Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,468
- 14,622
Kikosi chao
Naona TT kakusikia, Aliyekosekana hapo ni Silva tuTwende na 5-3-2 vs CITY
-------------- WERNER ---- LUKAKU ---------------
-------KOVACIC ---JOGINHO -----KANTE-------
ALONSO - RUDGER - SILVA - AZIPI - JAMES
Kai, Ziyech, Mount watupishe kidogo.
Yes amesikia lkn hichi kikosi hakina sub nzuri... Maana hao alio wapanga ndio kila kitu kamalizaTT amesikia kilio changu Kai, Ziyech watupishe kidogo.
Safi sana TT ushindi mapema
Kwenye big games, Ziyech ni sub nzuri, Silva kwa mabeki anatosha na Mbele Havertz atatosha. Odoi huwa anakuwa mzuri akiingia kama Sub, Alonso najua an pumzi ya kucheza hadi mwisho. Nina wasiwasi na SaulYes amesikia lkn hichi kikosi hakina sub nzuri... Maana hao alio wapanga ndio kila kitu kamaliza
Ktk sub za viungo kuna Saul na Reuben. Hawa sio wazuri sn. Ktk mabeki tuko vzr na huko mbele tuko vzr. Shida iko hapo kati tu!Hahahaha![]()
Strong Bus ParkingTwende na 5-3-2 vs CITY
-------------- WERNER ---- LUKAKU ---------------
-------KOVACIC ---JOGINHO -----KANTE-------
ALONSO - RUDGER - SILVA - AZIPI - JAMES
Kai, Ziyech, Mount watupishe kidogo.
Ktk sub mabeki na washambuliaji hakuna shida. Silva, Chalaboah, Ben, wote hawa wako poa!Kwenye big games, Ziyech ni sub nzuri, Silva kwa mabeki anatosha na Mbele Havertz atatosha. Odoi huwa anakuwa mzuri akiingia kama Sub, Alonso najua an pumzi ya kucheza hadi mwisho. Nina wasiwasi na Saul
Kiungo possibly ataingia mmoja tu kwa dk chache RLC anatosha, kaonyesha kasharudi kwenye form yake anagalau kucheza few minutesKtk sub za viungo kuna Saul na Reuben. Hawa sio wazuri sn. Ktk mabeki tuko vzr na huko mbele tuko vzr. Shida iko hapo kati tu!
Ila ukisikia watu kukimbia sn ni leo! Yaani Kante na Kovacic watakimbia leo ni balaa!
Viungo wakichoka au kuumia tunabadilisha gia angani, tunaenda na 3-4-2-1Ktk sub mabeki na washambuliaji hakuna shida. Silva, Chalaboah, Ben, wote hawa wako poa!
Ata huko mbele kwa Ziyench, Kai na Odoi.
Kasheshe iko kwa Mids...
Yaani kwa Saul, Reuben!
Uko vizuri kwenye predictionTwende na 5-3-2 vs CITY
-------------- WERNER ---- LUKAKU ---------------
-------KOVACIC ---JOGINHO -----KANTE-------
ALONSO - RUDGER - SILVA - AZIPI - JAMES
Kai, Ziyech, Mount watupishe kidogo.
System ni ile ile tu ni 3+4+3 isipokuwa TT anahitaji nguvu sn toka kwa Kovacic na Kante ya kupanda na kushuka. Hasa kuipush City ili mpira uchezwe ktk half yao na Ku win kila kitu mpk possessionViungo wakichoka au kuumia tunabadilisha gia angani, tunaenda na 3-4-2-1
Man cty wame miliki sana mpira ila hawajui je ile ngome wanaivuka vip?KTBFFH



Tuchel hiki kikosi alichopanga kafanya kufuru aisee sijui man city atatokea wapi? Chelsea raha Sana City ameshakufa mapema.
