John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Mbona toka kitambo Hadi game iliyopita alikosaKovacic majeruhi au?
Mbona toka kitambo Hadi game iliyopita alikosaKovacic majeruhi au?
Tuhame twende wapi mabingwa wapya wa EPL na club bingwa dunia??? Tupo tunakula popcorn kama kawaida
Nimecheka kwa sauti kubwa sana mkuuu so hata mie wanishauri ninunueTuhame twende wapi mabingwa wapya wa EPL na club bingwa dunia??? Tupo tunakula popcorn kama kawaida
nile swaHawa jamaa sijui wamekimbilia wapi! Au kwenye uzi wa Liverpool?Nawasalimu kwa jina la Burnley



Yamejificha mapangoni hukoooHawa jamaa sijui wamekimbilia wapi! Au kwenye uzi wa Liverpool?![]()



Hata kule hayapo yamekimbiaHawa jamaa sijui wamekimbilia wapi! Au kwenye uzi wa Liverpool?![]()
Yamejificha mapangoni hukooo
.Yanakimbia hadi jukwaa Lao,Amkeni kenge nyie ,Kwan hamjui mmechomolewa huko![]()
This is epl kenge nyie .....

Game ya leo tumepata nafasi nying za kufunga, ila tumeshindwa kuzitumia,
Tumecheza vizuri sana nafas tumetengeneza wachezaj wetu wakashindwa kuzimalizia vizuri,
Tulikuwa tunauwezo wa kuimaliza game ndan ya dakik 25 za kipindi cha pili
Tumepoteza pts 2 leo, tunaenda international break tukirudi tuna game na leicester and man utd,
Hii point 1 sio ya muhimu, ukiangalia tulikuwa tunauwezo kuongeza gap la point kati yetu na city&liverpool, huku ukiangalia tuna game ngumu mbili zijazo dhid ya Leicester na man utd,HONGERENI THE BLUES KWA SARE
Tulistahili kushinda kwa jinsi tulivyotawala mchezo muda mrefu.
Tulipata nafasi nyingi nzuri za kufunga magoli bahati mbaya hazikutumika vizuri.
Tumefungwa goli la kushtukizwa/Kujisahau ambalo mabeki wetu walidhani ni mpira wa offside.
Point moja muhimu kwenye mbio za kusaka ubingwa, mapambano yaendelee.
London is BLUE
Tuheshimiane mkuu, tumia lugha nzuri,Poleni sana rent boyz
Wewe ulikua unajua ni NBC?This is epl kenge nyie .....
Rose Berkley ametu kosti sanaa kwasababu goli alilokosa hakustaili kulikosa, kama alivyo tukosti kwenye mpira wa uefa na velencia alivo kosa panelty.......lakini tukubali ame improve sanaa, katika kucheza kama kiungoHONGERENI THE BLUES KWA SARE
Tulistahili kushinda kwa jinsi tulivyotawala mchezo muda mrefu.
Tulipata nafasi nyingi nzuri za kufunga magoli bahati mbaya hazikutumika vizuri.
Tumefungwa goli la kushtukizwa/Kujisahau ambalo mabeki wetu walidhani ni mpira wa offside.
Point moja muhimu kwenye mbio za kusaka ubingwa, mapambano yaendelee.
London is BLUE
Hata kule hayapo yamekimbia




yaani kule group huwa halipoi hata itokee tufungwe sasa yenyewe ku draw tu yamekimbia kuanzia group lao, la liverpool, man u hadi man city 

