Kama anaona ni rahisi amwambie Ole sosha afanyeAcha aendelee kukaza fuvu huyo
Kama anaona ni rahisi amwambie Ole sosha afanyeAcha aendelee kukaza fuvu huyo
unataka Lukaku ni best striker on earth kwa sasa. Cv ya msimu uliopita inambeba sana na ndo sababu ya kununuliwa na Chelsea kacheza match 51 GA 40 sasa hapo utasemaje chelsea wamepigwa?Unadandia gari kw mbele brother then unaita mawazo yangu mgando, nikumiminie ukalie ugali? ....... ungeuliza kwanza nimewaunganishaje, unaweza ukawa ww ndio una mawazo mavi, Sasa nikueleweshe ni kwamba watu wanawalalamikia akina Mount hawampi Lukaku pasi ndio mana hafungi,wanaficha uhalisia kua kile Kiloba tumepgwa. Mbona wakat Tammy Abraham alivyokua hafungi walikua wanamlaumu Tammy Abraham mwenyewe, walikua hawatup lawama kwingine.
Ndo maana Nikasema ujiniasi,Umeanza kuonekana akiwa Chelsea.Mervin PSG pamoja na kusajili majina makubwa hawakuwahi kuvuka hatua ya robo fainal ya Uefa lakini baada ya ujio wa Tuchel ameifikisha PSG Fainal ya Uefa na kama kusingekuwa na utoto wa Mbappe na Neymay pale mbele wangeshinda walikosa magoal Sana UEFA.
Kwani uefa imeanza juzi??! Unajua alifukuzwa psg kwa sababu Gani? Tangu akiwa psg amefika fainal mara ngapi? Vipi alipo kuwa BVB?Upepo kiaje? Mtu kacheza fainali mbili za UEFA na timu mbili tofauti consecutive....
Huyo jiniasi ana tuzo ngapi za uefa.Ndo maana nikakwambia ni upepo tuuAcha aendelee kukaza fuvu huyo
Unaonekana mweupe kinyama kichwani...Kwani uefa imeanza juzi??! Unajua alifukuzwa psg kwa sababu Gani? Tangu akiwa psg amefika fainal mara ngapi? Vipi alipo kuwa BVB?
Sijasema ni rahisi.Nimesema ni upepo.Kama anaona ni rahisi amwambie Ole sosha afanye
Wee ndo mweupe... Hujui hata Tuchel kakaa Psg kwa muda Gani! Na misimu yote alikuwa anaishia wapi uefa tofauti na fainal aliyo fika na bayern.Unaonekana mweupe kinyama kichwani...
Tuchel ameakaa PSG misimu mingapi?
Huna data,pita ivi.Chuma na wewe unalo.Huna Cha kuongea TU.Acha kukaza hilo chuma hapo juu ya shingo
Tuchel amekaa zaidi ya misimu miwili pSg,Amefika fainal mara Moja TUU,na nyingine zote alikuwa akiishia robo Lichq ya kuwa huru kusajiri mchezaji anae muitaji.Mervin PSG pamoja na kusajili majina makubwa hawakuwahi kuvuka hatua ya robo fainal ya Uefa lakini baada ya ujio wa Tuchel ameifikisha PSG Fainal ya Uefa na kama kusingekuwa na utoto wa Mbappe na Neymay pale mbele wangeshinda walikosa magoal Sana UEFA.
Oneni huyu....Tuchel amekaa zaidi ya misimu miwili pSg,Amefika fainal mara Moja TUU,na nyingine zote alikuwa akiishia robo Lichq ya kuwa huru kusajiri mchezaji anae muitaji.
Unabishana na mtu hana akili anaongea ushabiki tuu ,anadhani UEFA ni mapinduzi cupOneni huyu....
Tuchel amekaa PSG misimu miwili na nusu,
Msimu wa kwanza aliishia 16 bora
Msimu,wa pili akaishia fainali
Msimu wake wa 3 uliishia mwezi december.
Wewe unaita upepo ila nakupa kazi, niletee Kocha yoyote ambaye amecheza UCL final back to back akiwa na timu tofauti.
Klopp. Na bvb na LiverpoolOneni huyu....
Tuchel amekaa PSG misimu miwili na nusu,
Msimu wa kwanza aliishia 16 bora
Msimu,wa pili akaishia fainali
Msimu wake wa 3 uliishia mwezi december.
Wewe unaita upepo ila nakupa kazi, niletee Kocha yoyote ambaye amecheza UCL final back to back akiwa na timu tofauti.
Wewe shida yako ni nini?Klopp. Na bvb na Liverpool
Wee ndo huna akili unae zani kocha kuchukua uefa Moja ndo kuwa jiniasiUnabishana na mtu hana akili anaongea ushabiki tuu ,anadhani UEFA ni mapinduzi cup
Nikuulize wewe.Maana umeuliza nimekujibu.Wewe shida yako ni Nini????labdaaa.Wewe shida yako ni nini?
Unashabikia timu gani?Nikuulize wewe.Maana umeuliza nimekujibu.Wewe shida yako ni Nini????labdaaa.
Hakuna cha ajabu unacho tetea hapo,Kuhusu mwaka alio kaa TT psg nimekwambia Miaka miwili ambayo ni miaka miwili na nusu.Shida yako ni Nini?