Antonio Conte
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 1,089
- 1,748
Wakuu hbr zenu?
Nimekuwa adimu kidogo ktk kuleta uchambuzi hapa napenda tu kuwakumbusha maneno kadhaa ambayo aliyasema Thomas Tuchel wakati anaichukua Chelsea ile January ktk game za mwanzo alisema hivi.... Anataka kutengeneza timu ambayo hakuna timu itapenda kucheza nao!
Siku ingine akaenda mbele zaidi akasema kwa namna wanavyo cheza sio tu kwamba ni mfumo Fulani au sijui nini! Ni kwamba wanavyouishi huo mfumo na kuufanya wauzoee. Waelewe namna wanavyokaba, namna wanavyo shambulia! Namna wanavyo elewana na kuufanya huo mfumo uwe sehemu ya maisha yao!
Sasa hii ndio Chelsea aliyo itengeneza TT wala ha ihitaji kuja kufanya uchambuzi hapa! Yaani tunaacha vitu vijieleze vyenyewe....
Nawakumbusha tu msimu Man Utd haitakuwepo ktk top four.....
Nawapa msimamo wa ligi mpk Mwezi wa tano utakavyokuwa!
(1) Chelsea
(2) Liverpool
(3)Man City
(4) Spurs
Sasa ktk no tano na no 6 hapo Utd na Arsenal watakuwa wanapishana!
Nimekuwa adimu kidogo ktk kuleta uchambuzi hapa napenda tu kuwakumbusha maneno kadhaa ambayo aliyasema Thomas Tuchel wakati anaichukua Chelsea ile January ktk game za mwanzo alisema hivi.... Anataka kutengeneza timu ambayo hakuna timu itapenda kucheza nao!
Siku ingine akaenda mbele zaidi akasema kwa namna wanavyo cheza sio tu kwamba ni mfumo Fulani au sijui nini! Ni kwamba wanavyouishi huo mfumo na kuufanya wauzoee. Waelewe namna wanavyokaba, namna wanavyo shambulia! Namna wanavyo elewana na kuufanya huo mfumo uwe sehemu ya maisha yao!
Sasa hii ndio Chelsea aliyo itengeneza TT wala ha ihitaji kuja kufanya uchambuzi hapa! Yaani tunaacha vitu vijieleze vyenyewe....
Nawakumbusha tu msimu Man Utd haitakuwepo ktk top four.....
Nawapa msimamo wa ligi mpk Mwezi wa tano utakavyokuwa!
(1) Chelsea
(2) Liverpool
(3)Man City
(4) Spurs
Sasa ktk no tano na no 6 hapo Utd na Arsenal watakuwa wanapishana!