Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hakuna wachezaji wa kuwachezesha, Werner, Lukaku wakienda pale Man city watafunga sana.

Inafikirisha sana Lukaku, Werner, Kai wakienda timu za taifa wanafunga kila mechi, wakirudi BLUES ukame wa magoli.

The BLUES hatuna washambuliaji creative wanaowazunguka Lukaku & Werner. Hawa Ziyech, Mount, Barkely, Cheek, Odoi wanalazimisha kucheza vitu ambavyo havipo.

Werner angewakuta hazard, Pedro, Willan, Fabrigas angefunga sana.

Tumeenda kumsajili Lukaku, changamoto ya kutokufunga mabao ipo pale pale

Ishu ilikuwa sio kumsajili Lukaku aje kutatua changamoto ya kufunga magoli, bali ilikuwa kuziba mapengo ya hazard, willan, Pedro na fab.

Wakati CONTE anamtaka Lukaku, Hazard, fab, willan, Pedro walikuwepo, angetua wakati ule lingekuwa balaa zito.

TT pale mbele apange mifumo yote anavyojua, afundishe style zote za ushambuliaji pale mbele, hawa Werner na Lukaku watastruggle sana kufunga magoli.

Solution ni kusajili creative attacking mildfliders and wings. Magap ya Hazard, Fab, Willan na Pedro yazibwe.

Na Pulisic kula mshahara bure inatosha.
Nasikia kuna remours kwamba hazard anataka kurudi Chelsea .

Arudi tu kule Kati kadoda mbaya haya maswala ya kulazimisha kuondoka yanawa cost sana vijana wa siku hizi

Hata huyu Harry kane subirini asepe pale spurs atakiwa sawa na saidi bahanuzi tu

Kuna yule dogo mbappe nae anaweza flop mbay sana

Time will tell
 
Pengine Bodi wana imani na Pulisic atapona ni Hazard mpya.

Pengine wanaamini Ziyech hajazoea EPL

Pengine wanaamini Mount ni next Lampard

Pengine wanaamini Odoi apewe muda ni next Willan
Ila wachezaji wengi wale Cobham graduands hawajakomaa sana

Wanajaribu kuonekana tu

Ukiwatoa hao akina RLC na Barkeley

Tuwape muda wakomaa wacheze Mpira wa akili zaidi
 


Swali:- Unasema Cheek ameanza kurudi, je kiwango anachokionyesha sasa uwanjani kinaendana na ukubwa wa club?

Kwasababu kuna wachezaji wanaonekana wanacheza sana lakini ukipima kiwango chake hakiendani na hadhi ya club yetu.

Mfano Rudger, Kante, Silva, Azipi, Joginho, Lukaku, Kovacic, James, Christensen, Alonso hawa jamaa wanacheza kwa kiwango kikubwa sana, wanaitendea haki jezi ya Chelsea.

Na ukiwatoa mmoja mmoja pale the blues wanaingia direct kwenye timu yoyoye duniani.

Odoi, Ziyech, Pulisic, Barkely, Cheek hawa jamaa viwango vyao sio hadhi ya Chelsea, kwa mfano wakaondolewa wote kikosini kwa pamoja sasa hivi hakuna madhara yoyote.

Kwa sasa wanajaza majina list ya SUB ila hawaistahili hata kuwa sub. Pulisic ni mtumishi hewa anatupotezea muda tuu

Werner, Mount, Kai, Chilwell hawa jamaa wamebakiza hatua moja mbele viwango vyao kufikia hadhi ya the blues.

Mount hiyo hatua 1 hawezi kuicover ndio uwezo wake umefika mwisho. Sioni kiwango chake kikipanda zaidi ya hapa.

Werner & Kai hiyo hatua 1 wataikamilisha kwa mabadiliko ya kimfumo, style ya uchezaji, au vimbinu flani flani + kuna wachezaji wanahitajika kikosini kupatner nao.

Kai dogo ana kipaji kikubwa sana sana huyu dogo anakuja kuwa word class player miaka ya mbeleni. (Kwa sasa aendelee kuimarika kimwili, pumzi, kasi na uzoefu)
Benchilwel ni bonge la mchezaji na ana hadhi ya kuchezea Chelsea ukumbuki alivyokiwasha msimu uliopita na sasa hiv ameanza kurudi kwenye class yake baada ya kuanzia kupata nafasi
 
Swali:- Unasema Cheek ameanza kurudi, je kiwango anachokionyesha sasa uwanjani kinaendana na ukubwa wa club?

Kwasababu kuna wachezaji wanaonekana wanacheza sana lakini ukipima kiwango chake hakiendani na hadhi ya club yetu.

Mfano Rudger, Kante, Silva, Azipi, Joginho, Lukaku, Kovacic, James, Christensen, Alonso hawa jamaa wanacheza kwa kiwango kikubwa sana, wanaitendea haki jezi ya Chelsea.

Na ukiwatoa mmoja mmoja pale the blues wanaingia direct kwenye 1st eleven ya timu yoyoye duniani.

Odoi, Ziyech, Pulisic, Barkely, Cheek hawa jamaa viwango vyao sio hadhi ya Chelsea, kwa mfano wakaondolewa wote kikosini kwa pamoja sasa hivi hakuna madhara yoyote.

Kwa sasa wanajaza majina list ya SUB ila hawastahili hata kuwa sub. Pulisic ni mtumishi hewa anatupotezea muda tuu

Werner, Mount, Kai, Chilwell hawa jamaa wamebakiza hatua moja mbele viwango vyao kufikia hadhi ya the blues.

Mount hiyo hatua 1 hawezi kuicover ndio uwezo wake umefika mwisho. Sioni kiwango chake kikipanda zaidi ya hapa.

Werner & Kai hiyo hatua 1 wataikamilisha kwa mabadiliko ya kimfumo, style ya uchezaji, au vimbinu flani flani + kuna wachezaji wanahitajika kikosini kupatner nao.

Kai dogo ana kipaji kikubwa sana sana huyu dogo anakuja kuwa word class player miaka ya mbeleni. (Kwa sasa aendelee kuimarika kimwili, pumzi, kasi na uzoefu)
Mkuu kwani Hilo swali sasa au hukutazama kiwango chake mechi ya Southampton na alivyoingia kipindi cha pili Vs city...nilikuwa namuona cheek Yule WA sarri kabisa....na hizo game zote alicheza km deep lying mid / CM at least atampa mapumziko kidogo bwana jorgi Frello ambaye alitumika Sana msimu uliopita
 
SWALI:- Hivi wachezaji gani huwa wanaimbwa na mashabiki uwanjani Stanford bridge, wametungiwa wimbo spesho na mashabiki?

Sijawahi kusikia jina la mchezaji wetu likitajwa kwenye nyimbo za mashabiki.
Mbona wanaimba Tu fresh Mi binafsi nasikiaga mashabiki wkt naangalia mechi wakiwaimba thiago Silva, jorginho...
 
SWALI:- Hivi wachezaji gani huwa wanaimbwa na mashabiki uwanjani Stanford bridge, wametungiwa wimbo spesho na mashabiki?

Sijawahi kusikia jina la mchezaji wetu likitajwa kwenye nyimbo za mashabiki.
Oh Roman do you know what that’s worth,

Kai Havertz is the best on earth,

The silky German is just what we need,

He won Chelsea the Champions League
 
SWALI:- Hivi wachezaji gani huwa wanaimbwa na mashabiki uwanjani Stanford bridge, wametungiwa wimbo spesho na mashabiki?

Sijawahi kusikia jina la mchezaji wetu likitajwa kwenye nyimbo za mashabiki.
Ngolo Oh!
Kante will win you the ball,
You've got the power to know,
You're indestructible,
Always believe in, Ngolo oh!...
 
Udhaifu wa chilwell ndio uimara wa Alonso, na udhaifu wa Alonso ndio uimara wa Chilwell.

Wote wakiwa full fit hakuna wa kumweka mwenzake benchi, bali kocha atachagua mmoja wa kuanza naye kwenye mechi kulingana na plan ya Mwalimu

Ila Alonso akiwa full fit ana 60% ya kuanza game mbele ya Chilwell.
Hapana chilwell anapokuwa fit alonso anasubiri chilwell ni beki ambaye anaweza kupanda na kushuka ni mzuri kwenye kushambulia na kudefend wakati alonso ni mzuri pekee kwenye kushambulia tu na ndio maana msimu uliopita benchilwell alitumika karibia game zote japo kocha anachezesha mfumo ambao unamfavor Alonso
 
Swali:- Unasema Cheek ameanza kurudi, je kiwango anachokionyesha sasa uwanjani kinaendana na ukubwa wa club?

Kwasababu kuna wachezaji wanaonekana wanacheza sana lakini ukipima kiwango chake hakiendani na hadhi ya club yetu.

Mfano Rudger, Kante, Silva, Azipi, Joginho, Lukaku, Kovacic, James, Christensen, Alonso hawa jamaa wanacheza kwa kiwango kikubwa sana, wanaitendea haki jezi ya Chelsea.

Na ukiwatoa mmoja mmoja pale the blues wanaingia direct kwenye 1st eleven ya timu yoyoye duniani.

Odoi, Ziyech, Pulisic, Barkely, Cheek hawa jamaa viwango vyao sio hadhi ya Chelsea, kwa mfano wakaondolewa wote kikosini kwa pamoja sasa hivi hakuna madhara yoyote.

Kwa sasa wanajaza majina list ya SUB ila hawastahili hata kuwa sub. Pulisic ni mtumishi hewa anatupotezea muda tuu

Werner, Mount, Kai, Chilwell hawa jamaa wamebakiza hatua moja mbele viwango vyao kufikia hadhi ya the blues.

Mount hiyo hatua 1 hawezi kuicover ndio uwezo wake umefika mwisho. Sioni kiwango chake kikipanda zaidi ya hapa.

Werner & Kai hiyo hatua 1 wataikamilisha kwa mabadiliko ya kimfumo, style ya uchezaji, au vimbinu flani flani + kuna wachezaji wanahitajika kikosini kupatner nao.

Kai dogo ana kipaji kikubwa sana sana huyu dogo anakuja kuwa word class player miaka ya mbeleni. (Kwa sasa aendelee kuimarika kimwili, pumzi, kasi na uzoefu)
Kweli mkuuu
 
Hivi hapo England kuna sheria ya kuandikisha vijana academy, kwamba hiyo sheria inasema asilimia kubwa wanaondikishwa watoke hapo England?

Kwa sababu naona academy yetu inazalisha waingereza wengi. Ambao wengi wanacheza mpira wa kukariri na kujilazimisha.

Academy inazalisha wachezaji wengi wa kiingereza, vipaji vya kuunga unga na soletepu wanaishia kutolewa mikopo.

kwanini mascout wa club wasiende huko spain, Italy, Germany, brazil, Portugal, Africa n.k wakachukue vijana wenye vipaji mix wawalete kwenye academy ituzalishie mafundi wa mpira?
True kabisa uingereza hawana vipaji halisi vya soka
 
Jorginho hakufaa kuingia kwenye B'DO
Verratti italy's best midfield
Verratti > Jorginho
Tielemans outperformed him in FA cup final.
Kante did all the work in UCL
 
Hapana chilwell anapokuwa fit alonso anasubiri chilwell ni beki ambaye anaweza kupanda na kushuka ni mzuri kwenye kushambulia na kudefend wakati alonso ni mzuri pekee kwenye kushambulia tu na ndio maana msimu uliopita benchilwell alitumika karibia game zote japo kocha anachezesha mfumo ambao unamfavor Alonso
Kwa mfumo wa back 3 Alonso ni better than Chilwell, kwenye back 4 Chilwell ni mzuri kuliko Alonso japo wanapishana kidogo kwa kushambulia, Alonso sio mzuri kabisa kwenye back 4 kwa sababu back 4 haitaki beki wa kupand a na kuwa mzito kurudi, Alonso anapenda kushambulia na kusahau kurudi tunaposhambuliwa na ndio maana hafai kwenye back 4
 
Swali:- Unasema Cheek ameanza kurudi, je kiwango anachokionyesha sasa uwanjani kinaendana na ukubwa wa club?

Kwasababu kuna wachezaji wanaonekana wanacheza sana lakini ukipima kiwango chake hakiendani na hadhi ya club yetu.

Mfano Rudger, Kante, Silva, Azipi, Joginho, Lukaku, Kovacic, James, Christensen, Alonso hawa jamaa wanacheza kwa kiwango kikubwa sana, wanaitendea haki jezi ya Chelsea.

Na ukiwatoa mmoja mmoja pale the blues wanaingia direct kwenye 1st eleven ya timu yoyoye duniani.

Odoi, Ziyech, Pulisic, Barkely, Cheek hawa jamaa viwango vyao sio hadhi ya Chelsea, kwa mfano wakaondolewa wote kikosini kwa pamoja sasa hivi hakuna madhara yoyote.

Kwa sasa wanajaza majina list ya SUB ila hawastahili hata kuwa sub. Pulisic ni mtumishi hewa anatupotezea muda tuu

Werner, Mount, Kai, Chilwell hawa jamaa wamebakiza hatua moja mbele viwango vyao kufikia hadhi ya the blues.

Mount hiyo hatua 1 hawezi kuicover ndio uwezo wake umefika mwisho. Sioni kiwango chake kikipanda zaidi ya hapa.

Werner & Kai hiyo hatua 1 wataikamilisha kwa mabadiliko ya kimfumo, style ya uchezaji, au vimbinu flani flani + kuna wachezaji wanahitajika kikosini kupatner nao.

Kai dogo ana kipaji kikubwa sana sana huyu dogo anakuja kuwa word class player miaka ya mbeleni. (Kwa sasa aendelee kuimarika kimwili, pumzi, kasi na uzoefu)
Kwa maana nzima ya Rotation RLC, Odoi, Ziyech ma Barkley anafaa, hata kama akina Kova ni wazuri, wakicheza mfululizo wanakuwa exausted na hivyo kuhitaji mapunziko ya design fulani ambapo rotation pekee ndiyo inawafanya wasichoke. Huwezi kuwa na kaliba moja ya wachezaji timu nzima la sivyo inabidi ufunje bank account kila wiki kuwalipa mishahara mikubwa na mahesabu yakikataa kubalance ndipoo timu inaingia kwenye mgogoro na FFP
Timnu yeyote inakuwa na wachezaji wa aina tatu
First XI - Orodha hii inawaweka wazoefu wote na wale wachezaji wadogo ambao wana consistency nzuri mfano akina Kante, Rudiger, Azpi, Silva, Christensen, Jorginho, Kova, Mendy, Alonso, Chilwell Lukaku ni wazoefu, Mount na James ni wachezaji wadogo kwa maana ya academy ambao wameonyesha consistency nzuri kwa misimu miwili mitatu mfululizo.
Quality Sub - Hawa inawachanganya wachezaji wazoefu walioshuka viwango kidogo aidha kwa sababu ya Injury au sababu zingine mfano Saul, Ziyech, Kepa, Barkley, RLC, Werner na academy ambao bado hawana consistency kama akina Odoi, Havertz, Chalobah nk

Loan players - Hawa ni wale wote ambao hawafai hata kuwa dub aidha kwa sababu ya viwango au kwa sababu ya ushindani na wao wenyewe wanahitaji muda zaidi wa kucheza ambao wasipopata Chelsea inabidi waombe kupelekwa mkopo ili kule kwenye mkopo wakapate muda zaidi wa kucheza mfano Conor, Billy, Broja, na wengineo
 
Hiyo mechi sijaangalia ila nachojua Cheek ni moto wa mabua, msimu ujayo mkopo utamuhusu tena.
Tumpe muda anakuja kwa kasi, Cheek alipotezwa na injury ya zaidi ya mwaka, tumtie moyo kama kiwango chake kinarudi
Tofauti na wachezaji wengine, Cheek akiweza kukaa na mpira ni mzuri kwenye dribling ambayo ni talent ambayo haiko kwa wachezaji wengi tulionao. Na pia Cheek ni kiungo mfungaji
 
Jorginho hakufaa kuingia kwenye B'DO
Verratti italy's best midfield
Verratti > Jorginho
Tielemans outperformed him in FA cup final.
Kante did all the work in UCL
We wafuatilie akina Xhaka na Zambi achana na wachezaji wetu. Sisi ndio tunajua ubovu na ubora wa JO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom