Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
Hata nami napenda kufahamu hiloKwa nini TT anamuozeshea benchi Werner??
Wzamegombana nini?
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Hata nami napenda kufahamu hiloKwa nini TT anamuozeshea benchi Werner??
Wzamegombana nini?
Mendy aliumia siku ya zenitNadhani ishu sio Kepa kuanza leo, ishu ni Mendy kutokuwepo leo kuna mtu alitarajia au alikuwa na taarifa hiyo.? Maamae mpaka nmefuta wasap status yangu niliyoweka leo asubuhi
Ngoja tuwe na akiba ya manenoLeo tunashinda wazee Mbona wenge kisa mchezaji mmoja duh....![]()

Iishie hapa hapa jukwaani usibet maana utaliwa bureKeppa leo anatoa clean sheet.
Yaani sio Havertz wala Mount wanayemuona Lukaku, wanataka Lukaku acheze kama kiungo au wingaCombination pale mbele bado sana.
Makocha wakishakaa sana wanakuwa na wachezaji wao mfukoni. TT naye kashawapata wa kwakeHarvetz - Lukaku - Mount
Poor combination, TT analazimisha vitu ambavyo haviwezi kutokea.
Harvetz anacheza kivyake vyake sioni mahusiano yake na Lukaku, Mount anajibitulia tuu.
Harvetz anatakiwa awe sub ya Lukaku, Werner aanze kushoto.
Kuna ulazima wa kuingia sokoni kusajili mawinga wa kushoto na kulia zinazojua kufunga magoli na zaidi kumlisha Lukaku mipira.
3 4 2 1 haina mawinga ina wingbacks.Harvetz - Lukaku - Mount
Poor combination, TT analazimisha vitu ambavyo haviwezi kutokea.
Harvetz anacheza kivyake vyake sioni mahusiano yake na Lukaku, Mount anajibutulia tuu.
Harvetz anatakiwa awe sub ya Lukaku, Werner aanze kushoto.
Kuna ulazima wa kuingia sokoni kusajili mawinga wa kushoto na kulia zinazojua kufunga magoli na zaidi kumlisha Lukaku mipira.
Ahabiki plastiki la Arse8 linapojifariji mbele ya mabingwa wa UlayaHii timu haina tofauti na Yanga.
Yanga inaamini ushindi utaletwa na manara hivi vinabo vinaamini ushindi upo na mendy utadhani tano walizopigwa kipa alikua kepa

Kusema kweli nilidhani chelsea inapata goli mapema sana (siangalii mechi) ukizingatia Santo anaonyesha bado kuna vitu hajaviweza.Ahabiki plastiki la Arse8 linapojifariji mbele ya mabingwa wa Ulaya
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Mashabiki wa Arsenal kisheria wanatakiwa kila wakiwaona mashabiki wa Chelsea wawasilimie Shikamoo huku wabonyea kwenda chiniAhabiki plastiki la Arse8 linapojifariji mbele ya mabingwa wa Ulaya
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Aaagh tayari kumbe woyooooKama nilivyosema mwanzo Silva yuko serious kaamua kufunga mwenyewe goli zuri sana la kichwa
Dah tukipigwa aise yale mashabiki ya arse8 na manure na wale liverkuku watatuua.
Ngapi ngapi wazee mnaocheki game Niko hospital wazee
CFC