Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna kipindi cha The Headline Makers" inaendelea sasa hivi Supersport wanamjadili TT na wanaweka recorded interview kuhusu Ugenius wa TT na Lukaku kutofunga na mambo mengineyo.

Kuhusu yeye kuitwa Super Genius TT anasema yeye anachofanya ni kutoa solution ya ushindi kwa wachezaji wenyewe
Mbinu zake zinabadilika nchi kwa nchi, ligi kwa ligi, timu kwa timu na pia mwaka kwa mwaka kwa sababu wachezaji wanaondoka na wanakuja wapya.

Kuhusu Lukaku kutofunga anasema wachezaji bado wanafahamiana, saa nyingine inachukua muda na pia kasema Lukaku sio mbinafsi na hiyo imejionyesha kwenye ushirikiano anaoutoa kwa washambuliaji wenzake na pia kwenye dressing room.

Anasema Lukaku kupewa huduma ya mipira ni suala la connections
Kuna wachezaji wameshamtambua Lukaku na wengine bado wanajifunza ni suala la muda tu

Pundits wanaoendesha mjadala wakatoa comment ambayo nimeipenda

TT ni supper genius, kaja EPL ligi ngumu akaleta mabadiliko ya haraka kuliko ilivyotegemewa na wengi na hasa kubeba UCL
Pia wakasema angalia Chelsea haichezi kwenye kiwango chake na iko top of the League wakati imeshacheza mechi ngumu zaidi ya contenders wenzake.

Je form ya Chelsea ikirudi mahali pake itakuwaje?

Mambo mazuri yanakuja The Blues msivunjike moyo
Zidane aheshimiwe. Hat trick uCL siyo mchezo.
 
Sasa kilichokuleta humu ndani ni nini.

Unatafuta Bwana?

Ukibakwa utamlalamikia mtu?
Acha kubwabwaja wakati huna data.Una bwabwaja inmradi TU ubwabwaje ewe mubakaji.Kuna makocha Wana historia zao bwana ,wamechill.
 
Nae upepo tu asingekuwa na Ronaldo katika form yake wala asingebeba.

Haha Ronaldo yuko manyua tuone kama sosha nae atakumbwa na upepo au u jiniasi
Kama amebebwa na Ronaldo mbona huyo Ronaldo kaenda Juventus nakashindwa hata tu kuifikisha Juventus nusu Fainal
 
Guardiola pamoja na kuifundisha bayern yenye ubora lakini hajawahi kufika fainal Hili unasemaje?
Kila kocha na upepo wake,ndo maana akashindwa kufika na bayern fainal lakini na city akafika
 
Nae upepo tu asingekuwa na Ronaldo katika form yake wala asingebeba.

Haha Ronaldo yuko manyua tuone kama sosha nae atakumbwa na upepo au u jiniasi
Na ndo maana Nikasema Zidane aheshimiwe.Ni Sawa na kusema Kante asingekuwa Chelsea ,TT asingebeba.Non sense.
 
[emoji23]Kwan klop aliingia na hizo timu final back to back ?
Kwani back to back ya TT ikoje,Si kaanza alipo ishia Lampard.Tofauti na Klopp aliye chukua Timu mwanzo wa msimu.Iyo back to back aioneshe alipo Anza yeye Kutoka kwenye makundi mpaka fainal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom