Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ni suala la mda tu, mda ndio utaweka kila kitu wazi. Muhimu uzima tu.
Hata huo muda ukifika na Lukaku asipofunga, kosa ni la mfumo mzima ambayo Kocha ndiye anayetakiwa kulisimamia. Mfumo wa sasa sio wa kumtum ia Lukaku. Timu imezoea kucheza bila striker, sasa kaja wanataka striker akatafute mipira
Hata Abraham katimuliwa bure, mfumo wa Chelsea haukuwekwa wa kumuhudumia striker
Werner kidogo anajaribu sasa kocha hampi nafasi, pulisic anataka afunge mwenyewe, Ziyech anataka afunge mwenyewe, Odoi paparapapara bado ni nyingi hajatulia, Mount aliyekuwa anajitahidi kaugua, Alonso kachoka, James red card baadaye injury, Azpi kachoka
Hao tunaowategemea wa katikati sijui ni uchovu hasa Kova kwa sababu Jorgninho yeye huwa hapasii wafungaji kabisa.
 
Ndio kwanza tumepoteza mechi mbili katika mashindano mawil tofaut against top teams tushaanza kulalamika je tungekuwa kila wiki tunapoteza hiv ingekuwaje.

Tukubali kufungwa ni part ya mchezo sio kila week utakuwa unacheza katika kiwango chako kile kile sio kila tukifungwa tulalamike kuwa tunahitaj sajil nyingine,

Tushawahi kuwa n team nzuri zaidi ya sasa na bado kuna mech tulikuwa tunapoteza,

Last season tuliweza kucreate chance ila shida ikawa ni umaliziaji, ile pace ya werner ilikuwa ni advantage tunapokuwa tunashambulia ili tuweze kutengeneza chance zile zile tunamuhitaj werner kule mbele kwa pace yake

Anyway kule mbele ningependelea lukaku na werner na mount, werner kwa sababu anauwezo wa kuwavuta mabek na mbio zake na kufungua nafas kwa wengine

Mount anauwezo ambao uko underrated kuja kuchukua mipira kati na kupeleka mbele

Ukija kuangalia katika mechi mbili zilizopita ilibidi lukaku ashuke chin kufata mipira

Jorginho,Azp, Alonso wanaonekana wamechoka wanahitaj mapumziko kwa sasa


Tusishangae kuona mabadiliko jmosi

#KTBFFH
 
Hao ndo mashabiki wa Chelsea ....wengine watasema Bora Conte arudi kisa game 2
Mkuuu mie mpka nawaogopa mashabiki wenzangu du hiv wangekuwa kma arsenal je TT WAWATU AMEKUJA HATA MIEZ 9 HANA LAKIN AMETUPA MAKOMBE MA WILI NANDIO KWANZA LIG MPYAAA UCL NAYO MPYAAA SSA PRESH YA NN tumuamini mwalimu na kununua wachezaji hovyo nako s kuzuri
 
Ndio kwanza tumepoteza mechi mbili katika mashindano mawil tofaut against top teams tushaanza kulalamika je tungekuwa kila wiki tunapoteza hiv ingekuwaje.

Tukubali kufungwa ni part ya mchezo sio kila week utakuwa unacheza katika kiwango chako kile kile sio kila tukifungwa tulalamike kuwa tunahitaj sajil nyingine,

Tushawahi kuwa n team nzuri zaidi ya sasa na bado kuna mech tulikuwa tunapoteza,

Last season tuliweza kucreate chance ila shida ikawa ni umaliziaji, ile pace ya werner ilikuwa ni advantage tunapokuwa tunashambulia ili tuweze kutengeneza chance zile zile tunamuhitaj werner kule mbele kwa pace yake

Anyway kule mbele ningependelea lukaku na werner na mount, werner kwa sababu anauwezo wa kuwavuta mabek na mbio zake na kufungua nafas kwa wengine

Mount anauwezo ambao uko underrated kuja kuchukua mipira kati na kupeleka mbele

Ukija kuangalia katika mechi mbili zilizopita ilibidi lukaku ashuke chin kufata mipira

Jorginho,Azp, Alonso wanaonekana wamechoka wanahitaj mapumziko kwa sasa


Tusishangae kuona mabadiliko jmosi

#KTBFFH
Point sana ukisoma katikati ya mstari
 
Ndio kwanza tumepoteza mechi mbili katika mashindano mawil tofaut against top teams tushaanza kulalamika je tungekuwa kila wiki tunapoteza hiv ingekuwaje.

Tukubali kufungwa ni part ya mchezo sio kila week utakuwa unacheza katika kiwango chako kile kile sio kila tukifungwa tulalamike kuwa tunahitaj sajil nyingine,

Tushawahi kuwa n team nzuri zaidi ya sasa na bado kuna mech tulikuwa tunapoteza,

Last season tuliweza kucreate chance ila shida ikawa ni umaliziaji, ile pace ya werner ilikuwa ni advantage tunapokuwa tunashambulia ili tuweze kutengeneza chance zile zile tunamuhitaj werner kule mbele kwa pace yake

Anyway kule mbele ningependelea lukaku na werner na mount, werner kwa sababu anauwezo wa kuwavuta mabek na mbio zake na kufungua nafas kwa wengine

Mount anauwezo ambao uko underrated kuja kuchukua mipira kati na kupeleka mbele

Ukija kuangalia katika mechi mbili zilizopita ilibidi lukaku ashuke chin kufata mipira

Jorginho,Azp, Alonso wanaonekana wamechoka wanahitaj mapumziko kwa sasa


Tusishangae kuona mabadiliko jmosi

#KTBFFH
Short and safe pass hazitatufikisha popote suala hata sio kufungwa najua hakuna mfumo wa kushinda mechi zote ila kuna pattern tunaziendekeza ambazo tukishatangulia kufungwa shughuli inafika ukomo.no quickly,no penetration passes no shot outside box hakuna mchezaji anayetaka kufunga goli za kuforce
 
Short and safe pass hazitatufikisha popote suala hata sio kufungwa najua hakuna mfumo wa kushinda mechi zote ila kuna pattern tunaziendekeza ambazo tukishatangulia kufungwa shughuli inafika ukomo.no quickly,no penetration passes no shot outside box hakuna mchezaji anayetaka kufunga goli za kuforce
Aiseee Hivi uliwaona Villareal walivokuwa wanacheza dhidi ya man u.

Walikuwa tu na poor finishing ila those guys walikuwa wanaforce sana kufika golini kwa man u. Na walikuwa wanafanikiwa.
 
Chelsea boss Thomas Tuchel to BT Sport: "I think we started not sharp enough. The first 12 to 15 minutes we could have harmed them much more. There was so much space for dangerous balls into the box and ask more questions.

"We struggled to create our own rhythm and intensity because they were so deep and passive. We were lacking runs. We were so good in training yesterday and not good enough, not free enough today. I don't know why.

"I felt we were a bit slow and tired, mentally slow, decision making. That's why it's a strange one to analyse."
Back to back defeat for Chelsea 🤔
 
Hiv nyie watu mbona hamna uvumilivu Harvert nae auzwe Warner auzwe je mtabaki na wachezaji gani nyie hebu kuweni na uvumilivu kaaa nyie hao wakuimba mapambia kwa TT leo hafai kisa 2 game?
Naungana na wewe wasiuzwe kukosekana kwa mount ndani ya kikosi linawezekana kumeshusha ubora wa baadh ya wachezaji hili unalionaje na kuna wachezaji tokea msimu uanze hawajaanza kwa ubora wao tuliowazea akiwemo kiungo mnyumbulifu na mfungaji wa goal la UCL Final hilo linathibitika kwa statistics za msimu huu kwa Kai Havertz

Kai Havertz in his last 4 Games

▪️4/23 Grand Duels Won
▪️1/ 12 Aerials Duels Won
▪️1/7 Dribbles Completed
▪️ 0 goals
▪️0 assists

Wachezaji waboreshe viwango vyao Tuchel tactics are still on the wheel,
Conte kwa Chelsea hatufai kabisa kwa sasa rejea UCL performance all seasons alivyokua na Inter utaelewa hili yee ni kuzuia tuuu
 
Naungana na wewe wasiuzwe kukosekana kwa mount ndani ya kikosi linawezekana kumeshusha ubora wa baadh ya wachezaji hili unalionaje na kuna wachezaji tokea msimu uanze hawajaanza kwa ubora wao tuliowazea akiwemo kiungo mnyumbulifu na mfungaji wa goal la UCL Final hilo linathibitika kwa statistics za msimu huu kwa Kai Havertz

Kai Havertz in his last 4 Games

4/23 Grand Duels Won
1/ 12 Aerials Duels Won
1/7 Dribbles Completed
0 goals
0 assists

Wachezaji waboreshe viwango vyao Tuchel tactics are still on the wheel,
Conte kwa Chelsea hatufai kabisa kwa sasa rejea UCL performance all seasons alivyokua na Inter utaelewa hili yee ni kuzuia tuuu
Mkuuu mie nipo pamoja nawe ila ushabiki tunatofaitiana sana kuna wanao elewa kufungwa na kushinda ni sehemu ya mchezo ssa kuna watu wanataka washinde kila siku haiwezekani mkuu subra nayo njema sana
 
Wachezaji waliochoka ni watatu tuu:-

Azipi
Kante
Mount

Ziyech, Odoi, Kai, Werner:- wamechoka na nini?

Wamecheza mechi ngapi?

Ina maana wamecheza kwa muda mrefu kuliko ile front 3 ya Liverpool (Mane, Firmino, Salah), bandika Bandua mechi zote karibia misimu 5 mfulilizo?

Kai, Odoi, Ziyech, Werner na Pulisic majeruhi, tangu waingie kikosini huwa wanaingia na kutoka hawajawahi kucheza mechi mfululizo hata 10, huo uchovu unatoka wapi?

Wangekuwa kule Liverpool si wangekufa uwanjani aisee?

Tusingizie uchovu bali ni viwango vya wachezaji wetu kule mbele Ziyech, Odoi, Kai, Werner vimeshuka. Ndio maana mabao wala Asisists havipatikani.

Viwango vyao vingekuwa juu na matokeo yanapatikana huyo MOUNT aliyechoka, angepata muda wa kutosha kupumzika, badala yake kijana mdogo anaharakishwa kupona arudi uwanjani kuokoa jahazi.

Muda mwingine tunaongea kwa hasira kwa sababu tulishaandika msimu huu tunabeba EPL. Sasa wale vijana wetu kule mbele wanatupa hofu.
Safi sana
Kuna muda tuzungumze mpira tuweke mapenzi na umbeya pembeni
 
Pale kwa mabingwa wa Tanzania (Simba Sports Club) wanachama na wadau wengi wa klabu hiyo kauli iliyopo midomoni mwao kwa sasa ni kwamba pengo la Luis Miquessone na Cletus Chota Chama bado halijazibika ndani ya klabu hiyo.
Hali hiyo imenifanya na mimi kuangalia kwa jicho la mbali sana kuhusu timu yetu ya Chelsea, na kugundua kuwa pengo la Cesc Fabregas na Eden Hazard pale Chelsea bado halijazibika.
Chelsea kwa sasa inakosa kiungo mshambuliaji (namba 10) halisi mwenye jicho la kupiga pasi za mwisho kwenda kwa mshambuliaji wa mwisho kama ilivyokuwa kwa Cesc Fabregas na pia inakosa mawinga wasumbufu wenye nguvu, akili na uwezo wa kufunga na kutoa pasi za mwisho kwenda kwa mshambuliaji kama ilivyokuwa kwa Eden Hazard, Pedro Rodriguez na Willian.
Romelu Lukaku kwa sasa anaonekana si lolote ndani ya Chelsea yote inatokana na kukosa watu wa kumlisha pasi za mwisho kama alivyokuwa Everton, Inter Milan na anavyokuwa kwenye timu yake ya Taifa.
Nina hakika kama sasa hivi pale Chelsea kungekuwepo Cesc Fabregas, Eden Hazard, Pedro Rodriguez na Willian bila shaka Romelu Lukaku angetupia nyavuni kila siku kama ilivyokuwa kwa Diego Costa.
Kwa pendekezo langu ningependa kwenye dirisha dogo bodi ifanye mchakato wa kumsajili kiungo namba 10 halisi mwenye jicho la kupiga pasi za mwisho,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom