Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,780
Yatakuja na kelele balaa huku yametoa draw, team kama Burnley niyakujengewa sanamu pale liverpool threadRent boyz saizi wako mapangoni watarudi baada ya maumivu kupoa.



Yatakuja na kelele balaa huku yametoa draw, team kama Burnley niyakujengewa sanamu pale liverpool threadRent boyz saizi wako mapangoni watarudi baada ya maumivu kupoa.



Wewe ulikua unajua ni NBC?
Timu yako ikipewa point 6 sa bure itaikuta Chelsea kileleni?
Wewe ndo pain killer?nyie jamaa wa THE BLAUZI mna mikwara sana asee!, au hujui hesabu, LETA IZO POINT ZAKO SITA HUONE SIO KUFIKIWA TU NA KUPITWA UNAPITWA VIZURI KABISA, hii ni epl sio ONE-TEAM RACE kama Germany na France, pale England hizo tambo zako hazifai kijana.
View attachment 2001193
Kwa game ya leo ndio tunaona umuhim wa lukaki kwa namna ya chance tulizokuwa tunatengenezaKwahiyo ni bora tungefungwa kuliko kupata hiyo point 1?
Uwezo wa kuongeza gap utoke wapi sasa?
Wakati uwezo wetu wa leo umeishia kupata point 1.
Tuacheni kupiga ramli ya kushinda mechi za mbele wakati mechi ya sasa huna uhakika wa kushinda.
Na ikumbukwe washambuliaji wetu muhimu (Mount, Werner, Lukaku) + Kovacic wapo nje majeruhi huo uwezo wa kushinda asilimia 100 unatoka wapi?
Tumeteleza lakini hatujaanguka usimtukane mamba kabla ujavuka mto Westham on the wayRent boyz saizi wako mapangoni watarudi baada ya maumivu kupoa.
Sisi huwa tunachukulia poa hata tukipgwa kuliko nyie mnao jitapa sasa leo draw imewahusu kwenu.Tumeteleza lakini hatujaanguka usimtukane mamba kabla ujavuka mto Westham on the way
Kudhihirisha kwamba sisi ubingwa unatufuata... Subiria matokeo ya Liverkuku baadae....Fans Chelsea manakimbia sna thred yenu mnakesha kwa wenzenu haya ssa leo mje mjadili mumetoa sare na timu ya hovyo kabsa
Subiri westham akufanye vibaya leoHao rent boys wengi wao hawajui mpira yaani wakikaa juu pale kwenye ligi Tayari wanakimbilia jukwaa la Liverpool kwenda kulingishia kwamba wanachukua ubingwa.
Epl sio ligi ya kitoto hiyo unakuja na matokeo yako utaumbuka.
Bado sijui watakuwa na maneno yao yale tunachukua ubingwa au sijui watakuwa wamebadilisha?![]()
Ndio maana huu mchezo watu tunaupenda sana, unawaza kutawala mechi na usione mpinzani wako akichomoka ila ukisinzia kidogo tu unapigwa
Ila barkley kaimprove sana sahivi, kwa mechi chache alizocheza ameonesha hicho kituJana Chelsea walicheza vizuri ila mbele tumemmiss Werner na Lukaku
Zile kosa kosa za jana angekuwepo Lukaku mbili zingeingia
Na magoli zaidi yangeingia kwa sababu mbele kungekuwa na ubize fulani. Sasa Havertz, Bar5kley na Odoi ni Tofauti na angekuwa Werner, Lukaku na Mount
Wee nunua tuu mkuu kunja nne Kula popcorn kama kawaida mkuu,Nimecheka kwa sauti kubwa sana mkuuu so hata mie wanishauri ninunuenile swa
Leicester city msimu hii ni takataka tu wako very weak, labda tuwe kwenye form mbaya.Majeruhi wetu wanarudi lini kikosini?
Kovacic
Werner
Mount
Lukaku
Kama watachelewa kurudi kikosini naona tukidondosha points dhidi ya Leicester, na mbaya zaidi naona Nyumbu wakizindukia kwetu.
Acha uoga mkuuMajeruhi wetu wanarudi lini kikosini?
Kovacic
Werner
Mount
Lukaku
Kama watachelewa kurudi kikosini naona tukidondosha points dhidi ya Leicester, na mbaya zaidi naona Nyumbu wakizindukia kwetu.
Kweli odoi kuna nafasi alikosa kupiga mkwaju unao eleweka ili afunge na barkery hivo hivo alikosa mara kibaoSio uoga mkuu.
Kuwategemea Odoi, Barkely, Cheek wakupe matokeo, tegemea kuwa disappointed muda wowote.
Form is temporary but class is permanent.
Basi km ndo hvyo usiogope kufungwa na hizo timu Bali uogope kukosa kuibuka na ushindi tukiwa na hao wachezaji kutokana n chance tunazotengeneza.....uoga wako ungemake sense zaidi km tungekuwa na beki mbovu au km tungewakosa kina rudiger n Silva na Mendy n christensenSio uoga mkuu.
Kuwategemea Odoi, Barkely, Cheek wakupe matokeo, tegemea kuwa disappointed muda wowote.
Form is temporary but class is permanent.






Sasa nyie mnauzoefu gani Kwanza tutapiga marufuku mtu ambaye Hana uefa kuja huku Kwa sababu bado ni watoto wadogo.This is epl kenge nyie ...
Keep watching ...
Wazoefu tu ndio tunaenda kuchukua epl![]()