Kamugy T
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,110
- 1,226
Hakuna jipya wakati munatakiwa mujadili kwanini strikers wenu hawafanyi wajibu wao au mmekubali Rukaku mmepigwaUtachambua Nini ikiwa team inafanya vizuri ushindi umekuwa jadi yetu sio jambo lakushangaza kama wenzetu Manyumbu na Arsenane bila kusahau kocha wetu akosei kwenye selection ukichanganya na ufundi wake wa kusema mchezo na kufanya sub sahihi kwa wakati sahihi ndio kabisa.Ungekuwa wewe ndio mshabiki wa Chelsea kwa style hiyo ungechambua Nini hapo?TT sio sosha