpige Juventus inabidi kocha aendelee nampango wakucheza bila striker kwasababu gani? Game ya kwanza walituwini cos plan yao ilikuwa nikumkaba Lukaku na bahati mbaya Chelsea mipira Mingi ilikuwa inapigwa kwenye box ambapo Lukaku inamkuta akiwa amekabwa na wachezaji wawili mpaka watatu tukija kwenye swali langu kuu kwanini game ya leo Chelsea icheze bila natural striker ingawa report zinasema Lukaku amerudi.
Faida ya kutokuwa na natural striker ni kuwa mabeki wa Juventus watashindwa kujua yupi wa kumkaba kutokana na movement za Ziyech, Pulisic watakazokuwa wanafanya lakini pia itaacha nafasi kwa watu kama Reece James, odoi na Benchilwell kupita kwa maana nyingine ina unlock defence nzima ya Juventus.Baadae ndio kocha anatakiwa amuingize Lukaku kama mambo yatakuwa magumu lakini kwamaana ya kuanzishisha first eleven Lukaku asianze kutokana na majitaji ya mechi na aina ya mpinzani mwenyewe.
lembu
Antonio Conte
Cash Money Forever
Ili tumpige Juventus inabidi kocha aendelee nampango wakucheza bila striker kwasababu gani? Game ya kwanza walituwini cos plan yao ilikuwa nikumkaba Lukaku na bahati mbaya Chelsea mipira Mingi ilikuwa inapigwa kwenye box ambapo Lukaku inamkuta akiwa amekabwa na wachezaji wawili mpaka watatu tukija kwenye swali langu kuu kwanini game ya leo Chelsea icheze bila natural striker ingawa report zinasema Lukaku amerudi.
Faida ya kutokuwa na natural striker ni kuwa mabeki wa Juventus watashindwa kujua yupi wa kumkaba kutokana na movement za Ziyech, Pulisic watakazokuwa wanafanya lakini pia itaacha nafasi kwa watu kama Reece James, odoi na Benchilwell kupita kwa maana nyingine ina unlock defence nzima ya Juventus.Baadae ndio kocha anatakiwa amuingize Lukaku kama mambo yatakuwa magumu lakini kwamaana ya kuanzishisha first eleven Lukaku asianze kutokana na majitaji ya mechi na aina ya mpinzani mwenyewe.
lembu
Antonio Conte
Cash Money Forever