Macho yako hayaoni vizuri nyuma walicheza mabeki wa3 james, chalobah na Sarr Wing back wa kulia alikuwa odoi na wakushoto alikuwa Ben chillwelJana tumecheza 433
Odoi n ziyech kama rw n lw
Macho yako hayaoni vizuri nyuma walicheza mabeki wa3 james, chalobah na Sarr Wing back wa kulia alikuwa odoi na wakushoto alikuwa Ben chillwelJana tumecheza 433
Odoi n ziyech kama rw n lw
Saul hategemewi kuja kutoa assist , kwanza ukijakuangalia stats zake utaelewa huyu kaja kuwasaidia kova,jorg na kanteAlonso kushambulia - 70%
Alonso kukaba - 30%
Nadhani pia TT anampanga Alonso kuongeza idadi ya washambuliaji ndani ya box la mpinzani.
Sasa Ziyech, Kai, Mount, Odoi hawafungi magoli wala hawapeani assist wenyewe na zaidi hawampi assists Lukaku.
Lazima Alonso apangwe kusaidia kuongeza mashambulizi na ikiwezekana kufunga.
Ni kitu cha ajabu sana tunaenda kucheza mechi karibia ya 7, Kai, Ziyech, Mount, Odoi hawajampa assist ya Goli Lukaku.
Nikiangalia ile front 3 ya Liverpool, magoli yanatokea kila upande kwa Mane, Jota/Firmino na Salah.
January tuingie sokoni tusajili LW na RW zenye uwezo wa kufunga magoli 10+ na asists angalau 10+
SAUL tunamtegemea kama fabrigas mwingine atupe asists 10+ kutoka eneo ka katikati.![]()
1. Odoi nahis nafasi ya wingback inamchosha Sana ndo maana nafikiri hachezi vzuri kivile game y Jana tulianza na 4-3-3 baadae tukaswich to 3-4-3.Jana niliangalia mpira toka kipindi cha kwanza adi mwisho. Niliyoyaona ni kama ifuatavyo:
1. Odoi Jana kachezo ovyo sana. Siyo yule odoi wa Sarri. Anapewa pasi za wazi anaishia kupoteza. Huyu dogo inabidi ajitafakari kwa uchezaji wake.
2. Cheek jana kacheza vizuri sana. Kwangu dimba la kati aliweza kulimanage ipasavyo.
3. Saul ni swala la Muda tu he is great player ata adapt very soon.
4. Ziyech huyo jamaa ahitaji mazoezi ya nguvu jamaa anazidi kupotea tu anapoteza mipira ni legelege. Kwakweli anahiji kubadilika.
5. Cholaba ni mzuri anajua kulinda. Uchezaji wake ni wa kiutu uzima ingawa bado anahiji kucheza na senior players ili awe beki kisiki.
6. Sarr ni beki mzuri Jana amekaza ila ajisahau na Yeye Yeye anahiji kuchomwekwa na senior players ili awe mtamu zaidi.
All in all they did very well.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Minamino 2....sio mojaMsimu 21/22 (All competitions)
Mane = 3 goals
Firmino = 1 goal
Jota = 2 goals
Salah = 5 goals
Origi = 1 goal
Minamino = 1 goal
------------------------------
TOTAL = 13 GOALS
------------------------------
Werner = 1 goal
Lukaku = 5 goals
Pulisic = 1 goal
Kai = 1 goal
Ziyech = 0
Mount = 0
Odoi = 0
------------------------------
TOTAL = 8 GOALS
------------------------------
Safu yetu ya ushambuliaji pale mbele ukimuondoa Lukaku ni MBOVU MBOVU na itatucost baadae.
Huko mbeleni kuna Mechi Lukaku atakosa assist kutoka kwa James, Azipi tutatoka mikono mitupu au kufungwa.
Mechi 5 mshambuliaji wa club kubwa kama the BLUES unakosa kufunga wala kutoa assist?
Huyo Mane aliyechoka anafunga magoli, Firmino kacheza mechi 1 na sub 1 amefunga goli.
January tuingie sokoni tusajili machine ya kusaidiana na Lukaku pale mbele
We jamaa .....Mane unamuonajeeeSaul hategemewi kuja kutoa assist , kwanza ukijakuangalia stats zake utaelewa huyu kaja kuwasaidia kova,jorg na kante
Mane yupi unayemzungumzia mkuu huyu huyu wa sasa au wa misimu miwil ya nyuma same to firminho
Mane sio km Yule WA misimu iliyopita... huyu WA sasa nafasi kibao goli mojaWe jamaa .....Mane unamuonajeee
Mane...mechi 5..magori 3...ukitoa sawa na huyo lukaku wenu.,.bado hujamzungumzia Salah...na Jota...kiufupi safu ya ushambuliaji ya Liverpool ni nzurii kuliko ya Chelsea
Jana hakukuwa na wing backs formation ilikuwa 4-3-3. Odoi alicheza kama winga ambayo ndio nafasi yake haswaOdoi mnamponda lakini wing back sio nafasi yake ndio maana anapwaya hata yeye amekiri haipendi hiyo position yule mpe left wing utampenda but kwa sarr kwangu ni mchezaji wa kawaida na kacheza kawaida Sana
Na ndio maana nikatoa mfano wa Christensen 5 years ago hakuwa hiviChallobah bado mdogo ana mda wa kujifunza ata hao mabeki wakubwa washawah fanya makosa wakiwa makinda thus y kocha anachanganya matured na hawa madogo so far challobah kama akiendeleza kucheza na matured defenders atakuja kuwa mzuri
its matter of time
Lkn Baadae wakabadilika pia na kurudi 3-4-3 nafikiri kipindi cha piliJana hakukuwa na wing backs formation ilikuwa 4-3-3. Odoi alicheza kama winga ambayo ndio nafasi yake haswa
Ziyech ------------------ Werner ------------------------Odoi
Saul -------------------------RLC -------------------------- Kante
Chilwell --------------Sarr -------- Chalobah ------ James
-------------------------------KEPA-----------------------------------
Kuna magoli hujayaweka hapo, tumeshafunga goli 14 hadi sasa. Lukaku kafunga 3 sio 5Msimu 21/22 (All competitions)
Mane = 3 goals
Firmino = 1 goal
Jota = 2 goals
Salah = 5 goals
Origi = 1 goal
Minamino = 1 goal
------------------------------
TOTAL = 13 GOALS
------------------------------
Werner = 1 goal
Lukaku = 5 goals
Pulisic = 1 goal
Kai = 1 goal
Ziyech = 0
Mount = 0
Odoi = 0
------------------------------
TOTAL = 8 GOALS
------------------------------
Safu yetu ya ushambuliaji pale mbele ukimuondoa Lukaku ni MBOVU MBOVU na itatucost baadae.
Huko mbeleni kuna Mechi Lukaku atakosa assist kutoka kwa James, Azipi tutatoka mikono mitupu au kufungwa.
Mechi 5 mshambuliaji wa club kubwa kama the BLUES unakosa kufunga wala kutoa assist?
Huyo Mane aliyechoka anafunga magoli, Firmino kacheza mechi 1 na sub 1 amefunga goli.
January tuingie sokoni tusajili machine ya kusaidiana na Lukaku pale mbele
Hata msimu uliopita Odoi alicheza Vizuri, labda kwa sababu ya kukosa minutes ndio maana kaporomoka??Jana niliangalia mpira toka kipindi cha kwanza adi mwisho. Niliyoyaona ni kama ifuatavyo:
1. Odoi Jana kachezo ovyo sana. Siyo yule odoi wa Sarri. Anapewa pasi za wazi anaishia kupoteza. Huyu dogo inabidi ajitafakari kwa uchezaji wake.
2. Cheek jana kacheza vizuri sana. Kwangu dimba la kati aliweza kulimanage ipasavyo.
3. Saul ni swala la Muda tu he is great player ata adapt very soon.
4. Ziyech huyo jamaa ahitaji mazoezi ya nguvu jamaa anazidi kupotea tu anapoteza mipira ni legelege. Kwakweli anahiji kubadilika.
5. Cholaba ni mzuri anajua kulinda. Uchezaji wake ni wa kiutu uzima ingawa bado anahiji kucheza na senior players ili awe beki kisiki.
6. Sarr ni beki mzuri Jana amekaza ila ajisahau na Yeye Yeye anahiji kuchomwekwa na senior players ili awe mtamu zaidi.
All in all they did very well.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Upo sahihi mkuu,Msimu 21/22 (All competitions)
Mane = 3 goals
Firmino = 1 goal
Jota = 2 goals
Salah = 5 goals
Origi = 1 goal
Minamino = 1 goal
------------------------------
TOTAL = 13 GOALS
------------------------------
Werner = 1 goal
Lukaku = 5 goals
Pulisic = 1 goal
Kai = 1 goal
Ziyech = 0
Mount = 0
Odoi = 0
------------------------------
TOTAL = 8 GOALS
------------------------------
Safu yetu ya ushambuliaji pale mbele ukimuondoa Lukaku ni MBOVU MBOVU na itatucost baadae.
Huko mbeleni kuna Mechi Lukaku atakosa assist kutoka kwa James, Azipi tutatoka mikono mitupu au kufungwa.
Mechi 5 mshambuliaji wa club kubwa kama the BLUES unakosa kufunga wala kutoa assist?
Huyo Mane aliyechoka anafunga magoli, Firmino kacheza mechi 1 na sub 1 amefunga goli.
January tuingie sokoni tusajili machine ya kusaidiana na Lukaku pale mbele
Breaking News 
Sio unacopy Tu mahali bila kufilter na wewe km ni Sawa?... Mount uefa Vs real Madrid Stamford bridge hakufunga kumbe?Breaking News
Mason Mount has gone 20 games for club & country without scoring.
They think We don't Know.
Soma na uelewe kijana ,kwanini unakuwa na mhahoSio unacopy Tu mahali bila kufilter na wewe km ni Sawa?... Mount uefa Vs real Madrid Stamford bridge hakufunga kumbe?




Hesabu km games 20 zinafika ...mnacopy Tu habari bila mpangilioSoma na uelewe kijana ,kwanini unakuwa na mhaho![]()

Hahaahaa.