Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Na Zidane acheze back to back ucl final na timu mbili tofauti.
Ona Sasa akili YAKO. Sasa zidane achukue back to back.Zidane Kwa Sasa anacoach timu Gani.Achaa kubwabwaja tuu broda,Inmradi. Afu tukisema tunaonekana mahater,wabish,hatuna akili.Vyote Sasa.


Sasa Zidane achukue back to back akiwa na timu Gani anayo coach Kwa sasa
 
Ona Sasa akili YAKO. Sasa zidane achukue back to back.Zidane Kwa Sasa anacoach timu Gani.Achaa kubwabwaja tuu broda,Inmradi. Afu tukisema tunaonekana mahater,wabish,hatuna akili.Vyote Sasa.


Sasa Zidane achukue back to back akiwa na timu Gani anayo coach Kwa sasa
Kilichomfanya asiwe hana timu ni nini?
 
11 yetu leo
20211016_183157.jpg
 
Jamani King Power kuna jambo huko msiache kwenda msibani Old Traford
 
Brentford waliifunga Chelsea 3-1 mwaka 1939
Tangu hapo haijawahi kuifunga Chelsea
Katika mechi 6 walizocheza Chelsea ilishinda 5 na kutoa droo moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom