Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pasi 300+ ndani ya 1st half
IMG_0345.jpg
 
Leo Kante hayuko kwenye form, zile recoverioes zake bado hatuzioni na ndizo zinazoletaga ushindi
Werner bado hajaleta kashkashi kule mbele, kuna kounta moja kaharibu kwa kwenda wide badala ya kuingia kati
Jorginho yuko vizuri lepo. Alonso analazimishwa kubaki nyuma na tunajua Alonso akiwa nyuma sio mzuri sana kama akiwa mbele
Hii mechi leo city wamepania ile mbaya kwa style wanayocheza
Tutashinda kwa mbinu za TT, kama hatafanya kitu, tutatoa droo au kufungwa kwa minor margin
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom