Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leo Kante hayuko kwenye form, zile recoverioes zake bado hatuzioni na ndizo zinazoletaga ushindi
Werner bado hajaleta kashkashi kule mbele, kuna kounta moja kaharibu kwa kwenda wide badala ya kuingia kati
Jorginho yuko vizuri lepo. Alonso analazimishwa kubaki nyuma na tunajua Alonso akiwa nyuma sio mzuri sana kama akiwa mbele
Hii mechi leo city wamepania ile mbaya kwa style wanayocheza
Tutashinda kwa mbinu za TT, kama hatafanya kitu, tutatoa droo au kufungwa kwa minor margin

Labda mshinde njaa,hii ndio Epl huwezi kumfunga mtu mara 3 mfululizo.
 
Mshakazwa eehh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna timu moja tu hapa dunian ....


Manchester city

OGOPA MATAPELI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pep leo alimfanyia hw tuchel, city leo walikuwa bora zaidi yetu kuanzia dakika ya kwanza mpk ya mwisho plan yetu waliweza kuiua,
City wangeweza shinda goal hata 3,

Mbinu za tuchel leo ziligonga mwamba city waliweza kututawala na kuhakikisha counter zote wanaziua


Next game tuko away dhidi ya juventus the. Away to soton,
 
Pigi miti hizi takataka za darajan ...

Vunja hilo daraja la Stamford bridge ,kudadekiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Piga mita kante,kudadekiii ,leo nilisema nyie mbwa mtajuta kuingia uwanjan falaa nyie ...


Kante Yuko wapi ????

Rudiger ???

Hao wote pep kawatembezea motooo mkali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom