Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Unataka nianze kukuhesabia ,hujui hata mchezaji wako ,mbaya zaidi unashabikia Chelsea ....Hesabu km games 20 zinafika ...mnacopy Tu habari bila mpangilio![]()
Rudi arsenal huko





Unataka nianze kukuhesabia ,hujui hata mchezaji wako ,mbaya zaidi unashabikia Chelsea ....Hesabu km games 20 zinafika ...mnacopy Tu habari bila mpangilio![]()





Hiko kikosi mbona utakuwa umewaonea Man city maana game itakuwa imeisha mapema kuwaweka midfielders watatu sawa na kuchanganya chips yai ( Kovacic ), biriani ( Kante ) na Wali maharage ( Jorginho ) kwa pamoja.Twende na 5-3-2 vs CITY
-------------- WERNER ---- LUKAKU ---------------
-------KOVACIC ---JOGINHO -----KANTE-------
ALONSO - RUDGER - SILVA - AZIPI - JAMES
Kai, Ziyech, Mount watupishe kidogo.
We jmos mpaka tukushikishe ukuta tena kw mara y 4 ndio utaacha shobo.Unataka nianze kukuhesabia ,hujui hata mchezaji wako ,mbaya zaidi unashabikia Chelsea ....
Rudi arsenal huko![]()
saul na farbie wanacheza tofauti since na kasajiliwa alikiri mwenyewe atahitaji mda ili arudi kwenye ubora wake thus y kocha mwenyewe alisem saul anahitaji mda ili aingie kwenye mfumo, tatizo mashabiki wanataka mtu afike na akiwashe mda uouo ,watu wanawah kuhukumuAlonso kushambulia - 70%
Alonso kukaba - 30%
Nadhani pia TT anampanga Alonso kuongeza idadi ya washambuliaji ndani ya box la mpinzani.
Sasa Ziyech, Kai, Mount, Odoi hawafungi magoli wala hawapeani assist wenyewe na zaidi hawampi assists Lukaku.
Lazima Alonso apangwe kusaidia kuongeza mashambulizi na ikiwezekana kufunga.
Ni kitu cha ajabu sana tunaenda kucheza mechi karibia ya 7, Kai, Ziyech, Mount, Odoi hawajampa assist ya Goli Lukaku.
Nikiangalia ile front 3 ya Liverpool, magoli yanatokea kila upande kwa Mane, Jota/Firmino na Salah.
January tuingie sokoni tusajili LW na RW zenye uwezo wa kufunga magoli 10+ na asists angalau 10+
SAUL tunamtegemea kama fabrigas mwingine atupe asists 10+ kutoka eneo ka katikati.![]()
Mendy atakuwepo, Mount na Pulisic bado wako injuryHakuna habari kuhusu Mendy.?
Kuna pundit mmoja kamchambua Rudiger akiwa kwenye nafasi yake sio tu anacheza vizuri bali pia anatisha timu pinzani. Kwa sasa tangu UCL Rudiger ni mnyama anayetisha. Siku akikosekana hata timu pinzani confidence ya kushambulia inapanda
Tuchel Press Conference on Man City
"If you play against Manchester City and these kinds of times, you need a very complex performance," the Chelsea head coach said.
"It is not only about long balls and second balls, it's also about long balls and second balls. It's about escaping the pressure with your passing ability but also with dribbles, with courage, intensity, and winning second balls.
"It's also about suffering, defending, never becoming too passive. It's about everything, really. It's a huge, huge challenge and they [Man City] put you under so much pressure. They have so much belief in what they do and Pep's teams bring out the very best in you.
"When I analyse the last three games, I still feel that these games could have gone either way. If City scores the first goal, we maybe have a whole different talk about it now.
"So it is about the first goal, the reaction, defending, tackles, a shot hitting the bar or the back of the net, it's about details. We can never, never lose intensity or focus against Pep's teams, it's simply impossible. That's what I mean.
"I expect another 50/50 match tomorrow and we know how tough they can be. We want to make it very tough for City again."
Kwa akili yako ndogo wewe umeongea kishabiki ni kwasababu moyo wako unatamani iwe hivyo lakini kiuhalisia leo Man city anakufa na kinachomuhukumu man city ni aina ya uchezaji wake. chelseafc inapata faida kubwa Sana na wanaenjoy wakikutana na aina ya team zinazocheza kama Man city.Team ambazo zinamsumbua Chelsea na anaweza kupoteza ni zile ambazo zinacheza defensive kwa kuiweka low block na ndio maana alipata ushindi wa tabu Sana dhidi ya Zenit Petersburg. Hata ukiangalia msimu uliopita game alizopoteza ni dhidi ya team ambazo zinacheza defensive.Hii mechi ya leo inajulikanika ni Draw
Kamugy T hapo umeongea kwa wishful yako lakini kimpira Man city anakufa.Chelsea ana enjoy na anakuwa na advantage kubwa akikutana na team zinazocheza kama Man City.kwa uchezaji wa man city ni ngumu kupata matokea dhidi ya uchezaji wa Chelsea na ndiomaana kafungwa game tatu na ya leo anaenda kupoteza Tena.Chelsea anapata tabu Sana na pia anaweza kupoteza game anapocheza na team ambazo zipo compact defensively na zinazoweka low block na ndio maana alistruggle kushinda dhidi ya Zenit Petersburg pamoja na Aston villa hata ukiangalia msimu uliopita kapoteza game 5 dhidi ya team zinazocheza aina hii ya mpira.Hii mechi ya leo inajulikanika ni Draw
Ezekiel Mbaga Mendy yupo fit kwa asilimia 💯 na kocha amesema ataanza first eleven leoHakuna habari kuhusu Mendy.?
Keep watching ..!Kwa akili yako ndogo wewe umeongea kishabiki ni kwasababu moyo wako unatamani iwe hivyo lakini kiuhalisia leo Man city anakufa na kinachomuhukumu man city ni aina ya uchezaji wake. chelseafc inapata faida kubwa Sana na wanaenjoy wakikutana na aina ya team zinazocheza kama Man city.Team ambazo zinamsumbua Chelsea na anaweza kupoteza ni zile ambazo zinacheza defensive kwa kuiweka low block na ndio maana alipata ushindi wa tabu Sana dhidi ya Zenit Petersburg. Hata ukiangalia msimu uliopita game alizopoteza ni dhidi ya team ambazo zinacheza defensive.
Mkuuu unaakili sana mungu akulindeKwa akili yako ndogo wewe umeongea kishabiki ni kwasababu moyo wako unatamani iwe hivyo lakini kiuhalisia leo Man city anakufa na kinachomuhukumu man city ni aina ya uchezaji wake. chelseafc inapata faida kubwa Sana na wanaenjoy wakikutana na aina ya team zinazocheza kama Man city.Team ambazo zinamsumbua Chelsea na anaweza kupoteza ni zile ambazo zinacheza defensive kwa kuiweka low block na ndio maana alipata ushindi wa tabu Sana dhidi ya Zenit Petersburg. Hata ukiangalia msimu uliopita game alizopoteza ni dhidi ya team ambazo zinacheza defensive.
Kamugy T hapo umeongea kwa wishful yako lakini kimpira Man city anakufa.Chelsea ana enjoy na anakuwa na advantage kubwa akikutana na team zinazocheza kama Man City.kwa uchezaji wa man city ni ngumu kupata matokea dhidi ya uchezaji wa Chelsea na ndiomaana kafungwa game tatu na ya leo anaenda kupoteza Tena.Chelsea anapata tabu Sana na pia anaweza kupoteza game anapocheza na team ambazo zipo compact defensively na zinazoweka low block na ndio maana alistruggle kushinda dhidi ya Zenit Petersburg pamoja na Aston villa hata ukiangalia msimu uliopita kapoteza game 5 dhidi ya team zinazocheza aina hii ya mpira.
Naona jamaa anataka kufanya mauaji.11 yetu leo View attachment 1952151