Palestine Will be free
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,999
- 6,630
Wako nyumbani wanapaki bus 😄 wakina lukaku wanazurura tu,,,kweli mpira ni bahati tu, uefa hawakustahili ushindi.
Pain killer kalio lako ww unaweza ukatuambia ss tuna kaaa nyuma? Watu walio kuvua chupi lako mara 3 kweli jitikise uone ninavyokoloweka maji ya DuwasaMbwa nyie mnapaki basi ,funguken muone mvua ya magoli![]()
KTBFFH
Kalichukue kombe ssa si hatukustahili ?Wako nyumbani wanapaki buswakina lukaku wanazurura tu,,,kweli mpira ni bahati tu, uefa hawakustahili ushindi.
Tumempiga huyo mchumba mara 3....Wako nyumbani wanapaki buswakina lukaku wanazurura tu,,,kweli mpira ni bahati tu, uefa hawakustahili ushindi.
Kalichukue kombe ssa si hatukustahili ?
Siku zote mnatubahatisha tu ,mpira anacheza city ...
City ana press hatari ,....
Kuna timu moja tu dunian , Manchester city
Shot on target ngapi?Pasi 300+ ndani ya 1st halfView attachment 1952261
Tumempiga huyo mchumba mara 3....
Subiri tumpige na leo uje uendeleze Ngonjera zako.
Short on target = 0Siku zote mnatubahatisha tu ,mpira anacheza city ...
City ana press hatari ,....
Kuna timu moja tu dunian , Manchester city
Swa ww level yako spurs na AstonvillaNdio mlibahatisha tu. Ninyi level yenu Man u na Liverpool.
Unanwa ww s bureSiku zote mnatubahatisha tu ,mpira anacheza city ...
City ana press hatari ,....
Kuna timu moja tu dunian , Manchester city
Match gani? Mwaka huu hii match ya 4... Umeshavuliwa chupi mara 3. Halafu bado unakuwa na guts za kuongea.Angalia records walizokutana
Zimekupeleka wap hzo pas ssaPasi 300+ ndani ya 1st halfView attachment 1952261
Muulize shot on target ngapi?Zimekupeleka wap hzo pas ssa
Short on target = 0
