Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,125
- 7,526
Nilijua lazima niletewe picha za UEFA [emoji1787]
Nilijua lazima niletewe picha za UEFA [emoji1787]
Msimu uliopita tuliongoza kwa kutengeneza nafasi zinazopotea, wachezaji ni wale wali akina Jo, Kova, Kante, Mount, Pulisic, Werner, HavertzHakuna wachezaji wa kuwachezesha, Werner, Lukaku wakienda pale Man city watafunga sana.
Inafikirisha sana Lukaku, Werner, Kai wakienda timu za taifa wanafunga kila mechi, wakirudi BLUES ukame wa magoli.
The BLUES hatuna washambuliaji creative wanaowazunguka Lukaku & Werner. Hawa Ziyech, Mount, Barkely, Cheek, Odoi wanalazimisha kucheza vitu ambavyo havipo.
Werner angewakuta hazard, Pedro, Willan, Fabrigas angefunga sana.
Tumeenda kumsajili Lukaku, changamoto ya kutokufunga mabao ipo pale pale
Ishu ilikuwa sio kumsajili Lukaku aje kutatua changamoto ya kufunga magoli, bali ilikuwa kuziba mapengo ya hazard, willan, Pedro na fab.
Wakati CONTE anamtaka Lukaku, Hazard, fab, willan, Pedro walikuwepo, angetua wakati ule lingekuwa balaa zito.
TT pale mbele apange mifumo yote anavyojua, afundishe style zote za ushambuliaji pale mbele, hawa Werner na Lukaku watastruggle sana kufunga magoli.
Solution ni kusajili creative attacking mildfliders and wings. Magap ya Hazard, Fab, Willan na Pedro yazibwe.
Na Pulisic kula mshahara bure inatosha.
Advantage ya akina Costa na Drogba, hakukuwa na ubinafsi kama huu wa leo. na pia tulikuwa na caliber ya akina Fabregas, Hazard nk. Leo ni Mount tu anajitahidi na Werner pia kwenye assists.Mimi naona kama washambuliaji wengi wa Chelsea wana ubinafisi wanataka wafunge wao badala ya kuwapasia Lukaku na Wener.
Na hii inatokana na kutowaheshimu hao mastriker kama ambavyo Drogba alikuwa akiheshimiwa na wachezaji wenzake.
Costa naye aliheshimiwa kwa kuwa alikuwa fighter na hamuonei mtu aibu hivyo automatically wachezaji wenzie wakamheshimu na kuwa wanampatia mipira kila mara.
Wener na Lukaku wakitaka wawe goals machine pale Chelsea inabidi wafanye kitu cha ziada ili wachezaji wenzao wawaheshimu na kuwa wanawalisha mipira kila mara. Vinginevyo hawa strikers wengine wanawachukulia kawaida tu hasa ukizingatia wamewakuta tayari wakiwapo klabuni.
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Mkuu RLC utampenda tu mpe msimu huu tu apate dakika nzuri hata kama ni za sub. Mchezaji ambaye simuamini nadhani kwa sababu ya ulevi ni Barkley, mchjezaji mzuri sana ila anaua career yake kwa sababu ya kutokuwa na nindhamu ya mpira.Mbona CITY anayetokea benchi ana caliber/quality ya kuanza 1st eleven hapo hapo city na timu yoyote duniani?
Sio kwa sababu mchezaji anatoka benchi ndio tujaze matakataka benchi wanatupotezea muda kufikia mafaniko.
Wakati ule anatoka Malouda anaingia Ramires au Solomon Kalou, anatoka Drogba anaingia Anelka AKA Mapungo, anatoka Essen anaingia Mikel Obi. Wote quality ya hali juu.
Tuachaneni kuwapamba wachezaji matakataka, sasa hivi hatuna SUB za maana bali wastage of time
I trust in Mason MountSasa Lukaku itakuwaje?
Werner akifunga magoli mengi Lukaku atajeuka kuwa mpikaji wake.
Kwa sababu the BLUES hatuna mchezaji mwenye uwezo wa kuwapikia magoli wote wawili Werner na Lukaku.
Lazima mmoja kati ya Werner au Lukaku atamtegemea mwenzake kumpikia magoli
Na juzi Lukaku amekataa hiyo role, yeye anataka kucheza ndani ya box alitazame goal mbele atoe pass arudishiwe pass afunge goal.
Na akianza Striker mmoja mfano WERNER kufunga ni shughuli wanaomzunguka kushoto, kulia na nyuma hawana msaada kwake.
Akianza Lukaku wanaomzunguka kushoto, kulia hawana msaada kwake labda asubirie mipira kutoka kwa James, Azipi na Kovacic.
Kwa hali ilivyo sasa hivi pale mbele lazima wacheze wote kwa pamoja Werner + Lukaku.
Hii takataka ya nini, yata benchi la chelsea hapati namba.Mkataba wa PAUL POGBA unakaribia kuisha kule kwa manyumbu.
Nadhani January tufanye juhudi za kumsajili. Why not?
Tunahitaji mchezaji aina ya Pogba, atupe ufundi wake pale mbele
------------ WERNER ------- LUKAKU ----------------
------------------------ POGBA ------------------------------
ALONSO --- JOGINHO --- KANTE --- JAMES
------RUDGER ---- CHRISTENSEN -- AZIPI ----View attachment 1973911
Wewe jamaa hujui mpira [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1]wachezaji wawili ambao wapo Manchester mimi nawaelewa ni Greenwood na pogbaHii takataka ya nini, yata benchi la chelsea hapati namba.
Yaani huyu Taylor ndo refa ninayemchukia uwaga akichezashaga game ya chelsea nakuwa sina imani naye kabisaMbaya zaid Paul Tierney atakua kwenye VAR
Hii type ya wachezaji itasumbua kwenye dressing roomMkataba wa PAUL POGBA unakaribia kuisha kule kwa manyumbu.
Nadhani January tufanye juhudi za kumsajili. Why not?
Tunahitaji mchezaji aina ya Pogba, atupe ufundi wake pale mbele
------------ WERNER ------- LUKAKU ----------------
------------------------ POGBA ------------------------------
ALONSO --- JOGINHO --- KANTE --- JAMES
------RUDGER ---- CHRISTENSEN -- AZIPI ----View attachment 1973911
Pogba mzuri, tatizo lake hawezi kuendana na baadhi ya makocha, kwenye assist na kufunga ni mzuriMkataba wa PAUL POGBA unakaribia kuisha kule kwa manyumbu.
Nadhani January tufanye juhudi za kumsajili. Why not?
Tunahitaji mchezaji aina ya Pogba, atupe ufundi wake pale mbele
------------ WERNER ------- LUKAKU ----------------
------------------------ POGBA ------------------------------
ALONSO --- JOGINHO --- KANTE --- JAMES
------RUDGER ---- CHRISTENSEN -- AZIPI ----View attachment 1973911
Lukaku karudi ameonekana leo mazoeziLine up ya Chelsea against Brentford
3-4-2-1
Werner ------- Havertz ---------Mount
Chilwell ------ Kovacic -----Jorginho ---- Azpilicueta
Malang Sarr------ Christensen ------Chalobah
Mendy