Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,917
- 2,643
Kasema Timu tofauti.Elewa swali.Maana TT kamalizia ngweee tuu na Sio kwamba ameanza Moja.Je ni mfururizo?elewa swali
Kasema Timu tofauti.Elewa swali.Maana TT kamalizia ngweee tuu na Sio kwamba ameanza Moja.Je ni mfururizo?elewa swali
Haya.Hiv kweli Ssi washabiki wa Chelsea tangu asubuhi hyu si kumkausha tu
Kwa maana hiyo Guardiola sio kocha Bora Bali anaendeshwa na upepo?Kila kocha na upepo wake,ndo maana akashindwa kufika na bayern fainal lakini na city akafika
Gurdiola ni kocha bora,na ubora huo kauonesha kote aliko pita.Vipi TT? Kaanza ukocha akiwa Chelsea ndo maNa anaonekana bora Kwa ss?Kwa maana hiyo Guardiola sio kocha Bora Bali anaendeshwa na upepo?
Ukiona hvy ujue wana muda wa kubishana nae, mm nimemjibu mara moja tuu nmetulia.Hiv kweli Ssi washabiki wa Chelsea tangu asubuhi hyu si kumkausha tu
Wkend ndo hii,Ligi zimerudi.J4 na J5 usiku wa mabingwa.Tuenjoy soccer.Ukiona hvy ujue wana muda wa kubishana nae, mm nimemjibu mara moja tuu nmetulia.
Kk we ni hater Tu unacomplicate mambo[emoji23]....kunywa majiKwani back to back ya TT ikoje,Si kaanza alipo ishia Lampard.Tofauti na Klopp aliye chukua Timu mwanzo wa msimu.Iyo back to back aioneshe alipo Anza yeye Kutoka kwenye makundi mpaka fainal
Tatizo hatupendi ukweli broda.Kk we ni hater Tu unacomplicate mambo[emoji23]....kunywa maji
TT ndie kocha pekee aliyefika fainali mfululizo akiwa na timu mbili tofauti, akibisha unitagOneni huyu....
Tuchel amekaa PSG misimu miwili na nusu,
Msimu wa kwanza aliishia 16 bora
Msimu,wa pili akaishia fainali
Msimu wake wa 3 uliishia mwezi december.
Wewe unaita upepo ila nakupa kazi, niletee Kocha yoyote ambaye amecheza UCL final back to back akiwa na timu tofauti.
Na ALIE chukua hat trick uefa ni naniTT ndie kocha pekee aliyefika fainali mfululizo akiwa na timu mbili tofauti, akibisha unitag
Out of contextNa ALIE chukua hat trick uefa ni nani
This is spamZidane aheshimiwe. Hat trick uCL siyo mchezo.
Lampard aliishia pazuri?Kwani back to back ya TT ikoje,Si kaanza alipo ishia Lampard.Tofauti na Klopp aliye chukua Timu mwanzo wa msimu.Iyo back to back aioneshe alipo Anza yeye Kutoka kwenye makundi mpaka fainal
Tangu jana mnaeleweshana tuu.? Bc nyie wote vichwa maji.Wkend ndo hii,Ligi zimerudi.J4 na J5 usiku wa mabingwa.Tuenjoy soccer.
Mimi sibishani na mtu.Ila ni swala la kueleweshana TU na kushare unacho kijua.basi.Kama unAbishana ni wewe na Sio Mimi.
Angechukua Hatrick Uefa na alivorudi mara ya pili.Na ALIE chukua hat trick uefa ni nani
Kuna makocha Wana historia zao... Brada.Huezi elewa context ninayo Manisha .Kufika back to back na kuchukua hat trick ni vitu viwili differOut of context
TT achukue Izo hat trick.Angechukua Hatrick Uefa na alivorudi mara ya pili.
Kichwa maji kawaona vichwa maji wenzie.Tangu jana mnaeleweshana tuu.? Bc nyie wote vichwa maji.