Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
Zenit walitukaba kila kona ya uchezaji, sasa hata kupiga krosi hatuwezi kama City anavyozimimina vile?Au unaongelea Zenit?
Zenit walitukaba kila kona ya uchezaji, sasa hata kupiga krosi hatuwezi kama City anavyozimimina vile?Au unaongelea Zenit?
Shot on target mbili za Lukaku si ndo Magoli mawili yale.Nimemaanisha shot on target, au umenielewa tofauti nini?
Si unajua kuna shot off target na shot on target, au siyo Chifu?
Ndiyo, yani natamani nione Werner akianza na Lukaku ili nione atatengeneza nafasi tena kwa mfungaji kama msimu uliopita maana Lukaku mwenyewe anapewa pasi za mwisho na Azpilicueta tu.Shot on target mbili za Lukaku si ndo Magoli mawili yale.
Real hicho kitu hata mimi nimekiona nilikuwa natamani nimuone werner akicheza na lukaku kama ata kuwa na ule uwezo wa kutemfemeza nafac kma msimu wa nyuma, chelsea mpaka sasa wamecreate chance chache sanaNdiyo, yani natamani nione Werner akianza na Lukaku ili nione atatengeneza nafasi tena kwa mfungaji kama msimu uliopita maana Lukaku mwenyewe anapewa pasi za mwisho na Azpilicueta tu.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Usije tu ukakimbia uzi baadaeLeo nitakuwa na kvant bapaa kubwa kabisa pembeni nikashuhudie jinsi hawa madogo wa darajan wanavoteseka na mashot ya son &kane.,..
Hakuna Raha Kama kuona Chelsea inafungwa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sidhani kama unaongelea mechi y Aston Villa au Zenit, mana Mechi y Aston vila tulishinda goli tatu, iweje useme 90min tulipga ontarget 1Ni sawa kabisa Kaka, nami natamani sana iwe hivyo ili Chelsea iendelee kuwa timu tishio duniani kote.
Tatizo mpira huwa unadunda Chifu.
Hivi uliona ile mechi tuliyocheza na Aston Villa ilivyokuwa ngumu sana kwetu?
Unajua hadi 90 kipenga cha mwisho Chelsea tulipata shuti 1 tu golini mwa Aston Villa ambapo Lukaku aliitumia nafasi hiyo hiyo toka kwa krosi ya Azpilicueta?
Unadhani kwanini mwaka huu timu yetu imekuwa ikitengeneza nafasi chache sana za kufunga magoli ktk EPL tofauti na mwaka jana?
Asante mkuu nimekucheki mkuu.Mkuuu habari za leo. Nimekusoma samahani toka juzi sijaingia humu. Njoo pm
Na hii fitness ya Liver na Chelsea na hata Man United ndio itakayowaondolea City confidence, natumaini mwaka huu watafanya blunders nyingiSawa Chief ila mwaka jana timu nyingi za TOP 4 zilikuwa hoiii, Liverkuku majeruhi kibao tangu msimu unaanza.
Kwa sisi pale tunapotakiwa tushinde mechi moja tuongeze ligi tunafanya kinyume chake tunapoteza mechi mfulilizo. Tulimpa city gap kubwa sana la kujiimarisha
Kwa nyumbu kama kawaida masihara mengi tangu msimu unaanza.
Msimu huu Liverkuku na sisi tumejipanga vema kuanzia mwanzo sioni tukitoa gap la kupoteza mechi kizembe mfululizo.
City ajipange haswa msimu huu hakuna gap la dezo dezo
Saa 12 na nusu jioni. Leo kuna kila dalili Lukaku anatupia Tena.Leo tunakipiga saa ngapi wakuu.
Uzuri NI kwamba nyuma kumebalance vzuri shida inakuja mbele kwenye chance creation lkn uzuri Lukaku anaziconvert hizo zote....game km hizi msimu uliopita bila Lukaku unakuta zingeisha 0-0, au 1-0Real hicho kitu hata mimi nimekiona nilikuwa natamani nimuone werner akicheza na lukaku kama ata kuwa na ule uwezo wa kutemfemeza nafac kma msimu wa nyuma, chelsea mpaka sasa wamecreate chance chache sana
Ile penalty event sikuona, mechi nilikuwa naangalia nusu nusu na shughuli nyingine. Ila nikangalia kwenye replay, Kaylee Walker kafanya foul ya wazi, na kuna siku mashabiki wataandamana hizi VAR zifutiliwe mbali kabisaMkuu kwanini jana Southampton walinyimwa penati ya wazi kabisa dhidi ya Man City, inamaana mbali na VAR kuwepo lakini bado mbeleko hazikwepeki?
Nilijichanganya hapo, asante kunisahihisha Chifu.Sidhani kama unaongelea mechi y Aston Villa au Zenit, mana Mechi y Aston vila tulishinda goli tatu, iweje useme 90min tulipga ontarget 1
Kawanyima penati Southampton, kaongeza muda mwingi aana, marefa wa EPL wana shida mahali ndiyomaana huwa wanatetewa sana na FA na vigumu kuwakuta wakichezesha kwenye michuano mingine ya Ulaya kama UEFA n.kJana mlimlipa pesa ngapi yule refa mana alijiongezea muda wake mwenyewe
Namwomba sana Mungu atupie angalau magoli mawili.Saa 12 na nusu jioni. Leo kuna kila dalili Lukaku anatupia Tena.
Kabisa yani kama zina maamuzi ya kupendelea timu maalum.Ile penalty event sikuona, mechi nilikuwa naangalia nusu nusu na shughuli nyingine. Ila nikangalia kwenye replay, Kayler Walker kafanya foul ya wazi, na kuna siku mashabiki wataandamana hizi VAR zifutiliwe mbali kabisa
Ila ushindi utamata zaidi kuliko Lukaku kufunga.Saa 12 na nusu jioni. Leo kuna kila dalili Lukaku anatupia Tena.