Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Round ya 4 tunakutana na Southampton nyumbani
20210923_002147.jpg
 
Chalobah kacheza vizuri sana
Tactically bado sana, mpira sio tu kucheza vizuri, mpira wa kisasa na tactical point of view
Christesen miaka 5 kwenda nyuma naye alikuwa akicheza vizuri kama Chalobah lakini alikosa tactical skills na ndio maana walikuwa wanaruhusu mashambulizi kirahisi tofauti na wakiwemo akina Rudiger na Silva
Na kitu cha pili nilichokiona, Chalobah akiwa na wazoefu akina Silva na Rudiger simply anafunikwa, wakicheza wenyewe kama leo ndio utaona the deference

Simply kwa mabeki aliyecheza vizuri ni James, Chalobah kawaida na Sarr kawaida, Chilwell poor
Katikati aliyecheza vizuri ni Loftas Cheek wengine kawaida na hasa Saul very poor
Kule mbele aliyecheza vizuri ni Werner, Ziyech poor

Full list player rattings
  1. Kepa 8/10
  2. James 9/10
  3. Chalobah 7/10
  4. Sarr 7/10
  5. Chilwell 5/10
  6. Saul 5/10
  7. Kante 6/10
  8. RLC 8/10
  9. Werner 8/10
  10. Ziyech 6/10
  11. Odoi 6/10
 
Hahaha bahati nzuri SAUL amekuja kwa mkopo tutamrudisha Athletico, bahati mbaya ni kwamba machine zetu Kante, Kovacic, Joginho bila usaidizi zitaendelea kuchoka.

Ziyech mchezaji wa timu caliber ya Ajax anakuwa one man show. Kwa THE BLUES ni team work.
RLC inabidi aje kama backup badala ya Saul kama ameshndwa kung'aa Carabao siion nafas yake ya kung'aa premier wala UEFA in short it's a loss this time tofaut kwa Kovacic
 
HONGERENI SANA THE BLUES KWA USHINDI WA JANA.

Sikubahatika kuingalia hiyo mechi, ila mpaka imefika matuta inaonekana shughuli ilikuwa nzito.

SAUL alichezaje?
Jana niliangalia mpira toka kipindi cha kwanza adi mwisho. Niliyoyaona ni kama ifuatavyo:

1. Odoi Jana kachezo ovyo sana. Siyo yule odoi wa Sarri. Anapewa pasi za wazi anaishia kupoteza. Huyu dogo inabidi ajitafakari kwa uchezaji wake.

2. Cheek jana kacheza vizuri sana. Kwangu dimba la kati aliweza kulimanage ipasavyo.

3. Saul ni swala la Muda tu he is great player ata adapt very soon.
4. Ziyech huyo jamaa ahitaji mazoezi ya nguvu jamaa anazidi kupotea tu anapoteza mipira ni legelege. Kwakweli anahiji kubadilika.
5. Cholaba ni mzuri anajua kulinda. Uchezaji wake ni wa kiutu uzima ingawa bado anahiji kucheza na senior players ili awe beki kisiki.
6. Sarr ni beki mzuri Jana amekaza ila ajisahau na Yeye Yeye anahiji kuchomwekwa na senior players ili awe mtamu zaidi.

All in all they did very well.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ninyi jamaa hopeless kabisa, nimemtema Man U, nikawaamin sasa mmefanya upuuzi gani huuView attachment 1949157
Mkuu kwani kuna mtu alikutuma Kubetia Chelsea

Kwann hukusoma alama za wakati kama mimi. Nilichezwa machale kwa timu yangu. Nilitaka niweke ashinde au adrow. Lakini moyo Ukagoma nikaacha. Leo nimeamka nakuta simu imejaa SMS murua kabisa.
Kwa mara ya kwanza natia timu 15. Kwa wakati mmoja.

My principal kwenye kubeti nikataka pesa ya muhindi Sibetii mapenzi ya timu . Nakuwa serious na pesa ya muhindi kwasababu muhindi anawala vijana kimasiara.
Screenshot_20210923-065542_Chrome.jpg
Screenshot_20210923-065542_Chrome.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Jana niliangalia mpira toka kipindi cha kwanza adi mwisho. Niliyoyaona ni kama ifuatavyo:

1. Odoi Jana kachezo ovyo sana. Siyo yule odoi wa Sarri. Anapewa pasi za wazi anaishia kupoteza. Huyu dogo inabidi ajitafakari kwa uchezaji wake.

2. Cheek jana kacheza vizuri sana. Kwangu dimba la kati aliweza kulimanage ipasavyo.

3. Saul ni swala la Muda tu he is great player ata adapt very soon.
4. Ziyech huyo jamaa ahitaji mazoezi ya nguvu jamaa anazidi kupotea tu anapoteza mipira ni legelege. Kwakweli anahiji kubadilika.
5. Cholaba ni mzuri anajua kulinda. Uchezaji wake ni wa kiutu uzima ingawa bado anahiji kucheza na senior players ili awe beki kisiki.
6. Sarr ni beki mzuri Jana amekaza ila ajisahau na Yeye Yeye anahiji kuchomwekwa na senior players ili awe mtamu zaidi.

All in all they did very well.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Odoi mnamponda lakini wing back sio nafasi yake ndio maana anapwaya hata yeye amekiri haipendi hiyo position yule mpe left wing utampenda but kwa sarr kwangu ni mchezaji wa kawaida na kacheza kawaida Sana
 
Mkuu kwani kuna mtu alikutuma Kubetia Chelsea

Kwann hukusoma alama za wakati kama mimi. Nilichezwa machale kwa timu yangu. Nilitaka niweke ashinde au adrow. Lakini moyo Ukagoma nikaacha. Leo nimeamka nakuta simu imejaa SMS murua kabisa.
Kwa mara ya kwanza natia timu 15. Kwa wakati mmoja.

My principal kwenye kubeti nikataka pesa ya muhindi Sibetii mapenzi ya timu . Nakuwa serious na pesa ya muhindi kwasababu muhindi anawala vijana kimasiara.View attachment 1949220View attachment 1949223

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mimi nu Man U damu, ila kwa mwenendo wa Man niliwakataa kabisa, nikawaamini Chelsea
 
Odoi mnamponda lakini wing back sio nafasi yake ndio maana anapwaya hata yeye amekiri haipendi hiyo position yule mpe left wing utampenda but kwa sarr kwangu ni mchezaji wa kawaida na kacheza kawaida Sana
Jana tumecheza 433
Odoi n ziyech kama rw n lw
 
Saul tumepigwa chief hafikii hata Anavyocheza RLC, Chilwell acha akae bench Ziyech naungana na wewe shughuli hakuna
Chilwel kwa sasa inaonekana kama confidence yake imeshuka, anahitaji mechi chache iliarudi katika kiwango chake,

Alonso kw sasa yuko katika kiwango cha juu ila kuna wakat alonso huwa tunamkataa, naimani kuna game huko mbeleni tutamuona chilwel akiwa ameanza

Saul ni mchezaj mzuri, anahitaji mda ili aendane n soka la kingereza

Ziyech ni mchezaj mzuri sana ila injury ndio zinamfanya asiwe na mwendelezo mzuri, pale kiwango chake kinapoanza kuonekana ndipo unakuta anapata majeruhi

Loftus cheek ni mchezaj mzuri na alikuwa anakuja vizuri wakat wa babu sarri ila majeruhi aliyoyapata ndio yalimfanya kiwango chake kishuke ila ni mchezaj mzuri anayeweza tupa option nyingi hasa hasa wakat huu ambapo inabid tumanage gametime ya ngolo
 
Tactically bado sana, mpira sio tu kucheza vizuri, mpira wa kisasa na tactical point of view
Christesen miaka 5 kwenda nyuma naye alikuwa akicheza vizuri kama Chalobah lakini alikosa tactical skills na ndio maana walikuwa wanaruhusu mashambulizi kirahisi tofauti na wakiwemo akina Rudiger na Silva
Na kitu cha pili nilichokiona, Chalobah akiwa na wazoefu akina Silva na Rudiger simply anafunikwa, wakicheza wenyewe kama leo ndio utaona the deference

Simply kwa mabeki aliyecheza vizuri ni James, Chalobah kawaida na Sarr kawaida, Chilwell poor
Katikati aliyecheza vizuri ni Loftas Cheek wengine kawaida na hasa Saul very poor
Kule mbele aliyecheza vizuri ni Werner, Ziyech poor

Full list player rattings
  1. Kepa 8/10
  2. James 9/10
  3. Chalobah 7/10
  4. Sarr 7/10
  5. Chilwell 5/10
  6. Saul 5/10
  7. Kante 6/10
  8. RLC 8/10
  9. Werner 8/10
  10. Ziyech 6/10
  11. Odoi 6/10
Challobah bado mdogo ana mda wa kujifunza ata hao mabeki wakubwa washawah fanya makosa wakiwa makinda thus y kocha anachanganya matured na hawa madogo so far challobah kama akiendeleza kucheza na matured defenders atakuja kuwa mzuri
its matter of time
 
Chilwel kwa sasa inaonekana kama confidence yake imeshuka, anahitaji mechi chache iliarudi katika kiwango chake,

Alonso kw sasa yuko katika kiwango cha juu ila kuna wakat alonso huwa tunamkataa, naimani kuna game huko mbeleni tutamuona chilwel akiwa ameanza

Saul ni mchezaj mzuri, anahitaji mda ili aendane n soka la kingereza

Ziyech ni mchezaj mzuri sana ila injury ndio zinamfanya asiwe na mwendelezo mzuri, pale kiwango chake kinapoanza kuonekana ndipo unakuta anapata majeruhi

Loftus cheek ni mchezaj mzuri na alikuwa anakuja vizuri wakat wa babu sarri ila majeruhi aliyoyapata ndio yalimfanya kiwango chake kishuke ila ni mchezaj mzuri anayeweza tupa option nyingi hasa hasa wakat huu ambapo inabid tumanage gametime ya ngolo
Jana alikitifua sana kati hapo.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom